Rais Putin aihakikishia Afrika kuilinda kwa Chakula na Mbolea. Asema Russia na Afrika ni marafiki wa Kufa na Kupona!

Exactly!! This is absolutely right.
 
Nchi nyingi za Africa, ( hata zile zisizofungamana na pande zozot, ikiwemo Tanzania) KAMWE hazitachangamkia fursa hiyo kwa sababu wanaogopa wataudhi mabwana zao wa magharibi. Hivyo wapo radhi wanachi wao wateseke kwa mfumuko wa bei ya mbolea, ngano na mafuta kuliko kununua kutoka Urusi.
Anaweza akavileta na viongozi wa Afrika wakashindwa kupokea, kama mafuta wameshindwa kununua ya Russia ambayo ni bei rahisi hizo mbolea na chakula wataweza kuvichukua?
 
Your Too young to understand this matter.
Mimi siiungi hoja.

Simpendi Rais Putin huyu mfalme wa madaraka milele. Wa kuvamia wazungu Ukrain na nchi huru. Wa kutishia kupiga unclear dunia.

Ni hatua ngapi tumetoka na Ulaya wakitusaidia? Yeye Putin kama kiongozi hata Africa hajakanyaga
 
Afrika hatuna viongozi wanaojitambua ndiyo maana ni Rahisi mabwenyenye wa mgharibi kutuendesha na kutuamulia mustakabali wa maisha yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…