Rais Putin aionya Marekani dhidi ya Syria

Rais Putin aionya Marekani dhidi ya Syria

Cash Generating Unit

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
13,286
Reaction score
39,418
Haya sasa mambo yanazidi kuwa mengi then muda mchache raha ya hii dunia uwe mtabe. Marekani ni taifa ambalo ni wezi, vibaka, waporaji, majambazi bila kusahau maovu na uchafu wao kwenye hii dunia.

Putin ameionya marekani kuachana na uwizi wao wa mafuta pale Syria mara moja pamoja na mambo yao ya kiuhalifu wanayofanya. Hili la ulinzi wa mali za Syrians litakua chini ya Russia, Iran na turkey sasa wanaume wameongea wameshatoa tamko tunasubiri utekelezaji.

Tukumbuke pia kule libya Marekani analalamikiwa kwa kuiba mafuta ya walibya bado nchi nyingine nyingi wanachukua madini kama dhahabu, almas nknk.


IMG_4543.jpg
 

Attachments

  • IMG_4543.jpg
    IMG_4543.jpg
    111 KB · Views: 10
Bila Marekani Ni ngumu Sana Syria kupata amani.
Kwa namna yoyote Ni lazima Marekani iombwe kwa upole katika meza ya mzunguko Kwamba bamkubwa tunakushukuru kwa hiduma yako. Tunaomba uendee.
Akielewa Marekani basi Syria hats usiku wa leo kutakuwa na amani.
Marekani ndie mfadhili was ISis, alnusra, FSA na makundi mengine mengi yaliyo dhidi ya Leutenant general Assad

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom