Rais Putin aionya Marekani dhidi ya Syria

Rais Putin aionya Marekani dhidi ya Syria

2024 Trump anarudi madarakani na watakaa meza moja na Putin/Medvedev
 
Hakuna, sehemu Russia imeionya USA. Muandika threads muongo na hajui lugha
1658321000632.png
 
Syria ipi?
Ya Bashar Al Assad? Ya Wakurdi? Ya wale waasi? au ya IS? au ya Turkmens?
Kimsingi hakuna kwa sasa taifa liitwalo Syria. Limebaki kwenye ramani, kwa wanasiasa et al.
Syria ilishakufa kitambo. Labda waifufue kwanza!
 
Bila Marekani Ni ngumu Sana Syria kupata amani.
Kwa namna yoyote Ni lazima Marekani iombwe kwa upole katika meza ya mzunguko Kwamba bamkubwa tunakushukuru kwa hiduma yako. Tunaomba uendee.
Akielewa Marekani basi Syria hats usiku wa leo kutakuwa na amani.
Marekani ndie mfadhili was ISis, alnusra, FSA na makundi mengine mengi yaliyo dhidi ya Leutenant general Assad

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Mfadhiĺi au mwizi wa mafuta. America the chief thief of the world
 
Na mwizi mwisho wake ni mbaya, ndio haya tunayashuhudia yakitokea. Puttin, hili jamaa lina akili sana.

Putin ni genius Ndio maana aliongoza KGB enzi hizo
Amerudia u Rais na waziri Mkuu pia
Wazungu wanajua fika walivyoitendea dunia kwa mipango yao miovu
Halafu mabilionea wa Kirusi wanapewa Uraia na wazungu ili hela ziwekwe Ulaya

Uingereza wamepokea warusi kwa kuwapa uraia tena fast track inayoitwa Golden Visa

Yaani wizi tu
Na Putin anawafuata huku huku na kuwamaliza
 
Putin ni genius Ndio maana aliongoza KGB enzi hizo
Amerudia u Rais na waziri Mkuu pia
Wazungu wanajua fika walivyoitendea dunia kwa mipango yao miovu
Halafu mabilionea wa Kirusi wanapewa Uraia na wazungu ili hela ziwekwe Ulaya

Uingereza wamepokea warusi kwa kuwapa uraia tena fast track inayoitwa Golden Visa

Yaani wizi tu
Na Putin anawafuata huku huku na kuwamaliza
Hakuna muda dunia haikuwa na superpower na hakuna superpower haexploit kwa mataifa dhaifu Buda!!! Anza na greece, Romans etc. So Kama una nguvu unavuna huku unaleta maendeleo kwa nchi yako... Si unaona hata kagame hapo Congo? Kwa hiyo Kama huna nguvu wanakutafunia
 
Hakuna muda dunia haikuwa na superpower na hakuna superpower haexploit kwa mataifa dhaifu Buda!!! Anza na greece, Romans etc. So Kama una nguvu unavuna huku unaleta maendeleo kwa nchi yako... Si unaona hata kagame hapo Congo? Kwa hiyo Kama huna nguvu wanakutafunia

Ila yana mwisho mbaya tu Greece hoi
Ila angalia German wao wamejikita kwenye maendeleo zaidi na nchi yao utashangaa technology wako mbali sana na wanaishi vizuri tu bila wizi
Wengine ni Netherlands [emoji1179] wanasifiwa kwa ujenzi na hata technology wanamuacha Muingereza kwa mbali sana

Ingawa [emoji636] tunatamba kuwa tuliwahi kuwa wababe enzi ila kwa sasa tupo tu na maisha yanaenda
Siipondi Uk hasha ni home ila hawawafikii majirani kwa mengi sana
Huwa natembelea majirani kwa Kweli wako vizuri sana

Ila USA yeye ni kibaka akiona vita sehemu au aianzishe kwa maslahi yake tu
Mchina ndio baba lao sasa anabana mpaka USA kwa hela zake

IMG_7460.jpg
 
Ila yana mwisho mbaya tu Greece hoi
Ila angalia German wao wamejikita kwenye maendeleo zaidi na nchi yao utashangaa technology wako mbali sana na wanaishi vizuri tu bila wizi
Wengine ni Netherlands [emoji1179] wanasifiwa kwa ujenzi na hata technology wanamuacha Muingereza kwa mbali sana

Ingawa [emoji636] tunatamba kuwa tuliwahi kuwa wababe enzi ila kwa sasa tupo tu na maisha yanaenda
Siipondi Uk hasha ni home ila hawawafikii majirani kwa mengi sana
Huwa natembelea majirani kwa Kweli wako vizuri sana

Ila USA yeye ni kibaka akiona vita sehemu au aianzishe kwa maslahi yake tu
Mchina ndio baba lao sasa anabana mpaka USA kwa hela zake

View attachment 2297806
Hizo zinaitwa dua za kuku, hata ikianguka marekani ataibuka mwingine atafanya hayo hayo wewe omba iwe nchi yako Basi!! Kama haitakuwa nchi yako umikwisha na utalalamika tu mpaka kiama, huyo Germani hawezi kuiba kokote alishakatwa mkia wakati wa Hitler japo naye alikuwa ni walewale.
Wewe hujiulizi kwa Nini alikuja kutuulia machifu wetu huku? Ukiwa na nguvu Raha Sana......! Hata huyo Russia unadhani anasaidia madikteta kwa kuwa anawapenda Sana? La hasha because she want to exploit as US does...Ila uwezo Hana!!
 
Hizo zinaitwa dua za kuku, hata ikianguka marekani ataibuka mwingine atafanya hayo hayo wewe omba iwe nchi yako Basi!! Kama haitakuwa nchi yako umikwisha na utalalamika tu mpaka kiama, huyo Germani hawezi kuiba kokote alishakatwa mkia wakati wa Hitler japo naye alikuwa ni walewale.
Wewe hujiulizi kwa Nini alikuja kutuulia machifu wetu huku? Ukiwa na nguvu Raha Sana......! Hata huyo Russia unadhani anasaidia madikteta kwa kuwa anawapenda Sana? La hasha because she want to exploit as US does...Ila uwezo Hana!!

Kwa hiyo na nyie muingie Congo mkasombe shamba la bibi sasa
Zamani ni zamani maana hata mababu zetu walipigwa mpaka chapa kama Ng’ombe
Waliuzwa kama mihogo ila mambo yanabadilika
Nimekuelewa yote na sijasema wala kutamani anguko la USA bali naongelea wizi wake tu

Dick Cheney alichukua tender zote za ku supply mpaka tissue kwa wanajeshi wao huko Iraq huku akiwa serikalini
Think about that
Halafu wanaita wengine dictators
 
Back
Top Bottom