Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
Dunia sasa itapata amani maana wa kumfunga paka kengere ashapatikana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dunia sasa itapata amani maana wa kumfunga paka kengere ashapatikana
Ww3 around the corner.
Watakuwa makini sana, kwa kuwa deep down in their hearts - they know for certain kwamba thermonuclear XChange hapata patikana mshindi kwa maneno mengine wote watatangulia mbele ya haki , ingawa wengine will not even get enough time to repent their sins before joining their MAKER up above.Ww3 around the corner.
Wewe unaishi dunia ipi?Ww3 around the corner.
[emoji23],Tena aliyochoka balaa,kila kijiwe anakula jiwe la kuotewaMarekani kawa mbwa koko anapigwa mawe kila kona ya mtaa anayokatiza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani katika mkoa ambao Vita haijagusa kabisa ni LATAKIA.Sasa umeme unakosaje ndugu kama sio uwongo uwo
Huyo turkey kwenda nato ni kama kalazimishwa tu ili nchi za magharibi zimtumie kwa ajili ya kuwaunganisha na nchi za ki islam.. lakini kihalisia turkey anapenda sana east ideology (anapenda aka karibu na urusi wakati wote)Turkey ni mshirika asiye aminika yupo kama popo.
Kifupi turkey haaminiki kwa nchi za kibepali, bendera fuata upepo
Sent from my itel W4001P using JamiiForums mobile app
View attachment 2297922
Nakupa reallity wewe unaleta story za vijiwe vya kahawa
Sio anateseka wapi wameandika au kusema hilo onyo?!.... Punguza mahaba mleta uzi.... Kuna Mimba za UkubwaniUnateseka ukiwa wapi?
Sasa hayo maneno hajasema putin ni sawa na wewe hapo mbande useme USA namuonya... Sio rais wa tz kasema ni wewe na mahaba yako
Sio latakia tu,damascus yenyewe ni kiza kiujumla nchi yote haina umeme wa uhakika ha hata fuel,na si mmarekani wala mrusi anaetegemea kutoka kwenye ile nchi,syria kwa sasa somalia ina nafuuWapi waliposema Latakia hamna umeme?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Leo hii marekani anaanikwa wizi wake hadharani hakuna anaemuogopa kweli dunia inazunguka
Huyo Trump ndo alitaka majeshi ya Marekani yake Syria yalinde mafuta2024 Trump anarudi madarakani na watakaa meza moja na Putin/Medvedev
Anapigiwa miluzi kila kona hadi anachanganyikiwa.[emoji23],Tena aliyochoka balaa,kila kijiwe anakula jiwe la kuotewa
Sio anateseka wapi wameandika au kusema hilo onyo?!.... Punguza mahaba mleta uzi.... Kuna Mimba za Ukubwani