Rais Putin amejaa vitisho na mikwara ila hatoweza kuwashinda Wamarekani

Rais Putin amejaa vitisho na mikwara ila hatoweza kuwashinda Wamarekani

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Katika maisha ya kawaida, ukiona mtu anatoa vitisho vingi, basi ujue mtu huyo hana au ana uwezo mdogo wa kumkabili adui au mpinzani wake na hii hutokea mitaani na hata mashuleni katika ngumi za kawaida.

Vitisho mara nyingi hutumika kwa lengo la kumuogopesha mpinzani au adui asianzishe mapambano kwasababu mtoa vitisho anajua mpambano ukianza, hatoweza kumshinda adui au mpinzani wake, hivyo ni bora kujihami kwa kuhakikisha mapambano hayayokei na hiki ndio anachokifanya Puttin.

Ukitokea, mpambano utachukua muda mrefu tofauti na tulivyoona kwa kina Saddam na wengine, ila mwisho wa siku Russia atashindwa bila kujadili Marekani ataingia pekee yake au na washirika wake wa NATO.

Mbali na teknolojia, uwezo wa kiuchumi katika vita ni moja ya factor muhimu katika kuamua mshindi wa vita, na uchumi wa Russia sio wa kuulinganisha na ule wa Marekani na washirika wake wa Ulaya wa Magharibi.

Vile vile, Marekani na Ulaya, wataanza kuiwekea vikwazo Russia kama njia ya awali ya kuidhooifisha kiuchumi kabla ya kuingia katika vita halisi iwapo watafika huko.

Puttin anawaza makombora na zana zake zingine za kijeshi, ila wenzake wana-consider all other factors na kujipanga vilivyo kabila hawajaingia katika uwanja wa vita.

Hata kama vita isipotokea, wamerekani kwa kushirikisha na mataifa ya Ulaya, watafanya kila njama kumuondoa Puttin kwani kwa ssaa ni tishio kwao na hawatakubali aendelee kubaki madarakani.

Time will tell.
 
Wewe akili hauna, mtu amesha vamiwa uko na kipigo kimeanza kutolewa unaanza kusema vitisho
“Nimeshtushwa na matukio ya kuogofya Ukraine na nimeongea na Rais Zelenskyy kujadili hatua inayofuata. Rais Putin amechagua njia ya umwagaji damu na uharibifu kwa kuanzisha mashambulizi ya uchokozi dhidi ya Ukraine. Uingereza na washirika wake tutajibu mapigo kikamilifu”.
 
“Nimeshtushwa na matukio ya kuogofya Ukraine na nimeongea na Rais Zelenskyy kujadili hatua inayofuata. Rais Putin amechagua njia ya umwagaji damu na uharibifu kwa kuanzisha mashambulizi ya uchokozi dhidi ya Ukraine. Uingereza na washirika wake tutajibu mapigo kikamilifu”.
Hizo ni ngonjera za Boris Johnson, waziri mkuu wa Uingereza, usizizingatie sana, hawana cha kufanya zaidi ya kukimbilia vikwazo.

Waingie mzigoni wao kama NATO (nchi zaidi ya 20)

 
Katika maisha ya kawaida, ukiona mtu anatoa vitisho vingi, bai ujue mtu huyo hana au ana uwezo mdogo wa kumkabili adui au mpinzani wake na hii ni katika hata ngumi za mitaani au mashuleni.

Vitisho mara nyingi hutumika kwa lengo la kumuogopesha mpinzani au adui asianzishe mapambano kwasababu mtoa vitisho anajua mpambano ukianza hatoweza kumshinda adui au mpinzani wake hivyo ni bora kujihami kwa kuhakikisha mapambano hayayokei na hiki ndio anachokifanya Puttin.

Mpambano utachukua muda tofauti na tulivyoona kwa kina Saddam na wengine ila mwisho wa siku Russia atashindwa bila kujadili Marekani ataingia pekee yake au na washirika wake wa NATO.

Mbali na teknolojia, uwezo wa kiuchumi katika vita ni moja ya factor muhimu katika kuamua mshindi wa vita na uchumi wa Russia sio wa kuulinganisha na ule wa Marekani na washirika wake wa Ulaya.

Vile vile Marekani na Ulaya wataanza kuiwekea vikwazo Russia kama njia ya awali ya kuidhooifisha kiuchumi kabla ya kuingia katika vita halisi iwapo watafika huko.

Puttin anawaza makombora na zana zake za kijeshi wenzake wana-consider all factors na kujipanga kabila hawajaingia katika uwanja wa vita.

Hata kama vita isipotokea, wamerekani kwa kushirikisha na mataifa ya Ulaya, watafanya lila njema kumuondoa Puttin kwani kwa ssaa ni tishio kwao na hawatakubali aendelee kubaki madarakani.

Time will tell.
usa [emoji631]
20220224_141954.jpg
 
Katika maisha ya kawaida, ukiona mtu anatoa vitisho vingi, bai ujue mtu huyo hana au ana uwezo mdogo wa kumkabili adui au mpinzani wake na hii ni katika hata ngumi za mitaani au mashuleni.

Vitisho mara nyingi hutumika kwa lengo la kumuogopesha mpinzani au adui asianzishe mapambano kwasababu mtoa vitisho anajua mpambano ukianza hatoweza kumshinda adui au mpinzani wake hivyo ni bora kujihami kwa kuhakikisha mapambano hayayokei na hiki ndio anachokifanya Puttin.

Mpambano utachukua muda tofauti na tulivyoona kwa kina Saddam na wengine ila mwisho wa siku Russia atashindwa bila kujadili Marekani ataingia pekee yake au na washirika wake wa NATO.

Mbali na teknolojia, uwezo wa kiuchumi katika vita ni moja ya factor muhimu katika kuamua mshindi wa vita na uchumi wa Russia sio wa kuulinganisha na ule wa Marekani na washirika wake wa Ulaya.

Vile vile Marekani na Ulaya wataanza kuiwekea vikwazo Russia kama njia ya awali ya kuidhooifisha kiuchumi kabla ya kuingia katika vita halisi iwapo watafika huko.

Puttin anawaza makombora na zana zake za kijeshi wenzake wana-consider all factors na kujipanga kabila hawajaingia katika uwanja wa vita.

Hata kama vita isipotokea, wamerekani kwa kushirikisha na mataifa ya Ulaya, watafanya lila njema kumuondoa Puttin kwani kwa ssaa ni tishio kwao na hawatakubali aendelee kubaki madarakani.

Time will tell.
Tayari Mmarekani amewasili mpakani mwa Ukraini kumsapoti Nato
 
Usikurupuke kuleta uzi kama mambo huyaelewi vizuri. Hivi Russia sijui watu mnamchukuliaje someni historia zao vizuri, BTW USA na washirika wenzake wa NATO wasijaribu kuzuia mipango ya mrusi, wakae kimya kama njia pekee ya kutatua tatizo , la sivyo sote tutaomboleza amini nakuambia.
 
Katika maisha ya kawaida, ukiona mtu anatoa vitisho vingi, bai ujue mtu huyo hana au ana uwezo mdogo wa kumkabili adui au mpinzani wake na hii ni katika hata ngumi za mitaani au mashuleni.

Vitisho mara nyingi hutumika kwa lengo la kumuogopesha mpinzani au adui asianzishe mapambano kwasababu mtoa vitisho anajua mpambano ukianza hatoweza kumshinda adui au mpinzani wake hivyo ni bora kujihami kwa kuhakikisha mapambano hayayokei na hiki ndio anachokifanya Puttin.

Mpambano utachukua muda tofauti na tulivyoona kwa kina Saddam na wengine ila mwisho wa siku Russia atashindwa bila kujadili Marekani ataingia pekee yake au na washirika wake wa NATO.

Mbali na teknolojia, uwezo wa kiuchumi katika vita ni moja ya factor muhimu katika kuamua mshindi wa vita na uchumi wa Russia sio wa kuulinganisha na ule wa Marekani na washirika wake wa Ulaya.

Vile vile Marekani na Ulaya wataanza kuiwekea vikwazo Russia kama njia ya awali ya kuidhooifisha kiuchumi kabla ya kuingia katika vita halisi iwapo watafika huko.

Puttin anawaza makombora na zana zake za kijeshi wenzake wana-consider all factors na kujipanga kabila hawajaingia katika uwanja wa vita.

Hata kama vita isipotokea, wamerekani kwa kushirikisha na mataifa ya Ulaya, watafanya lila njema kumuondoa Puttin kwani kwa ssaa ni tishio kwao na hawatakubali aendelee kubaki madarakani.

Time will tell.
😳😳😳🤣🤣
 
Hiyo haina haja ya kuomba, wao wenyewe NATO wanajua kuwa Putin ni maji marefu. Hafikirii mara mbili mbili kutumia mijizana yake ya vita kwa yeyote atakayeingiza pua yake Ukraine
Maji marefu ndio nn? Unasapoti huu usimba na uyanga wa huku kwetu?

NATO imuache russia auane na watu wake dunia ibaki salama. Wakisema wajibu mapigo hakuna mshindi atakayepatikana na wataiumiza sana dunia.
 
Back
Top Bottom