Rais Putin amejaa vitisho na mikwara ila hatoweza kuwashinda Wamarekani

Rais Putin amejaa vitisho na mikwara ila hatoweza kuwashinda Wamarekani

Hapa mshindi anapata nini ?

Ni rahisi kwa Marekani kuchochea Vita kwa maneno wakati wapiganaji ni wengine ila ikija toe to toe...., ni ngumu (Public Sentiment inaweza ku-force asifanye anachotaka kufanya) Ulizia Vietnam..., prolonged war ni threat kwa administration iliyopo in power (hususan kama hiyo ita-involve human lives za wananchi (ingawa hapa ana advantage anaangalia hii issue kwa darubini)

Kilichobaki ni Propanga na US kuwa upande wa NATO ila wengine kina China wakiwa upande wa Russia pia ni advantage kwao..., Marekani anaweza ku-gain soko la LNG yake kwa kuwa-convince NATO wasifanye Trade na Russia (ingawa LNG ni gharama kulipa Piped Natural Gas) pia Russia akipata uungwaji mkono na China potentially hilo ni soko kubwa Russia..

Unaongelea Propaganda za kumuondoa Putin..., jiulize hata kwa Public wanamuonaje America ?, Je wanaweza kuside na America kwa kupigwa Propaganda (No love lost between Russia and America)....

Kwa kumaliza No one Wins a War...., Ingawa in this instant Marekani ni kama yupo kwenye Playstation yeye anaangalia kwa mbali (vita vingekuwa on his shores he could have been singing a different tune)
 
Katika maisha ya kawaida, ukiona mtu anatoa vitisho vingi, bai ujue mtu huyo hana au ana uwezo mdogo wa kumkabili adui au mpinzani wake na hii ni katika hata ngumi za mitaani au mashuleni.

Vitisho mara nyingi hutumika kwa lengo la kumuogopesha mpinzani au adui asianzishe mapambano kwasababu mtoa vitisho anajua mpambano ukianza hatoweza kumshinda adui au mpinzani wake hivyo ni bora kujihami kwa kuhakikisha mapambano hayayokei na hiki ndio anachokifanya Puttin.

Mpambano utachukua muda tofauti na tulivyoona kwa kina Saddam na wengine ila mwisho wa siku Russia atashindwa bila kujadili Marekani ataingia pekee yake au na washirika wake wa NATO.

Mbali na teknolojia, uwezo wa kiuchumi katika vita ni moja ya factor muhimu katika kuamua mshindi wa vita na uchumi wa Russia sio wa kuulinganisha na ule wa Marekani na washirika wake wa Ulaya.

Vile vile Marekani na Ulaya wataanza kuiwekea vikwazo Russia kama njia ya awali ya kuidhooifisha kiuchumi kabla ya kuingia katika vita halisi iwapo watafika huko.

Puttin anawaza makombora na zana zake za kijeshi wenzake wana-consider all factors na kujipanga kabila hawajaingia katika uwanja wa vita.

Hata kama vita isipotokea, wamerekani kwa kushirikisha na mataifa ya Ulaya, watafanya lila njema kumuondoa Puttin kwani kwa ssaa ni tishio kwao na hawatakubali aendelee kubaki madarakani.

Time will tell.

Na huyu bahati yake kakutana na wazee hawa Wapole!!!! Angekutana bush na hakika mpaka dakika hii asingekanyaga iyo ardhi ya Ukraine
 
Size ya NATO ni Libya na Venezuela, labda. Not Russia
Hapo hujakosea kabisa Mkuu

 
Hitler hakuwa na nuclear,,
Kama marekani anaweza shambulia iraq syria, au libya,,
Unategemea Russia wakae kimya wakati NATO wanazidi kuizinguka na kuisogelea?
Marekani hajawahi kuwa na nia njema na Russia hata pale Soviet ilipovunjika, marekani na wenzake waliendelea kuitanua NATO,,, na hiyo NATO iliundwa kwa kazi moja tu ya kupambana na mrusi
Hawajui historia. Wanachojua tu siku zote hawa vibwetere ni kwamba Marekani kila wakati yuko sahihi--the so-called kiranja wa dunia. Pathetic!
 
Hivi kwa akili ya kawaida tu unadhani Russia ana silaha kali na za kisasa kuwazidi wengine hasa Marekani na Israel?

Sema tu dunia ya leo vita iliyobaki ni ya maneno zaidi na sio vita ya kuiingiza nchi katika hasara ya matrilioni ya fedha.

Hivi Marekani naye akisema aingize silaha zake na makombora ya kisasa pale Ukraine unadhani Russia atabaki salama?

Maana Marekani siku zote hapiganii vita nchini mwake bali nchini mwako ama jirani ili madhara ya vita uyapate wewe.
Labda hujui,, Russia ana silaha kali kuzidi US hasa makombora,,
Marekani wao wana ndege kali kuzidi Russia, yaani for show,, lakini kwenye utendaji kazi, ndege za Russia zina firepower kubwa kuliko ndege za marekani,
Hata ukicheki performance ya ndege za mrusi syria ndo ziliwakalisha chini ISIS,
Marekani wanaweza kufanya mashambulizi sort 30 per day,
Mrusi yeye alikuwa anapeleka hadi sorties 100 kwa siku huko syria,, na hapo marekani anatumia hadi ndege ziko katika aircraft carrier,
Ndege ya mrusi ilikua inaweza kunyanyuka Russia na kuachia kombora ikiwa huko huko anga la Russia, na kombora likaja kupiga syria,, umbali wa kama km 5000
 
Hivi kwa akili ya kawaida tu unadhani Russia ana silaha kali na za kisasa kuwazidi wengine hasa Marekani na Israel?

Sema tu dunia ya leo vita iliyobaki ni ya maneno zaidi na sio vita ya kuiingiza nchi katika hasara ya matrilioni ya fedha.

Hivi Marekani naye akisema aingize silaha zake na makombora ya kisasa pale Ukraine unadhani Russia atabaki salama?

Maana Marekani siku zote hapiganii vita nchini mwake bali nchini mwako ama jirani ili madhara ya vita uyapate wewe.
ISRAEL hata IRAN hamuwezi afu unalinganisha na URUSI we jamaa vipi
 
Utakuta mapiganoooooo miaka kadhaa,halafu Putin anakamatwa ananyongwa hah! Kama Sadam ilikuwa hivihivi
 
Kwamba hizo zana anazo Russia pekee?

Kuna nchi zina zana na makombora ya kisasa sema hawaoni umuhimu wa kuingia gharama za billion of dollars kwenye vita visivyo na faida kwao.

Kama Marekani angekuwa na maslahi ya kudumu hapo Ukraine amini Urusi asingeingia kichwa kichwa kihivyo lazima angeufyata.
Marekani na israel wana maslahi makubwa sana ukraine,,
Kiufupi kama ukraine ingeingia NATO,, yaani ingekuwa ni chi yenye jeshi kubwa NATO baada ya US, Turkey,,
Ukraine ina jeshi kubwa, na mrusi kama hawatasalenda, ana kazi kubwa kweli kweli kuwatuliza,,,
Ndo maana Russia ameanza SEAD OPERATION mapema ili kuharibu uwezo wa ukraine kujihami dhidi ya mashambulizi ya ndege za Russia
(SEAD-Suppression of Enemy Air Defence operation)
 
Russian dirty money [emoji383] zimeingia sana UK na wenyewe wapo zaidi ya 20 na wote millionaires na billionaires wamepewa Gold Visa na Uingereza kwa upendeleo wa hela zao ili zizungushe uchumi wa [emoji636]

Putin hakuzizuia kwani anayajua yote

Siasa ni mchezo mchafu sana huwezi jua nani rafiki wa nani
 
2020 Mchina alituchagulia maisha ya dunia kujifungia na kunawa mikono hadi leo.
Na sasa Putin ameamua aharibu uchumi wa dunia.
Yetu macho na sala
Acha tu hawa mijusi wanaivuruga sana dunia. Hao US wakae kimya waachane na ya Ukraine. Wao nani aliwasumbua walipovamia Libya, Iraq, Afghanistan n.k
 
Back
Top Bottom