Rais Putin amejaa vitisho na mikwara ila hatoweza kuwashinda Wamarekani

Team Putin wanavyovimba sasa! Hata Adolf Hitler wangemvimbisha kichwa hivi hivi. Kama walifanya hivyo kwa Saddam unadhani kuvimba kwao leo ni ajabu sana?
Vipi mzee Putin kakukamata kaputura au? Ukumbuke kuwa Hitler alipigwa na Urusi sijui utakikwepa vipi kichapo cha putin
 
W
Wewe ndie uliye ongea point
 
Kwa kuongezea tu Russia anamiliki nusu ya silaha za nuclear zilizopo Dunia Yani kama zipo elfu kumi na mbili yeye anamiliki. 6000 hizo nyingine waachie wengine
 
Afu watu wanajisaulisha au sijui ndio hawajui kwamba Russia ndio second export wa crude oil Dunia hivyo any time mafuta yataanza kupanda Dunia Kwa vikwanzo hivyo vya kiuchumi alivyowekewa
 
Kwani hauwezi kuchangia bila kumuattack mleta maada ?Kwa nini umuambie mleta maada hana akili ?
Wakati ule wa debate club between schools mwalimu wetu alipenda kutuasa kwamba don't use abusive language to your opponents but rather present your arguments to the audience... use of abusive language means that you are desperate and out of tricks/points....
 
Unawasema wenzio wanamihemko wakat na wewe unamihemko pia
 
Unadhan russia anashindwa kufika marekani??
 
Awashinde kwani anapigana nao, Anashinda au kushindwa aliye vitani, Mwambieni mmarekani Atume kombora kwa Russia ndio utaelewa.
 
Wataalam wa vita za kalamu muda pele mshaanza kulikuna
 
Humjui Putin wewe,huyo sio wale waarabu wanaotoa mikwala,huyo yuko vizuri sana...
 
Ushauri potofu, dunia ya waliostaarabika haiwezi kukaa kimya ikiangalia uonevu wa wazi ukiendelea. Nato na us tayari wako mpakani mwa Ukraine...tusubiri majibu ya vipimo
vipimo gani[emoji23][emoji23][emoji23]
watabweka tu kisha wataondoka zao hamna jipya
 
Na huyu bahati yake kakutana na wazee hawa Wapole!!!! Angekutana bush na hakika mpaka dakika hii asingekanyaga iyo ardhi ya Ukraine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kasome historia kijana
 
Ushaanza udini.

Kama ulikuwa huelewi, USA ndio nchi kubwa ya Kiislam siku za usoni. Tunaipenda sana kwa wingi wa Wamarekani wanaorudi kwa Allah.++

Jionee;
Ajabu sana hii, mtu mzima kama wewe bado unaambatana na dini za kigeni! Waarabu wamewashikia akili zenu.
 
Mlisema nikiwemo pia kuwa hana ubavu wa kuivamia ukraine anaogopa US, sasa kaivamia.
Sasa tunahamisha magori
 
[emoji632][emoji298]️No one in Europe and the US wants to go to war with Russia - French Defense Minister
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…