Rais Putin amejaa vitisho na mikwara ila hatoweza kuwashinda Wamarekani

Rais Putin amejaa vitisho na mikwara ila hatoweza kuwashinda Wamarekani

War -update

Mji wa Hostomel umeangukia kwenye mikono ya Warusi.upo umbali wa km 36 kutoka mji mkuu wa ukraine
Umbali wa Posta hadi Chanika kazi wanayo Ukraine but Putin will not launch heavy weapons anatoa vitisho kwa sababu hana resources za kupambana na nchi nyingi ikiwa USA na washirika wake NATO wakiamua kumlinda Ukraine na hilo hata Putin anajua vizuri

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Mleta mada , increase your 'wiseness'!

Siyo wote tunapenda kukuona 'umechutama' kisa mambo ambayo hukuyatarajia. Tunahitaji bashasha na tabasamu kwenye paji la uso wako muda wote.

Lugha laini sana hii utakuwa umenielewa.
 
Umbali wa Posta hadi Chanika kazi wanayo Ukraine but Putin will not launch heavy weapons anatoa vitisho kwa sababu hana resources za kupambana na nchi nyingi ikiwa USA na washirika wake NATO wakiamua kumlinda Ukraine na hilo hata Putin anajua vizuri

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Heavy weapons kawawekea watakaoshoboka kuingilia..............kitu cha hypersonic huitaji kupeleka manowari,ndege wala wanajeshi unamaliza kazi yako fasta
 
NATO ikiamua kujibu mapigo na URUSI hakajibu mapigo kwa NATO DIRECT katika
Ukraine anataka kuwalazimisha wainhie vitani lakini wako makini sana NATO kutoingia mtego huu. Mfano leo asubuhi, askari wa Ukraine kapeleka Sukhoi huko Romania (NATO Member) bahati nzuri Romania wakamuwahi na mkulazimisha aishushe...bado wamemshikilia askari huyo. Sukhoi ilikuwa inaelekea kwenye base kubwa ya Kijeshi ya NATO nchi Romania.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1258][emoji635] US intelligence agencies offer Biden options for a "large-scale cyber attack" against Russia - NBC
 
Katika maisha ya kawaida, ukiona mtu anatoa vitisho vingi, basi ujue mtu huyo hana au ana uwezo mdogo wa kumkabili adui au mpinzani wake na hii hutokea mitaani na hata mashuleni katika ngumi za kawaida.

Vitisho mara nyingi hutumika kwa lengo la kumuogopesha mpinzani au adui asianzishe mapambano kwasababu mtoa vitisho anajua mpambano ukianza, hatoweza kumshinda adui au mpinzani wake, hivyo ni bora kujihami kwa kuhakikisha mapambano hayayokei na hiki ndio anachokifanya Puttin.

Ukitokea, mpambano utachukua muda mrefu tofauti na tulivyoona kwa kina Saddam na wengine, ila mwisho wa siku Russia atashindwa bila kujadili Marekani ataingia pekee yake au na washirika wake wa NATO.

Mbali na teknolojia, uwezo wa kiuchumi katika vita ni moja ya factor muhimu katika kuamua mshindi wa vita, na uchumi wa Russia sio wa kuulinganisha na ule wa Marekani na washirika wake wa Ulaya wa Magharibi.

Vile vile, Marekani na Ulaya, wataanza kuiwekea vikwazo Russia kama njia ya awali ya kuidhooifisha kiuchumi kabla ya kuingia katika vita halisi iwapo watafika huko.

Puttin anawaza makombora na zana zake zingine za kijeshi, ila wenzake wana-consider all other factors na kujipanga vilivyo kabila hawajaingia katika uwanja wa vita.

Hata kama vita isipotokea, wamerekani kwa kushirikisha na mataifa ya Ulaya, watafanya kila njama kumuondoa Puttin kwani kwa ssaa ni tishio kwao na hawatakubali aendelee kubaki madarakani.

Time will tell.
Du! Kumbe wewe jamaa ni mweupe kiasi hiki. Russia ni mkibwa mwenzako na ni lazima kuwepo na kuheshimiana. Wamarekani msihishi kwa mazoea dunia imebadilika sana
 
Mi naona waiingize tu ili ccm waachie taifa tu
Nimefuatilia, ninavyoona Marekani hana nia ya dhati kupigana na russia. Inamchochea apigane na jirani yake halafu inapiga kelele iwekewe vikwazo huku ikitoa silaha.

Ni kama mtu anayecheza playstation wakati russia yupo uwanjani kabisa.

Mwisho russia atakuwa kamshinda ukrain, russia itakuwa na mavikwazo lukuki na marekani wataendeleza propaganda za kumlaani urusi awekewe vikwazo zaidi labda na kutoa msaada kwa ukrain.

Mfano imagin Abrovomich mmiliki wa chelsea bilionea wa russia raia wa russia akiguswa na hivi vikwazo na alivyowekeza england.
 
Sasa mpiga mkwara ni nani kati ya NATO na Urusi?

Tangu mwaka jana nato wanasema watamkomesha Urusi endapo akifanya shambulizi la kwanza.
Tangu jana tunaona mwanaume Putin anachanja mbuga tu huku magharibi wakijibu tofauti na walivyomvimbisha kichwa rais wa Ukraine 😁😁
 
Hivi kwa akili ya kawaida tu unadhani Russia ana silaha kali na za kisasa kuwazidi wengine hasa Marekani na Israel?

Sema tu dunia ya leo vita iliyobaki ni ya maneno zaidi na sio vita ya kuiingiza nchi katika hasara ya matrilioni ya fedha.

Hivi Marekani naye akisema aingize silaha zake na makombora ya kisasa pale Ukraine unadhani Russia atabaki salama?

Maana Marekani siku zote hapiganii vita nchini mwake bali nchini mwako ama jirani ili madhara ya vita uyapate wewe.
futa hii
israel ni jimbo la marekan nje ya marekan
 
Siku mkijua kwamba NATO 28+ USA countries iliundwa kwa lengo la kupambana na Urusi ndipo mtajua uwezo wa mrusi.
USA mwenyewe anajua uwezo wake ndio maana akaunda umoja huo umusaidie kupambana na Urusi,halafu anatokea Mmatumbi mmoja anakuambia Russia sio kitu.

Sawa sawa Waziri wa Ulinzi wa Russia, wamatumbi waongo sana
 
Back
Top Bottom