Yamungu Athumani
JF-Expert Member
- Apr 23, 2016
- 1,384
- 3,254
Ndoto Imeisha Au BadoNaona maono ukraine wanashona nguo nying za kijesh na kuwavalisha askar wa kimarekan kisha wamarekan wanaenda kumpiga nying za chembe urusi mpaka maji anaita mma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoto Imeisha Au BadoNaona maono ukraine wanashona nguo nying za kijesh na kuwavalisha askar wa kimarekan kisha wamarekan wanaenda kumpiga nying za chembe urusi mpaka maji anaita mma
Hii pisi ya chuo gani[emoji16][emoji16]View attachment 2129807
Nimepiga haipatikan mkuuhuyo demu vipi umetuekea na namba yake unataka tukamle kimasihala auView attachment 2129824
Ni kweli[emoji106][emoji106][emoji106]Ushauri potofu, dunia ya waliostaarabika haiwezi kukaa kimya ikiangalia uonevu wa wazi ukiendelea. Nato na us tayari wako mpakani mwa Ukraine...tusubiri majibu ya vipimo
Kama ambavyo marekani wamemuweka huyo raisi aliyepo saiviPutin lengo lake ni kumpindua Rais wa Ukraine aliekuwepo na kuweka puppet wake .Urusi wanataka kuweka Rais mpya Ukraine atakaefuata maagizo ya Putin.
Vita ya nyuklia hapatakuwa na mshindiKatika maisha ya kawaida, ukiona mtu anatoa vitisho vingi, basi ujue mtu huyo hana au ana uwezo mdogo wa kumkabili adui au mpinzani wake na hii hutokea mitaani na hata mashuleni katika ngumi za kawaida.
Vitisho mara nyingi hutumika kwa lengo la kumuogopesha mpinzani au adui asianzishe mapambano kwasababu mtoa vitisho anajua mpambano ukianza, hatoweza kumshinda adui au mpinzani wake, hivyo ni bora kujihami kwa kuhakikisha mapambano hayayokei na hiki ndio anachokifanya Puttin.
Ukitokea, mpambano utachukua muda mrefu tofauti na tulivyoona kwa kina Saddam na wengine, ila mwisho wa siku Russia atashindwa bila kujadili Marekani ataingia pekee yake au na washirika wake wa NATO.
Mbali na teknolojia, uwezo wa kiuchumi katika vita ni moja ya factor muhimu katika kuamua mshindi wa vita, na uchumi wa Russia sio wa kuulinganisha na ule wa Marekani na washirika wake wa Ulaya wa Magharibi.
Vile vile, Marekani na Ulaya, wataanza kuiwekea vikwazo Russia kama njia ya awali ya kuidhooifisha kiuchumi kabla ya kuingia katika vita halisi iwapo watafika huko.
Puttin anawaza makombora na zana zake zingine za kijeshi, ila wenzake wana-consider all other factors na kujipanga vilivyo kabila hawajaingia katika uwanja wa vita.
Hata kama vita isipotokea, wamerekani kwa kushirikisha na mataifa ya Ulaya, watafanya kila njama kumuondoa Puttin kwani kwa ssaa ni tishio kwao na hawatakubali aendelee kubaki madarakani.
Time will tell.
Huyo alishinda kidemokrasia.Kama ambavyo marekani wamemuweka huyo raisi aliyepo saivi
Utafikiri kanaweza pigana sasa na tumatusi twake kumbe ukikawekea ringtone ya kubweka kwa mbwa kanazimiaKwani hauwezi kuchangia bila kumuattack mleta maada ?Kwa nini umuambie mleta maada hana akili ?
Wamejitahidi Sana na bila Shaka hawatawezaKatika maisha ya kawaida, ukiona mtu anatoa vitisho vingi, basi ujue mtu huyo hana au ana uwezo mdogo wa kumkabili adui au mpinzani wake na hii hutokea mitaani na hata mashuleni katika ngumi za kawaida.
Vitisho mara nyingi hutumika kwa lengo la kumuogopesha mpinzani au adui asianzishe mapambano kwasababu mtoa vitisho anajua mpambano ukianza, hatoweza kumshinda adui au mpinzani wake, hivyo ni bora kujihami kwa kuhakikisha mapambano hayayokei na hiki ndio anachokifanya Puttin.
Ukitokea, mpambano utachukua muda mrefu tofauti na tulivyoona kwa kina Saddam na wengine, ila mwisho wa siku Russia atashindwa bila kujadili Marekani ataingia pekee yake au na washirika wake wa NATO.
Mbali na teknolojia, uwezo wa kiuchumi katika vita ni moja ya factor muhimu katika kuamua mshindi wa vita, na uchumi wa Russia sio wa kuulinganisha na ule wa Marekani na washirika wake wa Ulaya wa Magharibi.
Vile vile, Marekani na Ulaya, wataanza kuiwekea vikwazo Russia kama njia ya awali ya kuidhooifisha kiuchumi kabla ya kuingia katika vita halisi iwapo watafika huko.
Puttin anawaza makombora na zana zake zingine za kijeshi, ila wenzake wana-consider all other factors na kujipanga vilivyo kabila hawajaingia katika uwanja wa vita.
Hata kama vita isipotokea, wamerekani kwa kushirikisha na mataifa ya Ulaya, watafanya kila njama kumuondoa Puttin kwani kwa ssaa ni tishio kwao na hawatakubali aendelee kubaki madarakani.
Time will tell.
Hivi wakati Georgia inavamiwa bush alikua diwani?Na huyu bahati yake kakutana na wazee hawa Wapole!!!! Angekutana bush na hakika mpaka dakika hii asingekanyaga iyo ardhi ya Ukraine
Dah mwanangu we inaonekana we hujui Kila kituUtakuta mapiganoooooo miaka kadhaa,halafu Putin anakamatwa ananyongwa hah! Kama Sadam ilikuwa hivihivi
Hizo ni ngonjera za Boris Johnson, waziri mkuu wa Uingereza, usizizingatie sana, hawana cha kufanya zaidi ya kukimbilia vikwazo.
Waingie mzigoni wao kama NATO (nchi zaidi ya 20)
Dah we jamaa una maswali mazuri. .. eti umemuuliza alikua shule ya msingi?Hao akina Bush mbona alishawapiga matukio?
Ulikua ahule ya msingi Nini?
2008 ilikua siku tano kipigo kikaliUrusi aliipiga Georgia wakati gani?
Kipi bora upigane kwa kutuma machuma huku wewe ukiwa chumbani kwako, au upeleke watoto wa masikini wanaotegemewa na familia zao wakapigane na machuma?Warusi wanajulikana ni wapiganaji vita wazuri,, na hii ni pamoja na wa ukraine, masna walikuaga nchi moja ,
Hawa wamarekani, wafaransa, waingereza, nchi za marekani, wamezoea luxury,, hawawezi mapambano na Mrusi kamwe
Duh ipo kazi. Kikubwa Kiev waombe poo maisha yaendelee.. waachane na US. Anawadanganya afu anawakimbia.War -update
Mji wa Hostomel umeangukia kwenye mikono ya Warusi.upo umbali wa km 36 kutoka mji mkuu wa ukraine
Hata wewe huna akiliKwani hauwezi kuchangia bila kumuattack mleta maada ?Kwa nini umuambie mleta maada hana akili ?