marehem x
JF-Expert Member
- Dec 28, 2022
- 513
- 792
Si rahisi kama weng wanavyofikiria, ICC haina ubavu wa kumshika Putin huyu jamaa ana uwezo wa kwenda Le Poisson Rouge night club, Manhattan Club Marekani na akala bata na hakuna wa kimshika.
Miaka au hivi karibuni utaona atafanya hilo jaribio la kuingia maeneo tatanishi.
Hii inasababishwa na ukweli kwamba bila kulalia mlengo wwt warusi hasa viongozi wa juu wanaamin Putin hajipiganii yeye kama yeye ni kwa ajili SHIRIKISHO la Russia.
Watoto wasiojua watafananisha na kukamatwa Kwa Saddam, na aliyewahi kuwa Rais wa Libya sheikh Gadafi. Haya ni makundi tofauti Kabisa.
Hivi Marekani uliishafanya jaribio kumkamata Rais wa Korea ya kasikazin? Kw nn haijatokea, Wazungu walifanya fujo Afghanistan, na vinchi Vingine kama ........na wakakimbizwa, kule Marekani kuna vikema wa kudumu, wakitembelea wheel chairs, hakuna taifa linakunali kusababishiwa marejeruh na uharibifu.
Rais wa zamani wa urusi majuzi aliongea hataryya jaribio lolote kama hilo wale watafanya jamboybaya haifai kuimbea
Miaka au hivi karibuni utaona atafanya hilo jaribio la kuingia maeneo tatanishi.
Hii inasababishwa na ukweli kwamba bila kulalia mlengo wwt warusi hasa viongozi wa juu wanaamin Putin hajipiganii yeye kama yeye ni kwa ajili SHIRIKISHO la Russia.
Watoto wasiojua watafananisha na kukamatwa Kwa Saddam, na aliyewahi kuwa Rais wa Libya sheikh Gadafi. Haya ni makundi tofauti Kabisa.
Hivi Marekani uliishafanya jaribio kumkamata Rais wa Korea ya kasikazin? Kw nn haijatokea, Wazungu walifanya fujo Afghanistan, na vinchi Vingine kama ........na wakakimbizwa, kule Marekani kuna vikema wa kudumu, wakitembelea wheel chairs, hakuna taifa linakunali kusababishiwa marejeruh na uharibifu.
Rais wa zamani wa urusi majuzi aliongea hataryya jaribio lolote kama hilo wale watafanya jamboybaya haifai kuimbea