Rais Putin ana uwezo kwa kwenda Le Poisson Rouge night club, Manhattan Club akala bata

Rais Putin ana uwezo kwa kwenda Le Poisson Rouge night club, Manhattan Club akala bata

huu ujinga mnadanganyana sana rafiki yang kapiga picha hapo kila mtu hata ww unaeza piga picha hapo USA so CHINA au URUSI ambapo ikulu wame I overrate kias rais hawawez kuikaribia
hujaelewa kijana, umekurupuka. hakuna sehemu nimesema US inazuia kupiga picha eneo la nje ya ikulu.


kasome historia ya pablo escobar ndio utaelewa msingi wa comment yangu.

ni kwamba wakati anapiga picha nje ya ikulu ya Washington, tayari alishakuwa kwenye wanted list ya FBI.

jiulize aliingiaje US ikutokea colombia wakati tayari ni wanted na mamlaka za US.
 
Si rahisi kama weng wanavyofikiria, ICC haina ubavu wa kumshuka Putin huyu jamaa ana uwezo wa kwenda Le Poisson Rouge night club, Manhattan Club akala bata na hakuna wa kimshika.

Miaka au karibuni utaona atafanya hilo jaribio la kuingia maeneo tatanishi.

Hii inasababishwa na ukweli kwamba bila kulalia mlengo wwt warusi hasa viongozi wa juu wanaamin Putin hajipiganii yeye kama yeye.

Ni SHIRIKISHO
Mnamsifia putin mno 🤣🤣🤣😂😂Kama mabraza zangu pale masjid mtambani walivyokua wanamsifia Kanal Gadaffi miaka ya tisini.Uzuri time will tell.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mnamsifia putin mno [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Kama mabraza zangu pale masjid mtambani walivyokua wanamsifia Kanal Gadaffi miaka ya tisini.Uzuri time will tell.
 
Kwa akili Yako unaweza kumfananisha Gadafi na Putin?
Haihitaji elimu ya msingi kujua wewe ni mbumbumbu
Hata Saddam alisifiwa sana kama anavyosifiwa Putin kwa sasa na nyie vijana wa leo JF.Sishangai wewe kuniita mbumbumbu maana miaka hiyo ulikua hujazaliwa na mbwembwe za Gaddafi na siasa zake kimataifa hukuziona na vijiwe vyetu na mabraza near masjid mtambani wewe umezaliwa vimeshakufa kilibaki kimoja pale forodhani sec school kwa nyuma.
 
Back
Top Bottom