Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Khaaaaa haya...shikamoo babaMweeeee.
Unashinda vipi na aliekuzaa.
Mbegu moja tu ukazaliwa. Unajua kuona tu, deep deep down tuachie baba zako, we dig dig curve nakuwapa watoto kama nyie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaaaaa haya...shikamoo babaMweeeee.
Unashinda vipi na aliekuzaa.
Mbegu moja tu ukazaliwa. Unajua kuona tu, deep deep down tuachie baba zako, we dig dig curve nakuwapa watoto kama nyie.
Umekuwa mkali wewe.Achwni ushabiki maandazi.
Marhaba.....,maanina zenu
😆 😆😆😆huku hapafai watu wamevurugwa na mabomu ya nyukliaAchwni ushabiki maandazi.
Marhaba.....
Balaaaaaduh aiseee
Mkuu.Mi sio mshabiki wa siasa ila Putin ni level nyingine nimeona yale madege yyanao mu escort kwend SA nimeogopa...
Duuh hatari sanaMkuu.
Upande wa pili wana haya madude ila huwa hawana show off na wamepigana vita kila mwaka toka 1945.
F-15
F-22
F-35
B-2
B-21View attachment 2567679View attachment 2567680View attachment 2567683View attachment 2567681View attachment 2567682
Huyu naye ni GT et, Tanzania tumekwisha🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Si rahisi kama weng wanavyofikiria, ICC haina ubavu wa kumshuka Putin huyu jamaa ana uwezo wa kwenda Le Poisson Rouge night club, Manhattan Club akala bata na hakuna wa kimshika.
Miaka au karibuni utaona atafanya hilo jaribio la kuingia maeneo tatanishi.
Hii inasababishwa na ukweli kwamba bila kulalia mlengo wwt warusi hasa viongozi wa juu wanaamin Putin hajipiganii yeye kama yeye.
Ni SHIRIKISHO
Et nawewe ni GT, mashabiki wa Putin ni wajinga sana ndio maana USSR ilianguka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mi sio mshabiki wa siasa ila Putin ni level nyingine nimeona yale madege yyanao mu escort kwend SA nimeogopa...
Hili jukwaa mbona kama mmewehuka?Et nawewe ni GT, mashabiki wa Putin ni wajinga sana ndio maana USSR ilianguka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ndo kuivamia Ukraine ni kuipigania Urus , warusi watakuwa sio timamu kama wana hiz akiliSi rahisi kama weng wanavyofikiria, ICC haina ubavu wa kumshuka Putin huyu jamaa ana uwezo wa kwenda Le Poisson Rouge night club, Manhattan Club akala bata na hakuna wa kimshika.
Miaka au karibuni utaona atafanya hilo jaribio la kuingia maeneo tatanishi.
Hii inasababishwa na ukweli kwamba bila kulalia mlengo wwt warusi hasa viongozi wa juu wanaamin Putin hajipiganii yeye kama yeye.
Ni SHIRIKISHO
huu ujinga mnadanganyana sana rafiki yang kapiga picha hapo kila mtu hata ww unaeza piga picha hapo USA so CHINA au URUSI ambapo ikulu wame I overrate kias rais hawawez kuikaribiakama mwamba pablo escobar aliweza kusafiri mpaka USA na kupiga picha nje ya ikulu wakati anatafutwa na FBI na CIA, sina shaka bingwa wangu vladimir putin anaweza kufanya hivyo pia na akatoka salama bila kuguswa na bwege yoyote.
View attachment 2567673
Napolione aliweza wapiga wakubwa alikamatwa sembuse huyu anavamia wanyonge a.k.a kolon la ChinaHakuna mbwa yoyote dunia hii ana uwezo wa kumkamata jasusi Putin
Kusema ukweli tukiacha utani,Mimi nimemuelewa vizuri TU mtoa mada.Post yako ina maana gani !!?
Dada yangu wala hujakosea.Mi sio mshabiki wa siasa ila Putin ni level nyingine nimeona yale madege yyanao mu escort kwend SA nimeogopa...