dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
Nakushangaa unajadili huu uzi. Uko kwa lugha gani vile?Hizo ni lugha za watu mzee. Acha kuparamia 😀 😀 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakushangaa unajadili huu uzi. Uko kwa lugha gani vile?Hizo ni lugha za watu mzee. Acha kuparamia 😀 😀 😀
Mkuu, Zelensky ameapa kurudisha maeneo yote ambayo Russia imeyaweka mikononi mwake. Nadhani ni suala la muda mtu. Tumpe muda, aoneshe manjonjo yake dhidi ya Putin.Masikini zelensk 🤔🤔 unajimwambafai kupigana kwa kutegemea msaada kweli? Sasa kama hatashinda hii vita ndani ya miezi hii miwili, ajiesabie ni mfu maana Trump ataki kusikia huo ujinga wao na NATO bila marekani ni sawa na kuku aliakatwa kichwa akaachwa apapalike
Una Copy na Ku Paste meme za kizungu 🤣 🤣 🤣 🤣 Unadhani zinaendana na thread?Nakushangaa unajadili huu uzi. Uko kwa lugha gani vile?
Hayo Maneno sio mageni hapa jijini labda Kwa wageni wa jiji 🤣🤣Mkuu, Zelensky ameapa kurudisha maeneo yote ambayo Russia imeyaweka mikononi mwake. Nadhani ni suala la muda mtu. Tumpe muda, aoneshe manjonjo yake dhidi ya Putin.
Sio kazi yako kunipangia cha ku-post humu. Elewa hilo kwanza.Una Copy na Ku Paste meme za kizungu 🤣 🤣 🤣 🤣 Unadhani zinaendana na thread?
Zelensky ameshaanza KULALAMIKA huko kuwa Urusi inafanya Ukraine kuwa uwanja wa majaribio,wewe ni nani uone kuwa Urusi inazidiwa!?Haya maneno ni kama aliyoyasema secretary General wa Hizbullah Jana bila shaka Hawa ni kulwa na doto na wote wanajuta kwann waliamua kuingiza timu uwanjani.
Huyo anayeapa kurudisha maeneo Kila leo anazidi kupoteza maeneo.Mkuu, Zelensky ameapa kurudisha maeneo yote ambayo Russia imeyaweka mikononi mwake. Nadhani ni suala la muda mtu. Tumpe muda, aoneshe manjonjo yake dhidi ya Putin.
Mimi sikupangii, ninakufundisha. Unaharibu wewe tunaona aibu JF.Sio kazi yako kunipangia cha ku-post humu. Elewa hilo kwanza.
Tunaona aibu; unamsemea nani? Umetumwa na nani? Wacha kujipendekeza kijana. Eti unaona aibu!Mimi sikupangii, ninakufundisha. Unaharibu wewe tunaona aibu JF.
Ndoto za Alinacha hizo mkuuThe last kicks of a dying horse 🐎. Is going to be fixed soon very soon.
Kauli ya kiwoga kama Chadema.We have always preferred, and we still prefer, to resolve our disagreements using peaceful means, but we are prepared for any scenario, and if anyone has any doubts, they shouldn’t.”
Inferiority complex inakusumbua.Tunaona aibu; unamsemea nani? Umetumwa na nani? Wacha kujipendekeza kijana. Eti unaona aibu!
Hahaaa tena ukubwani baada ya kuhamia mbagala kutoka tarimeUnatumia methali za kingereza kwenye wrong context. 😀 😀
Utakuwa umejifunza kingereza kwa kukariri
Nimekwambia acha kujipendekeza.Inferiority complex inakusumbua.
Inakufanya ushindwe kudadavua vitu vidogo vidogo sana.
Unatuaibisha wanaJF
Inaonekana unaangalia sana movies za akina komandooo joni.