Rais Putin anatema cheche muda huu

Rais Putin anatema cheche muda huu

Masikini zelensk 🤔🤔 unajimwambafai kupigana kwa kutegemea msaada kweli? Sasa kama hatashinda hii vita ndani ya miezi hii miwili, ajiesabie ni mfu maana Trump ataki kusikia huo ujinga wao na NATO bila marekani ni sawa na kuku aliakatwa kichwa akaachwa apapalike
Mkuu, Zelensky ameapa kurudisha maeneo yote ambayo Russia imeyaweka mikononi mwake. Nadhani ni suala la muda mtu. Tumpe muda, aoneshe manjonjo yake dhidi ya Putin.
 
Yaani wakipigana wazungu ndio vita inakuwa na namba lakini kama ni wengine hata hamna attention huo ni utumwa kabisa na kwanza hata vita vyenyewe tu hamna ni swagger tu za dikteta Putin kutisha watu kama kawaida yake ili west watengue uamuzi wa kuiruhusu Ukraine kuishambulia Russia na long range arms.
 
Biden anajua Trump akiingia Vita ya ucrain ataikomesha so anatumia mda mchache alio Baki nao kuhakikisha Hilo halitokei
 
Haya maneno ni kama aliyoyasema secretary General wa Hizbullah Jana bila shaka Hawa ni kulwa na doto na wote wanajuta kwann waliamua kuingiza timu uwanjani.
Zelensky ameshaanza KULALAMIKA huko kuwa Urusi inafanya Ukraine kuwa uwanja wa majaribio,wewe ni nani uone kuwa Urusi inazidiwa!?

As for the case of Hizbollah,hivi Israel imefanikiwa kurudisha raia wake Galilaya!?
Je Israel imefanikiwa kuwafukuza Hizbollah Hadi ukingo wa mto Latan!?
Nikusaidie kujibu jibu ni HAPANA HAKUNA LENGO ISRAEL WALILOFANIKISHA zaidi raia wanazidi kuhamishwa kukimbia Kanda ya kati kuelekea nyanda za juu Kusini kukwepa mashambulizi ya Hizbollah.
 
Mkuu, Zelensky ameapa kurudisha maeneo yote ambayo Russia imeyaweka mikononi mwake. Nadhani ni suala la muda mtu. Tumpe muda, aoneshe manjonjo yake dhidi ya Putin.
Huyo anayeapa kurudisha maeneo Kila leo anazidi kupoteza maeneo.
Sasa tunampaje muda zaidi!?
 
Huyu dicteta kenge yeye muda wote ni kutema cheche tu. Moto wake hata hatuuoni...! Hana jipya. Asubiri kuokotwa kwenye tundu la choo
 
We have always preferred, and we still prefer, to resolve our disagreements using peaceful means, but we are prepared for any scenario, and if anyone has any doubts, they shouldn’t.”
Kauli ya kiwoga kama Chadema.
 
Tunaona aibu; unamsemea nani? Umetumwa na nani? Wacha kujipendekeza kijana. Eti unaona aibu!
Inferiority complex inakusumbua.
Inakufanya ushindwe kudadavua vitu vidogo vidogo sana.

Unatuaibisha wanaJF
Inaonekana unaangalia sana movies za akina komandooo joni.
 
Inferiority complex inakusumbua.
Inakufanya ushindwe kudadavua vitu vidogo vidogo sana.

Unatuaibisha wanaJF
Inaonekana unaangalia sana movies za akina komandooo joni.
Nimekwambia acha kujipendekeza.
 
Back
Top Bottom