Cha ajabu Putin hana ugomvi na Israel mshirika kindakindaki wa marekkani
Mosad wanashida gani nae.!?
Russia kuna wayahudi kibao wengine wako Kremlin.
Wakati Putin hana uhasama na Israel,pia marekani ni mshirika wa israel.
Kama A=B=C
Ndio utajua kuwa huu uhasama wa russia na US ni geresha tu. Deep down ni marafiki sana na wanashare project na biashara kibao.
Huu uhasama umetengenezwa tu kuleta msawazo wa kiuchumi,kisiasa za kimataifa na mambo kadha wa kadha.
Wamarekani wa ikungulyabashashi na warussi wa ntantilyabashashi endeeleni kuvutana mashati[emoji2]