hahaaa yaan ss hv hvyo vinch ndo vimekuwa vya kimkakati tena ?Aende Brazil kisa tu wewe ndio unataja aende Brazil?
Unampangia pakwenda bila hata kujua huko anapokwenda sasa hivi anakwenda kwa mikakati ipi!
Unalinganisha ardhi na mbingu.Huu ndio muda muafaka, vijana wa Mosad na CIA wanatafuta fursa ya kupita naye.
Huyu ni mMagharibi wa MadekeHuu ndio muda muafaka, vijana wa Mosad na CIA wanatafuta fursa ya kupita naye.
Kumbe yeye ni mbabe,nilikuwa sijuiUbabe una mwisho. Yeye si wa kwanza walikuwepo akina Hitler,Iddi Amin,n k leo hii hawapo,wako mbele za haki kutoa hesabu dhidi ya matendo yao. God is watching
Hapo umeshiba michembe umeamua kwenda kijiweni hapo Ushirombo kuwalisha upepoMaisha ya Putin yanatisha sana , wajinga tu ndo hawaelew ,kwasasa anaishi kama digi digi
Kwani anaenda kwa mkakati upi? Ni ziara ya nini? Hebu tujuze huenda wewe ukawa unajua zaidi coz upo ndani ya Kremlin Moscow.hahaaa yaan ss hv hvyo vinch ndo vimekuwa vya kimkakati tena ?
ππππππHapo umeshiba michembe umeamua kwenda kijiweni hapo Ushirombo kuwalisha upepo
Cha ajabu Putin hana ugomvi na Israel mshirika kindakindaki wa marekkaniHuu ndio muda muafaka, vijana wa Mosad na CIA wanatafuta fursa ya kupita naye.
Kumbe nilikua najadili mambo mazito na mtu aliye kwenye likizo ya Shule!kwan bajet ya ulinz ya urusi na usa inalingana ? yaan mwenz pesa nying kweny ulinz awe na ulinz mdg hlf mweny pesa ndog awe na ulinz mkubwa ? back on point tunazungumzia kuish km digi digi yaan kuanzia watot wakizung ss hv anawaona tu kwa pornhub , yy alishazoea vitoto romantic ss hv akomae na wakurya wa urusi
Hii inanikumbusha jinsi Rais John F. Kennedy alivyo pania kumuua Fidel Castro badala yake akawaiwa yeye - sasa hiki ndio kutokea kwa Taifa lolote lonalo kula njama za kumdhuru Putin - viongozi wao ndio watatangulia mbele ya haki na sio Putin.Huu ndio muda muafaka, vijana wa Mosad na CIA wanatafuta fursa ya kupita naye.
Splendid indeed, what a million Dollar question - BRAVO. Subiri majibu utapa na butwaa!!Mkuu kati ya Putin na Biden ni nani anayelindwa zaidi? Who is the most protected president?
Well said,mpaka sasa Israel imekataa kuwapa silaha jeshi la Ukraine - kumbuka Zelensky ni Muyahudi mwenzao lakini hawakutaka kijiingiza kwenye mgogoro wa Ukrain na Urusi.Cha ajabu Putin hana ugomvi na Israel mshirika kindakindaki wa marekkani
Mosad wanashida gani nae.!?
Russia kuna wayahudi kibao wengine wako Kremlin.
Wakati Putin hana uhasama na Israel,pia marekani ni mshirika wa israel.
Kama A=B=C
Ndio utajua kuwa huu uhasama wa russia na US ni geresha tu. Deep down ni marafiki sana na wanashare project na biashara kibao.
Huu uhasama umetengenezwa tu kuleta msawazo wa kiuchumi,kisiasa za kimataifa na mambo kadha wa kadha.
Wamarekani wa ikungulyabashashi na warussi wa ntantilyabashashi endeeleni kuvutana mashati[emoji2]
kwan hujui kusoma mkuu ? huon alama ya kuuliza ?Kwani anaenda kwa mkakati upi? Ni ziara ya nini? Hebu tujuze huenda wewe ukawa unajua zaidi coz upo ndani ya Kremlin Moscow.