Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
unapowakosoa wote ukweli unakua huru ila unapo egemea upande mmoja unaonekana uko wapiMimi binafsi sina upande. Nina mawazo huru.
sio kwa kiasi fulani kwasuala la zelenski ni kwa zaidi ya 100%Na jukumu lake kubwa lilikuwa ni kuangazia majasusi wa kigeni yaani "counter intelligence". Hivyo akikuambia kwamba Zelenski ni kibaraka anaetumiwa na nchi za magharibi itabidi uamini kwa kiasi fulani.
View attachment 2126631
Raisi Vladimir Putin akitia saini amri (the Decree) kutambua majimbo ya Donestk na Luhansk kuwa majimbo huru. Picha na Reuters.
Raisi wa Russia Vladimir Putin usiku huu anatarajiwa kutangaza majimbo ya Donetsk na Luhansk kama majimbo huru.
Majimbo haya mawili yaliyo upande wa mashariki mwa Russia, ndio kiini cha mzozo unoendelea unaozihusu nchi za Ukraine, NATO, Russia, Marekani na nchi za magharibi.
Pia raisi Putin atasaini amri (decree) ya kutambua eneo zima lijulikanalo kama Donbass kama eneo la Russia.
Baada ya kutangaza uamuzi huo wa Russia, kiongozi huyo wa Russia ataamuru majeshi ya Russia kuingia katika majimbo hayo ili kulinda maslahi ya Russia kiusalama na kijeshi.
Raisi wa Ufaransa Emmanuel Macron ameitisha kikaao cha dharura cha umoja wa mataifa ambapo suala la uamuzi wa Russia kutambua majimbo ya Donetski na Luhansk litajadiliwa.
Wakati huohuo Russia imeitisha kikao cha dharura umoja wa mataifa kujadili suala la Ukraine baada ya mkuu wa majeshi ya Russia kusema kwamba Ukraine imeweka majeshi yapatayo 60,000 katika eneo la Donbass.
Putin anadai kwamba kiongozi wa ilokuwa USSR Lenin alifanya maamuzi ya kimakosa katika kuangalia mipaka ya USSR na ndio kiini cha matatizo ya leo hii.
Mkuu wachukulie poa tu! Hakuna vita ya 3 ya dunia.Wasituletee vita ya 3 ya dunia kwa sababu ya upumbavu wao. Maana vita ya 3 kwa technolojia iliyopo wote tutakwisha including wao. Washenzi hawa wananibore sana.
Marekani hawezi kusema hivyo urusi wanaweza kuisambaratisha marekani Moka majivuMbona ameogopa na USA amemwambia achague kupigwa au aache mpango wake ovu
Chief of General Staff, General Varely Gerasimov. Ni mara moja tu niliwahi muona ametabasamu kwenye videos na picha zote ninazomuona. Na huwa namuona sana kila mazoezi makubwa ya kijeshi, maadhimisho, maonesho
Sasa hayo majimbo inamaana yamemeguka toka russia au
Umeanza kubadilika kidogokido,najua Shemeji anafanya kazi yake vizuri ya kukuelimisha.EU wanatakiwa wakatae kucheza ngoma ya USA .USA alipoitambua Jerusalem kama makao makuu ya Israel why hawakumfanyia sanctions ?Russia na USA wanabore sana.
Nisha isikia mkuu nasikia mtu alitoka nduki mbayaKosovo si ulishaisikia mpaka inaimbwa, hao kama Vietnam[emoji28]
Sijawahi badilika. Binafsi sina upande. Huwa ninaanalyse kila mmoja wao mazuri na mabaya yake.Umeanza kubadilika kidogokido,najua Shemeji anafanya kazi yake vizuri ya kukuelimisha.
Inabidi ujue Sasa kuwa chokochoko zote hizi ni US,ndio anataka kuizunguka kijeshi Russia.
Marekani anakaa mbali huko NATO ya Nini?
Sasa Russia wale ni akili nyingi hawaruhusu Adui yake USA amsogelee kupitia mgongo wa NATO.
Utaelewa taratibu TU,hata Mimi nilikua kama wewe.
Ila kwa mambo ya CCM aisee uko juu.
Maana ulikua unatupa Up date sahihi kabisa za hali ya afya ya yule aliekua anatamani kuja kuwa Mkuu wa malaika.
Russian Tupolev Tu-160 Blackjack na Tu-22M3Zipigwe tu, muda mrefu hatujatumia Tupolev zetu[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
ha ha ha hao ndio wawamarekani ni wazee wa kukimbia msaraAahah hahaha ah aha ha ha haa.
Imenichukua sekunde kadhaa kuelewa ulichomaanisha.
Na wengi hawatakuelewa.
Ha ha haa.
Putin hua hatanii. Hiyo ndio sifa kubwa ya huyu mbabe linapokuja suala la vita. Sasa wakae kwa kutulia chuma kimeshapata moto kile.
Kuhusu Nato nilimponda USA.Leo nimemponda Putin kwa kutambua sehemu ya Ukraine ambao ni pro Russia kama sehemu huru.Mimi sina upande. Ukitaka ujadili vizuri hawa mataifa wawili ni vyema kutokuwa na upande maana wote ni wapumbavu.Umeanza kubadilika kidogokido,najua Shemeji anafanya kazi yake vizuri ya kukuelimisha.
Inabidi ujue Sasa kuwa chokochoko zote hizi ni US,ndio anataka kuizunguka kijeshi Russia.
Marekani anakaa mbali huko NATO ya Nini?
Sasa Russia wale ni akili nyingi hawaruhusu Adui yake USA amsogelee kupitia mgongo wa NATO.
Utaelewa taratibu TU,hata Mimi nilikua kama wewe.
Ila kwa mambo ya CCM aisee uko juu.
Maana ulikua unatupa Up date sahihi kabisa za hali ya afya ya yule aliekua anatamani kuja kuwa Mkuu wa malaika.
hivyo vi bomber vinapigwa hata na s 200Russian Tupolev Tu-160 Blackjack na Tu-22M3
VS
American B-2 Spirit bomber, B-52 Flying Fortress na B1B Lancer
Wanaomu underate russia wakasome dude linaitwa tsar bomber au the weapon of last resort ndio bomu kubwa la nyuklia kuwahi kutengenezwa dunia haijapata tokea mpaka leo na toka kuumbwa kwa ulimwengu na hiyo ni mwaka 1961 wakati cc ndio tunapata uhuru sasa jiulize huyu mtu leo atakuwa wapi?
[emoji16][emoji16][emoji16]Hawa jamaa wanaweza wakaamua kuja kupigania Africa, tusishangilie vitu tusivyovijua
atakufa TU usijali,ila anatimiza nafasi yake aliyopangiwaPutin ni hatari kwa hii dunia. Yaani natamani afe tu. Dictator mkubwa huyu.