Punguza mahaba ni kweli Russia aliwahi kuomba uwanachama NOTO.tulia ww urusi alikuwa na nato yake kama unafuatilia historia waliasini Warsaw pact ambayo ilivunjika 1991 na walisaini mkataba na nato asijitanue east Europe sasa nato wanakiuka makubaliano unataka Putin awachekee
Nawe pia propaganda zime kujaa vs mahaba unashindwa hata kuandika hoja.Wewe ndo muongo usiyejua na bora unyamaze tu, umemezeshwa propaganda za BBC. Yale maandamano yaliandaliwa na kupangwa na CIA na FBI kisa rais hakuwa upande wao, ivyo 2akapanga kumuondoa, haukujiuliza kwann rais aliyetoka na kupisha zelinski alitaka kuongeza muda raia wakagoma? Na ndo mana Cremia ikaenda na maji na leo Luganski na Donbass nazo zinakwenda na maji, lisha wanahamia wahuni eneo lingine, mpaka Ukraine iishe kama ilivyoisha Yugoslavia.
Nataman NATO wampe nafasi UkraineDuh ipo kazi kikubwa Ukraine akatae kutumika vibaya na NATO ardhi yao itakwenda maskiini
Nataman NATO wampe nafasi Ukraine
Mkuu kwenye nchi 10 zenye GDP kubwa Russia ipo kama ipo ni ya ngapi?Mkuu, jaribu sana kutoingiza ushabiki kwenye masuala yenye kuchangamsha akili kama haya.
Hivi, waifahamu GDP ya Russia kwa sasa imesimama vipi?
Uchumi wa Russia kwa mujibu wa WIKIPEDIA.
1. Russia ni nchi ya 11 kwa uchumi mkubwa duniani kwenye GDP na PPP.
2. GDP - sekta ya huduma ni 62%, sekta ya viwanda 32% na sekta ya kilimo ni 5% na watu wasoajiriwa ni 4.3%
3. Akaunti ya fedha za kigeni ni bilioni 638 na ni ya 4 kwa ukubwa huo duniani.
4. Wafanyakazi au "labour force" ni milioni 70 na inaifanya Russia kuwa ya 6 duniani.
5. Russia ni ya 10 duniani kwa utengenezaji magari.
6. Russia ni moja ya nchi duniani zenye madeni madogo sana.
7. Russia ni nchi ya 20 duniani kwa uingizaji na usafirishaji bidhaa duniani.
Tz imo katika Watao supply MkuuNot cancel, suspend. Wanahitaji gesi hao mzee.
Amekukosea nnPutin ni hatari kwa hii dunia. Yaani natamani afe tu. Dictator mkubwa huyu.
Huyo ni Joseph Stalin wa miaka hii. Bora kumterminate tu.Amekukosea nn
HahahaSijakuelewa
Hakuna kitu unajua wwNasema hivi Putin atakufa kabla hajaivamia Ukraine. Anajiona yeye ni nani?Nimemsikiliza hotuba yake inaonekana kabisa adui yake ni USA. Si akavamie Alaska huko ?Stupid.
Bora kuterminate mabepari wa magharibiHuyo ni Joseph Stalin wa miaka hii. Bora kumterminate tu.
Tz imo katika Watao supply Mkuu
Naifahamu ndo maana naongea kwa uhakika aipo top ten na imepitwa na Canada kinchi chenye watu million 30+ au unabishaMkuu, jaribu sana kutoingiza ushabiki kwenye masuala yenye kuchangamsha akili kama haya.
Hivi, waifahamu GDP ya Russia kwa sasa imesimama vipi?
Waswahili tunaita MbumbumbuHakuna kitu unajua ww
Kawekeni vikwazo basi mfulaniNawe pia propaganda zime kujaa vs mahaba unashindwa hata kuandika hoja.
Diplomasia ndo suluhisho pekee la huu mgogoro, sasa nyie endeleeni kukaza vichwa Urusi sio Iraq, Urusi sio Iran. Urusi ni mmoja wa super powers wa dunia hii, hauwezi kumdondosha kwa vikwazo hata siku moja, zaidi mambo yatazidi kuwa magumu upande wao tu na kuifanya Ukraine izidi kumegwa.View attachment 2126631
Rais Vladimir Putin akitia saini amri (the Decree) kutambua majimbo ya Donestk na Luhansk kuwa majimbo huru. Picha na Reuters.
Rais wa Russia Vladimir Putin usiku huu anatarajiwa kutangaza majimbo ya Donetsk na Luhansk kama majimbo huru.
Majimbo haya mawili yaliyo upande wa mashariki mwa Russia, ndio kiini cha mzozo unoendelea unaozihusu nchi za Ukraine, NATO, Russia, Marekani na nchi za magharibi.
Pia Rais Putin atasaini amri (decree) ya kutambua eneo zima lijulikanalo kama Donbass kama eneo la Russia.
Baada ya kutangaza uamuzi huo wa Russia, kiongozi huyo wa Russia ataamuru majeshi ya Russia kuingia katika majimbo hayo ili kulinda maslahi ya Russia kiusalama na kijeshi.
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ameitisha kikaao cha dharura cha umoja wa mataifa ambapo suala la uamuzi wa Russia kutambua majimbo ya Donetski na Luhansk litajadiliwa.
Wakati huohuo Russia imeitisha kikao cha dharura umoja wa mataifa kujadili suala la Ukraine baada ya mkuu wa majeshi ya Russia kusema kwamba Ukraine imeweka majeshi yapatayo 60,000 katika eneo la Donbass.
Putin anadai kwamba kiongozi wa ilokuwa USSR Lenin alifanya maamuzi ya kimakosa katika kuangalia mipaka ya USSR na ndio kiini cha matatizo ya leo hii.
Anazidiwa kutokana na vigezo walivyo viweka IMF&WB inayomilikiwa na USA au sio?.Haiwez Rudi sababu ili uwe na ushawishi lazima uwe na nguvu kiuchumi, marekani Ina nguvu sio kwa sababu ya jeshi Bali uchumi wake ni Mkubwa na unainfluence kubwa sana kwenye global economy
Leo hii Russia imezidiwa na gdp na nchi kama Canada, soon ushishangae south Korea au Australia zikimpita, USSR ilikua na nguvu sana kiuchumi ndo Siri ya kuwa na nguvu,
Aliongea Russia kujiunga NATO kwa namna ya kudhihaki,sasa wewe ndugu anavyoelezea ni kana kwamba kweli Russia alitaka kujiunga NATO.Nimesema mkataba uwekwe hadharani ili dunia iuone. Dunia ikishauona, humu JF utafika pia!
Walipewa ahadi bila mkataba?!
Makubaliano katika masuala mbalimbali na muhimu ya kimataifa kama suala hilo huwa hayaishii kwenye mazungumzo bila ya mkataba.
Putin anajaribu kushawishi watu hasa umma wa Warusi kuwa kulikuwa na makubaliano hayo, lakini anazungumza maneno matupu. Kama huo mkataba ungekuwepo, unafikiri kungekuwa na haja ya kushawishi watu kwa maneno tu?
Tunawezaje kuamini maneno matupu tu kwamba kulikuwa na makubaliano, kwamba Urusi iliomba [rasmi] kujiunga NATO mwaka 2000? Haya ni masuala ya kuzungumza tu kwenye media bila ya backup ya uthibitisho?
Hilo suala la Urusi kujiunga NATO liliwahi kuibuliwa miaka ya nyuma na huyuhuyu Vladimir Putin kwenye interview na vyombo vya habari, ni vile tu watu huwa hamfuatilii taarifa vizuri.
Kwa maneno yake mwenyewe, aliwahi kusema kuwa Clinton alikubali hilo pendekezo la Urusi kujiunga na NATO ingawa halikuwa ombi rasmi kwa sababu suala la kujiunga NATO lina mchakato mrefu sana. Leo akisema kuwa hakujibiwa, tuamini lipi? Na tumuamini Putin yupi? Huyu wa jana ama wa hapo kabla?!