Rais Putin kutangaza usiku huu Russia kutambua rasmi majimbo huru yaliyojitenga ya Donetski na Luhansk

Rais Putin kutangaza usiku huu Russia kutambua rasmi majimbo huru yaliyojitenga ya Donetski na Luhansk

Unacheza sasa Hahhaha

Mchezo gani? Soma hapa

LONDON (Reuters) - Shell has made good progress with the Tanzanian government in recent months to advance a liquefied natural gas (LNG) project to tap the East African country’s huge gas resources, a Shell executive said on Monday.
“We have seen some real quick progress over the last year compared to what had been a much slower progress before and we continue to be hopeful that we can take this project all the way through to FID (final investment decision) at some stage,” Shell’s head of integrated gas Wael Sawan said.
The development of Tanzania’s vast offshore gas resources has been held up for years due to delays in government licensing agreements, but Sawan told reporters that some fiscal disputes “have now been resolved”.
Shell operates Block 1 and Block 4 off Tanzania, which hold 16 trillion cubic feet in estimated recoverable gas. It aims to develop an LNG project together with Norway’s Equinor.
Equinor also operates Block 2, in which ExxonMobil also holds a stake and which is estimated to hold more than 20 trillion cubic feet of gas.

Reporting by Ron Bousso and Marwa Rashad, Reuters today
 
Ukraine ethnicity hawataki kuwa upande wa Russia sababu hawaoni faida yake,inekuwa wanataka kuwa upande wa Russia kama watu humu wanavyotaka kutuaminisha,ile Kyiv ingeshachafuka siku nyingi,Russia wanajua weak point ya Ukraine ni ule upande wa East penye Russian ethnicity wengi na ndio wanaoi support Urusi,Siku Russia akirogwa akaivamia Kyiv ndio vita pale itakuwa mbaya sana maana hadi sasa kila raia wa Ukraine amepewa bunduki na kuwa trained kuilinda nchi yao,hiyo vita itakuwa mbaya sana na watu watakufa wengi mno kitu ambacho hata Putin mwenyewe nina uhakika hatotaka kitokee maana hata raia wake wengi hawaungi mkono kuivamia kijeshi Ukraine...
Ukraine kama nchi na raia wake wanataka kuwa upande wa magharibi hao wengine wanaojitenga ni ethnicity inawasumbua to nothing else...
PUTIN anajua kuliko wewe kaa kwakutulia kijana
 
Exactly tatizo Russia has nothing to offer in economy ndo changamoto kubwa aliyokua nayo

Putin ni moja wa kiongozi wa ajabu sana yaan Russia ni kubwa sana aachen petty issues, hakuna muwekezaji atakae wekeza Crimea au donbass sababu kumushawekewa vikwazo baada ya mda uchumi utacollapse anachofanya Putin ni ujinga

Putin apambane gdp ikue ndo njia rais ya yeye kuwa na ushawishi
kuhusiana na ushawishi anao wautosha sana nandio maana NATO wamepoa na jamaa anapata sapot yakutosha huko MOSCOW
 
Haya siku pia tukisikia USA/Magharibi wanavamia taifa huru kwa kigezo hikihiki cha security concern,tuwe na msimamo huu huu tusigeuze tena shingo tuanze kulaumu na kuwalaani USA,tuwasifie kama tunavyoisifa Urusi leo...Msichokijua hii ni precedent imewekwa,siku utaskia china anaichukua Taiwan kwa nguvu,Utaskia USA anaivamia Cuba kwa kigezo hiki hiki kinachotumiwa na Putin,hakutakuwa na wa kumnyooshea mwenzie kidole,dunia itakuwa imeparaganyika...then there comes WW3.
Usikie marangapi kwa US nakama hujawahi kusikia hutakaa usikie tena mpaka unakufa
 
Huyu anapata kiburi toka kwa mkewe Sophia alizaliwa Kigamboni ni pure mzaramo. Kumbuka huyu Putin alishaishi bongo. Ni mjeuri sana huyu ana ubabe wa kishamba. Samahani hivi Ukraine Rais wao si yule mchekeshaji ama nimekosea. Msaada tutani.
 
Ok mkuu weye endelea kuamini hivyo.

Ila Russia muziki wake USA hauwezi.

Alifanya hivyo, Syria na sasa ni Ukraine.

USA atakaa akiangalia tu.

There were supposed to watch (closely) the rise of Vladmir Putin.
Putin ni mwehu sana. Anajiamini mno
 
Nimesema mkataba uwekwe hadharani ili dunia iuone. Dunia ikishauona, humu JF utafika pia!

Walipewa ahadi bila mkataba?!

Makubaliano katika masuala mbalimbali na muhimu ya kimataifa kama suala hilo huwa hayaishii kwenye mazungumzo bila ya mkataba.

Putin anajaribu kushawishi watu hasa umma wa Warusi kuwa kulikuwa na makubaliano hayo, lakini anazungumza maneno matupu. Kama huo mkataba ungekuwepo, unafikiri kungekuwa na haja ya kushawishi watu kwa maneno tu?

Tunawezaje kuamini maneno matupu tu kwamba kulikuwa na makubaliano, kwamba Urusi iliomba [rasmi] kujiunga NATO mwaka 2000? Haya ni masuala ya kuzungumza tu kwenye media bila ya backup ya uthibitisho?

Hilo suala la Urusi kujiunga NATO liliwahi kuibuliwa miaka ya nyuma na huyuhuyu Vladimir Putin kwenye interview na vyombo vya habari, ni vile tu watu huwa hamfuatilii taarifa vizuri.

Kwa maneno yake mwenyewe, aliwahi kusema kuwa Clinton alikubali hilo pendekezo la Urusi kujiunga na NATO ingawa halikuwa ombi rasmi kwa sababu suala la kujiunga NATO lina mchakato mrefu sana. Leo akisema kuwa hakujibiwa, tuamini lipi? Na tumuamini Putin yupi? Huyu wa jana ama wa hapo kabla?!
muamini PUTIN yeyote kwenye siasa PUTIN hajawahi na hatawahi kusema uongo maana kusema uongo kwake ni mwiko
 
Putin anajua kucheza na maneno kuhalalisha misimamo yake,watu humu wanamuona kama Mungu mtu,kwamba kila anachokisema kuhusu west ni sahihi,...
Ila wajue tu Putin amesha set precedence,kesho tusishangae kusikia China ameivamia Taiwan kimabavu au marekani imeivamia Cuba far same same reason,....security concern...
CHINA kuivamia TAIWAN nisahihi ila US kuivamia CUBA sio sahihi nahatakama itakua sahihi huo uwezo hana nahatakaa ajaribu
 
Watabweka wanyonge wa Urusi kwani shares zinaanguka vibaya juzi Tu paketi ya maziwa ilikuwa rubel 50 ,Jana 60 sijui leo itafika ngapi.
Wazee wenye nchi hawajali
kama kawaida yenu kumezeshwa propaganda hehehe
 
Kumbe Urusi ilishakataliwa kujoin NATO?Naona Putin anatema cheche. Wao walikataliwa ila why nchi jirani na yeye zinakubaliwa ?Kazi ipo.
Kuiruhusu urusi ndani ya NATO ni kuongeza ushawishi wa Urusi na kuipa tabu na shida USA ya ukiranja mule ndani.
AS OLD SAYING GOES KEEPING RUSSIA OUT , GERMAN CONTAINED kwa sababu kungefukuta ndani ndani mule NATO.
Nchi kama Hungary ipo NATO na inamsapoti Urusi pata picha Urusi angekuwa Member ingekuwaje.
 
tulia ww urusi alikuwa na nato yake kama unafuatilia historia waliasini Warsaw pact ambayo ilivunjika 1991 na walisaini mkataba na nato asijitanue east Europe sasa nato wanakiuka makubaliano unataka Putin awachekee
NATO yake inaitwa CSTO zipo nchi kama BELARUSI, KYRIGSTAN, UZBEKISTAN, TAJIKSTAN, ARMENIA, KAZAKSTAN, MONGOLIA, ARZEBAIJANI MUALIKWA ila Kuna mkataba wameingia sio siku nyingi
 
Huo mkataba uliosainiwa ili "NATO isijitanue" uko wapi?

Mbona hauwekwi hadharani dunia ikapata kuuona?

Hii hoja kwamba "NATO walikubaliana na Urusi" imeshamiri sana humu hasa kipindi hiki. Ingependeza sana kama hoja hiyo ingeambatanishwa na uthibitisho wa mkataba huo!
Walihakikishiwa kwa mdomo Stupid Gorbachev na mlevi Yeltisin ila NATOwanafanya kinyume na unachosema ndio wanachokisema NATO ila upo ushahidi wa video tafuta
 
Aliongea Russia kujiunga NATO kwa namna ya kudhihaki,sasa wewe ndugu anavyoelezea ni kana kwamba kweli Russia alitaka kujiunga NATO.

Sasa Russia atajiungaje kwenye muungano ulioindwa na Nchi 28+ kwa lengo la kumdhibiti yeye mwenyewe(Russia)-kutakuwa na umuhimu gani wa huo muungano kama hiyo adaui wenu naye anajiunga?.
Yeye jamaa kachukulia kama anataka kweli, wakati inajionyesha jamaa anadhiki [emoji16]
 
Back
Top Bottom