Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Tuziache habari za waliolala mauti.Kipindi Magufuli anayefanya hayo katika ardhi ya nyumbani ,uliwahi sema haya maneno?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuziache habari za waliolala mauti.Kipindi Magufuli anayefanya hayo katika ardhi ya nyumbani ,uliwahi sema haya maneno?
[emoji1787][emoji1787]Unablidi?
Hana akili yeyote. Ubabe tu sema mwisho wake soon unafika.Tena sio mwamba TU,ni mwamba mwenye akili nyingi.
Naelewa yote hayo ila hawa wote namaanisha walikua Yugoslaviaww usichanganye mambo urusi anamuunga mkono Serbia sio Kosovo ilikuwa ndani ya Serbia vita ya juzi tu nazani 2008 ndo wakajitenga pia urusi anaunga mkono Bosnia serb wale ambao wapo Bosnia and herzigovona ambano nao wanataka kujitenga.
Nakumbuka kuna NJUMU zilikuwa zinaitwa KOSOVO [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kosovo si ulishaisikia mpaka inaimbwa, hao kama Vietnam[emoji28]
Usimsahau Ayatullah na kiduku[emoji16][emoji16]Nasimama na Russia..
Baada ya mbabe Fidel Castro aliyebaki ni Putin.
Communist here and hereafter [emoji3577]
Yes na baba yako.Hapo unaongea ukiwa umeshikwa kiuno na mjegeje upo ndani sentimeta kumi.
Fack them[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]Hii kauli imenifanya niamini Luganski na donbass zinakwemda na maji leo, anasema HE THINK THE WESTERN POWERS WILL IMPOSE SANCRIONS NO MATTER WHAT
Sana kabisa huyu kaletwa na Mungu kwa kazi maalumuSiku zote kiongozi anechukua maamuzi magumu kwa maslahi ya taifa ni kiongozi sahihi.
Ingekuwa anajiamini angeua wapinzani wake ?Angewafunga ?Angewalisha sumu ?Hana lolote.Mkuu, Putin ni level ingine.
CrempiedAcha ussssenge qumamayo
Ukraine kayataka mwenyewe anadanganywa na hao west kuepusha vita Putin apewe tu hayo maeneo kama walivyompa Hitler sudetenlandAnataka kuutumia huo "uhuru" wa hayo majimbo kama 'trigger' ama kisingizio cha kuivamia Ukraine?!
Kwamba, Urusi itapeleka majeshi yake katika maeneo hayo kama "msaada wa kibinadamu" dhidi ya majeshi ya Ukraine?!
OK!
Sasa hayo majimbo inamaana yamemeguka toka russia au
Victoire, wewe ni binti mzuri Sana, usimjibu Sawa Sawa na akili zake. Nyamaza tuendelee kukupenda zaidiYes na baba yako.
Mkuu vp mbona umekuwa adimu sana[emoji1787]
Ndugu yangu nikuulize Kama Mkataba wa kujenga Bandari ya Bagamoyo UMEUONA. Sembuse KATABA KUBWA HIVYO LA NATO.Huo mkataba uliosainiwa ili "NATO isijitanue" uko wapi?
Mbona hauwekwi hadharani dunia ikapata kuuona?
Hii hoja kwamba "NATO walikubaliana na Urusi" imeshamiri sana humu hasa kipindi hiki. Ingependeza sana kama hoja hiyo ingeambatanishwa na uthibitisho wa mkataba huo!
Red pussy relaxCuuuunnnnt
Ahhh kaka sikuhizi nachezea kipindo sana nikirudi geto ni kuoga kulala alfajiri tena X5 days ila tuko pamoja nitakuja na nyuzi matata soon nije niwakere[emoji1787][emoji16] wapuuzi humuMkuu vp mbona umekuwa adimu sana