Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Mzee (Putin) ni dikteta na fisadi pia kumbuka ni mmoja wapo wa kundi la 'Russia Oligarchs'.... ndio huyo anabadili katiba atawale hadi mauti itakapomchukua! Urusi haina tofauti na shitholes!
Sababu "vigezo na masharti" huzingatiwa.mbona kwenye Forbes rich list hayumo?
tajiri kubwa Jeff Bezos hata 170B hajafikisha.
au ni taarifa ya vijigazeti labda!
Trump n rais wa 6 dunia kwa utajiri.Phoenix news wametoa taarifa ya kushangaza kuwa Puttin ni Rais wa kwanza tajiri duniani akiwa na mali zenye thamani za Us dolar bilion 200. Hi ikijumuisha pesa taslim na mali nyinginezo.
Trump ana mali zenye ya Us dolar bilion 3.1. Nimeshangazwa Sana na utajiri wa Puttin ambaye biashara zake hazipo wazi kama Trump.
Wa pili, tatu nk ni kinanani?Trump n rais wa 6 dunia kwa utajiri.
463,684,394,753,400.00TZS(TZS trillion 463 na ushee huko)Huo mzigo kwa bongo ni kama ngp
Exactly!Ni kama 400Trilion za Kitanzania.
Bajeti ya Tz ya miaka mingapi hiyo?Ni kama 400Trilion za Kitanzania.
Hizi namba mkuu twaziandika tu, kuna wakati waweza jiukiza fedha zote hizi mtu anafanyia nini?Exactly!
Acha tu mkuu, mtu mmoja anamiliki bajeti ya nchi kadhaa za dunia ya tatu.Hizi namba mkuu twaziandika tu, kuna wakati waweza jiukiza fedha zote hizi mtu anafanyia nini?
Trilion 10 tu ni fedha za maana saaaaana, mtu anafika mpaka 450Trilion.Acha tu mkuu, mtu mmoja anamiliki bajeti ya nchi kadhaa za dunia ya tatu.
Yaani ana uwezo wa kuziendesha kwa pesa yake mwenyewe.
Phoenix news wametoa taarifa ya kushangaza kuwa Puttin ni Rais wa kwanza tajiri duniani akiwa na mali zenye thamani za Us dolar bilion 200. Hi ikijumuisha pesa taslim na mali nyinginezo.
Trump ana mali zenye ya Us dolar bilion 3.1. Nimeshangazwa Sana na utajiri wa Puttin ambaye biashara zake hazipo wazi kama Trump.
Huo mzigo kwa bongo ni kama ngp
... Kaka sometimes unajitoaga ufahamu. Swali la kitoto sana hilo.Kwani UK haina mtu mwengine wakua MALKI ?! [emoji12][emoji14][emoji12]
Ulishaona Forbes wameweka utajiri wa wanasiasa?mbona kwenye Forbes rich list hayumo?
tajiri kubwa Jeff Bezos hata 170B hajafikisha.
au ni taarifa ya vijigazeti labda!
Inazidi trilioni 400/=Inakaribia trilion 300/=
Utoto wake upi ?!... Kaka sometimes unajitoaga ufahamu. Swali la kitoto sana hilo.
Kaka hata wale matajiri wa Kiarabu hawawekwi kwenye hiyo list lakini inawezekana wapo wenye pesa ndefu zaidi ya Bezos na wenzie.mbona kwenye Forbes rich list hayumo?
tajiri kubwa Jeff Bezos hata 170B hajafikisha.
au ni taarifa ya vijigazeti labda!