Rais Putin ndiye Rais wa kwanza tajiri duniani akiwa na Mali ya thamani ya Us dolar bil 200

Rais Putin ndiye Rais wa kwanza tajiri duniani akiwa na Mali ya thamani ya Us dolar bil 200

Phoenix news wametoa taarifa ya kushangaza kuwa Puttin ni Rais wa kwanza tajiri duniani akiwa na mali zenye thamani za Us dolar bilion 200. Hi ikijumuisha pesa taslim na mali nyinginezo.

Trump ana mali zenye ya Us dolar bilion 3.1. Nimeshangazwa Sana na utajiri wa Puttin ambaye biashara zake hazipo wazi kama Trump.
Hii habar sio ya kweli tajir no 1 mwenyewe duniani anakadiriwa kuwa na doler USD 75 bilion
 
Hii habar sio ya kweli tajir no 1 mwenyewe duniani anakadiriwa kuwa na doler USD 75 bilion
Yawezekana watu wamefanya utafiti. Wanasiasa wanaficha biashara zao na pesa kwa makupuni tofauti kumbe ni zao
 
Phoenix news wametoa taarifa ya kushangaza kuwa Puttin ni Rais wa kwanza tajiri duniani akiwa na mali zenye thamani za Us dolar bilion 200. Hi ikijumuisha pesa taslim na mali nyinginezo.

Trump ana mali zenye ya Us dolar bilion 3.1. Nimeshangazwa Sana na utajiri wa Puttin ambaye biashara zake hazipo wazi kama Trump.
So nimfanya kazi wa kwanza wa serikali tajiri
 
mbona kwenye Forbes rich list hayumo?
tajiri kubwa Jeff Bezos hata 170B hajafikisha.
au ni taarifa ya vijigazeti labda!

Hizi propaganda ya maji taka zenye lengo la kumchafua Putin Duniani, na ukijaribu kuzichunguza kwa umakini utaguduwa kwamba zimehibuliwa baada ya Putin kupata kura nyingi za maoni zinazo mpa mamlaka ya kufanyia marekebisho ya katiba ili aongoze Urusi mpaka atakapo choka - sasa mabadiriko hayo Mataifa ya magharibi hawayapendi hata kidogo,wanataka Urusi iongozwe na Rais mwenye akili matope kama alivyo kuwa Boris Yeltisin ili Urusi isambalatike kwa mara nyingine tena hisiwe tishio kijeshi kwa NATO members specifically USA.g
 
Sasa huo utajiri wa mafichoni faida yake wapi mwisho wa siku ni aibu kwenye historia
 
Hizi propaganda ya maji taka zenye lengo la kumchafua Putin Duniani, na ukijaribu kuzichunguza kwa umakini utaguduwa kwamba zimehibuliwa baada ya Putin kupata kura nyingi za maoni zinazo mpa mamlaka ya kufanyia marekebisho ya katiba ili aongoze Urusi mpaka atakapo choka - sasa mabadiriko hayo Mataifa ya magharibi hawayapendi hata kidogo,wanataka Urusi iongozwe na Rais mwenye akili matope kama alivyo kuwa Boris Yeltisin ili Urusi isambalatike kwa mara nyingine tena hisiwe tishio kijeshi kwa NATO members specifically USA.g
Na mimi naliona Hilo. Hela nyingi Sana hizi.
 
Back
Top Bottom