Rais Ruto amuomba Raila Odinga kusitisha Maandamano, aahidi kuwalinda Wanahabari

Rais Ruto amuomba Raila Odinga kusitisha Maandamano, aahidi kuwalinda Wanahabari

Raila ana nguvu sana Kenya, Ruto ameona hili kaamua kutafuta solution mapema.

Hiyo nguvu kampa mwenyewe. Rais huwezi shindwa nguvu na kiumbe ndani ya nchi yako that's a fact. Jiwe alisema yeye ndo rais na rais ni mmoja tu watu wazunguke kote mwishoe watarudi kwake na ilikua hivyo. Ruto ni dhaifu
 
Utakuwa na roho ya kichawi c bure
Hiyo nguvu kampa mwenyewe. Rais huwezi shindwa nguvu na kiumbe ndani ya nchi yako that's a fact. Jiwe alisema yeye ndo rais na rais ni mmoja tu watu wazunguke kote mwishoe watarudi kwake na ilikua hivyo. Ruto ni dhaifu
 
Back
Top Bottom