Rais Ruto anasema Congo, Sudan Kusini, Somalia na Haiti wanaitegemea Kenya

Rais Ruto anasema Congo, Sudan Kusini, Somalia na Haiti wanaitegemea Kenya

Wanyama ndio wamebarikiwa kila kitu kwetu
Sisi tunashindwa hata nyuki tutaweza kushindana na binadamu?

Wao kenya wameanza kilimo cha umwagiliaji miaka mingi sana iliyopita ndio maana mbogamboga nyingi na matunda zinaenda kila mahali
Chai yao mpaka supermarkets za Ulaya zimejaa
Sisi hata packaging 📦 tu Kikwete alituma vijana kwenda kujifunza Kenya, ni aibu iliyoje?

Rasilimali hizo mlizonazo, mapori yamekaa tu yanaota nyasi badala ya chakula cha kupeleka nje
Kweli akili zetu tunazijua wenyewe
Na tusilaumu mtu wala mfumo bali ni sisi wenyewe

Tupige makofi kwa ujinga
 
Samahani bro....
Ila
  • unaweza ukatutuwekea ushahidi wa hiyo kauli yako ya kuwa tumebarikiwa kila aina ya rasilimali
  • Je,hiyo kauli yako ina ashiria Tanzania ndiyo nchi pekee iliyo jaaliwa kila aina ya Rasilimali au miongoni mwa nchi zilizo jaaliwa Rasilimali.
  • Je,hizo Rasilimali zina wingi wa kutosha wa kuleta faida kwa nchi....au hapo uzingatie uwepo wake tu.
Ushahidi ni wewe unitajie nini Tanzania Hatuna 😄
 
Wanyama ndio wamebarikiwa kila kitu kwetu
Sisi tunashindwa hata nyuki tutaweza kushindana na binadamu?

Wao kenya wameanza kilimo cha umwagiliaji miaka mingi sana iliyopita ndio maana mbogamboga nyingi na matunda zinaenda kila mahali
Chai yao mpaka supermarkets za Ulaya zimejaa
Sisi hata packaging [emoji403] tu Kikwete alituma vijana kwenda kujifunza Kenya, ni aibu iliyoje?

Rasilimali hizo mlizonazo, mapori yamekaa tu yanaota nyasi badala ya chakula cha kupeleka nje
Kweli akili zetu tunazijua wenyewe
Na tusilaumu mtu wala mfumo bali ni sisi wenyewe

Tupige makofi kwa ujinga

Fikiria familia ya mkulima mwenye wake 4, watoto 30 halafu ana choroko kilo 20, maharage kilo 50, mahindi kilo 1000, dengu kilo 10, kunde kilo 30 (Tanzania).

Halafu kuna familia jirani yako ina mke 1, watoto 3. Lakini ina maharage kilo 5,000 na mpunga kilo 10,000 (Botswana).

Kati ya hawa wawili, familia ipi ina hali bora zaidi?
 
Tanzania tuko na raslimali nyingi sana, usimuamini Rutto ni mwongo mwongo tu.

Kwenye GDP projections za 25 largest economies in the World by 2100, TZ is projected kuwa na GDP ya $4.58 trillion, na population ya 245 million, ni nchi ya 19.

Iko juu ya Canada, Kazakhstan, Vietnam, Brazil, Australia, na Pakistan.

Iko chini ya South Korea at 18, France, Iran, Malaysia, Egypt, Bangladesh, Philippines, Nigeria at 11, with a population of 546 million and a GDP of $6.91 trillion;
UK at 10,
Japan at 9, with GDP ya $7.14 trillion na population ya 73.6 million;
Germany at 8,
Ethiopia at 7, with GDP ya 8.44 trillion, with a population 9f 323.7;

Indonesia at 6, Turkey at 5,

Russia at 4, with GDP of $13.25 trillion na population ya 112 millions;
US at 3, with $51.01 trillion with a population of 394 million ;

India at 2 with $70.07 trillion and 1.529 billion people; and,

China at #1, with $101 trillion and population of 766.7 million people.

These projections, by Yahoo Finance, are based on IMF and World Bank data.

See attached below
Ruto anaongelea leo halaf wewe unaongelea mambo ya miaka 2100?

Hapo ndipo tuonekanapo wajinga
 
Ninavyofahamu Tanzania ndio nchi iliyobarikiwa kila aina ya Rasilimali hapa duniani na tunategemewa na nchi mbalimbali

Taja nchi zinazoitegema TZ?

Nini TZ inazalisha ambacho nchi zingine hawana? Ni resource gani mnayo au mnaongoza kwa reserve ambayo dunia inaitegemea?

Mafuta, gas, madini, kilimo, mifugo, ardhi, maji, vyote hamuongozi wala kutegemewa, ni nini mnachotegemewa?

Huu uongo mlijazwa kufunga akili zenu and y'all fell for it. Mnajiona special in reality hamna uspecial wowote ule. Mpiga mwingi asingekua anazurura duniani kuinadi Tanganyika kama mngekuwa mnategemewa.

TZ inaongoza kuzalisha wajinga tu.
 
kiswahili chao uwa kina mashaka .maranyingi wanavo jieleza unaweza kujua wanajua
icho kiswahili chao na ndio wanaongoza kuchukua wazungu kuwafundisha kupitia mtandaoni.
Penye ukweli tuseme kenya wametuzidi tatizo tunapenda unafki. Kila siku tunalalalmika Halafu mkisikia mnasemwa mnajifanya hakuna shida.
Kenya sahiv wamembatiza raisi ni tourist president hostess.
Tatizo Watanzania tuna unafki mwingi
 
Ninavyofahamu Tanzania ndio nchi iliyobarikiwa kila aina ya Rasilimali hapa duniani na tunategemewa na nchi mbalimbali

Sasa Nimeshangaa sana kumsikia Rais Ruto akitamba Kwamba wao Kenya ndio wamebarikiwa Rasilimali na inategemewa na Congo, South Sudan, Somalia na EU

Lucas una lolote la kusema? 😀
Acha kupotosha ewe mnafiki. Kasema kuhusu Usalama na sio rasilimali.
 
Tanzania tuko na raslimali nyingi sana, usimuamini Rutto ni mwongo mwongo tu.

Kwenye GDP projections za 25 largest economies in the World by 2100, TZ is projected kuwa na GDP ya $4.58 trillion, na population ya 245 million, ni nchi ya 19.

Iko juu ya Canada, Kazakhstan, Vietnam, Brazil, Australia, na Pakistan.

Iko chini ya South Korea at 18, France, Iran, Malaysia, Egypt, Bangladesh, Philippines, Nigeria at 11, with a population of 546 million and a GDP of $6.91 trillion;
UK at 10,
Japan at 9, with GDP ya $7.14 trillion na population ya 73.6 million;
Germany at 8,
Ethiopia at 7, with GDP ya 8.44 trillion, with a population 9f 323.7;

Indonesia at 6, Turkey at 5,

Russia at 4, with GDP of $13.25 trillion na population ya 112 millions;
US at 3, with $51.01 trillion with a population of 394 million ;

India at 2 with $70.07 trillion and 1.529 billion people; and,

China at #1, with $101 trillion and population of 766.7 million people.

These projections, by Yahoo Finance, are based on IMF and World Bank data.

See attached below
Aiseeh! Wewe unaongelea miaka mia moja ijayo?.
 
Ninavyofahamu Tanzania ndio nchi iliyobarikiwa kila aina ya Rasilimali hapa duniani na tunategemewa na nchi mbalimbali

Sasa Nimeshangaa sana kumsikia Rais Ruto akitamba Kwamba wao Kenya ndio wamebarikiwa Rasilimali na inategemewa na Congo, South Sudan, Somalia na EU

Lucas una lolote la kusema? 😀
Mgawanyo wa hizo rasilimali ukoje? Wanao bahatika kuzipata mfumo wake ukoje
 
icho kiswahili chao na ndio wanaongoza kuchukua wazungu kuwafundisha kupitia mtandaoni.
Penye ukweli tuseme kenya wametuzidi tatizo tunapenda unafki. Kila siku tunalalalmika Halafu mkisikia mnasemwa mnajifanya hakuna shida.
Kenya sahiv wamembatiza raisi ni tourist president hostess.
Tatizo Watanzania tuna unafki mwingi

Ruto is no better anasafiri kuliko mpiga mwingi.
1000133865.jpg
 
Fikiria familia ya mkulima mwenye wake 4, watoto 30 halafu ana choroko kilo 20, maharage kilo 50, mahindi kilo 1000, dengu kilo 10, kunde kilo 30 (Tanzania).

Halafu kuna familia jirani yako ina mke 1, watoto 3. Lakini ina maharage kilo 5,000 na mpunga kilo 10,000 (Botswana).

Kati ya hawa wawili, familia ipi ina hali bora zaidi?
Ukiangalia kwa upande huo utasema ni bora mwenye familia ndogo
Laikini kuna wenye familia kubwa na wanafanya vizuri kwa kusaidiana na kuwa wamoja
Mkuu Bongo tatizo hakuna umoja
Hawajui partnerships kwa sababu hakuna aliewafundisha kwa elimu au kutokuaminiana
Haiwezekani ukapambana na ukatoboa kwa shamba kubwa peke yako au biashara peke yako huku una familia mpaka shangazi unataka umlishe wewe
Lazima kujifunza kuaminiana na kuwa na malengo na mipango ya miaka hata kumi kwa kusaidiana na kuweka hela pamoja na kufanya kitu cha maana

Mataifa mengi sana wanafanya hivyo, mimi ni sleep partner na ninapata faida kila mwezi sehemu kwa sababu tuna uaminifu na kiwanda kipo nchi tofauti

Mswahili analia tu na anasema bila ndagu hutoboi
 
Fikiria familia ya mkulima mwenye wake 4, watoto 30 halafu ana choroko kilo 20, maharage kilo 50, mahindi kilo 1000, dengu kilo 10, kunde kilo 30 (Tanzania).

Halafu kuna familia jirani yako ina mke 1, watoto 3. Lakini ina maharage kilo 5,000 na mpunga kilo 10,000 (Botswana).

Kati ya hawa wawili, familia ipi ina hali bora zaidi?
Ukiangalia kwa upande huo utasema ni bora mwenye familia ndogo
Laikini kuna wenye familia kubwa na wanafanya vizuri kwa kusaidiana na kuwa wamoja
Mkuu Bongo tatizo hakuna umoja
Hawajui partnerships kwa sababu hakuna aliewafundisha kwa elimu au kutokuaminiana
Haiwezekani ukapambana na ukatoboa kwa shamba kubwa peke yako au biashara peke yako huku una familia mpaka shangazi unataka umlishe wewe
Lazima kujifunza kuaminiana na kuwa na malengo na mipango ya miaka hata kumi kwa kusaidiana na kuweka hela pamoja na kufanya kitu cha maana

Mataifa mengi sana wanafanya hivyo, mimi ni sleep partner na ninapata faida kila mwezi sehemu kwa sababu tuna uaminifu na kiwanda kipo nchi tofauti

Mswahili analia tu na anasema bila ndagu hutoboi
 
Back
Top Bottom