Rais Ruto anasema Congo, Sudan Kusini, Somalia na Haiti wanaitegemea Kenya

Rais Ruto anasema Congo, Sudan Kusini, Somalia na Haiti wanaitegemea Kenya

Tatizo letu ni mauzauza.Viongozi wengitunaowachagua ni mauzauza
 
Mkuu unaota???

Kwa hesabu gani???

Miaka 60 ya sasa, miaka halisi, achana na miaka 100 ya kufikirika, ukubwa wa uchumi wetu Tanzania haujafikia hata robo ya trilioni dollar!!

Mkuu kwa muujiza gani miaka 40 iliyobaki tufikie trilioni dollar 4.6 kwa ongezeko kubwa la watu namna hiyo!!!
Nimekuwekea source ya taarifa hiyo. Argue based na taarifa zao. Siyo kubisha tu kwa kudharau kwa vile wewe na familia yako ni dhaifu basi Watanzania wote ni dhaifu
 
Kwani uliyoleta wewe pale juu kwenye post #14 umeitoa wapi? Mimi nimekuwekea source yangu ni Yahoo Finance, ila wewe unatuwekea humu za kwako bila source. Bado unataka kudharau watu wanao weka source
Stories based on unreliable softwares. Nenda kwenye websites za taasisi za kitaalam za kiuchumi. Siyo hao yahoo. Ukiplug tu number kwenye software bila ya kuangalia mambo mengi ya msingi unaishia na matokeo ya ajabu.
 
Mama yetu anaomba hela za kupikia tu Mara nishati safi.😂😂
 
Mkuu kwa muujiza gani miaka 40 iliyobaki tufikie trilioni dollar 4.6 kwa ongezeko kubwa la watu namna hiyo!!!
Labda wakoloni warudi tena lol.
Sijidharau kama mwafrika ila kwa bahati mbaya ndivyo tulivyo...na huo ndio ukweli mchungu!
 
Ruto anaongelea leo halaf wewe unaongelea mambo ya miaka 2100?

Hapo ndipo tuonekanapo wajinga
Hata leo Kenya haiizidi Tanzania kwa raslimali. Tanzania iko kwenye top 10 ya Africa
 
NI kweli tumebarikiwa kila kitu ila rasilimali zetu hatumiliki sisi mfano gesi ccm iliikabidhi kwa mchina na juzijuzi ccm ikakabidhi bandari kwa mwarabu.
South Africa wamepewa Bahari na Madini,sisi tunamiliki pikipiki & chawa wa kutosha.
 
Back
Top Bottom