Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Ushahidi ni wewe unitajie nini Tanzania Hatuna πSamahani bro....
Ila
- unaweza ukatutuwekea ushahidi wa hiyo kauli yako ya kuwa tumebarikiwa kila aina ya rasilimali
- Je,hiyo kauli yako ina ashiria Tanzania ndiyo nchi pekee iliyo jaaliwa kila aina ya Rasilimali au miongoni mwa nchi zilizo jaaliwa Rasilimali.
- Je,hizo Rasilimali zina wingi wa kutosha wa kuleta faida kwa nchi....au hapo uzingatie uwepo wake tu.
Wanyama ndio wamebarikiwa kila kitu kwetu
Sisi tunashindwa hata nyuki tutaweza kushindana na binadamu?
Wao kenya wameanza kilimo cha umwagiliaji miaka mingi sana iliyopita ndio maana mbogamboga nyingi na matunda zinaenda kila mahali
Chai yao mpaka supermarkets za Ulaya zimejaa
Sisi hata packaging [emoji403] tu Kikwete alituma vijana kwenda kujifunza Kenya, ni aibu iliyoje?
Rasilimali hizo mlizonazo, mapori yamekaa tu yanaota nyasi badala ya chakula cha kupeleka nje
Kweli akili zetu tunazijua wenyewe
Na tusilaumu mtu wala mfumo bali ni sisi wenyewe
Tupige makofi kwa ujinga
Ruto anaongelea leo halaf wewe unaongelea mambo ya miaka 2100?Tanzania tuko na raslimali nyingi sana, usimuamini Rutto ni mwongo mwongo tu.
Kwenye GDP projections za 25 largest economies in the World by 2100, TZ is projected kuwa na GDP ya $4.58 trillion, na population ya 245 million, ni nchi ya 19.
Iko juu ya Canada, Kazakhstan, Vietnam, Brazil, Australia, na Pakistan.
Iko chini ya South Korea at 18, France, Iran, Malaysia, Egypt, Bangladesh, Philippines, Nigeria at 11, with a population of 546 million and a GDP of $6.91 trillion;
UK at 10,
Japan at 9, with GDP ya $7.14 trillion na population ya 73.6 million;
Germany at 8,
Ethiopia at 7, with GDP ya 8.44 trillion, with a population 9f 323.7;
Indonesia at 6, Turkey at 5,
Russia at 4, with GDP of $13.25 trillion na population ya 112 millions;
US at 3, with $51.01 trillion with a population of 394 million ;
India at 2 with $70.07 trillion and 1.529 billion people; and,
China at #1, with $101 trillion and population of 766.7 million people.
These projections, by Yahoo Finance, are based on IMF and World Bank data.
See attached below
25 Largest Economies in the World by 2100
In this article, we will look into the 25 largest economies in the world by 2100. If you want to skip our detailed analysis, you can go directly to 5 Largest Economies in the World by 2100. Global Economic Prospects The global economy presents sluggish near-term progress, with the ongoing...finance.yahoo.com
πππRuto anaongelea leo halaf wewe unaongelea mambo ya miaka 2100?
Hapo ndipo tuonekanapo wajinga
Ninavyofahamu Tanzania ndio nchi iliyobarikiwa kila aina ya Rasilimali hapa duniani na tunategemewa na nchi mbalimbali
icho kiswahili chao na ndio wanaongoza kuchukua wazungu kuwafundisha kupitia mtandaoni.kiswahili chao uwa kina mashaka .maranyingi wanavo jieleza unaweza kujua wanajua
Acha kupotosha ewe mnafiki. Kasema kuhusu Usalama na sio rasilimali.Ninavyofahamu Tanzania ndio nchi iliyobarikiwa kila aina ya Rasilimali hapa duniani na tunategemewa na nchi mbalimbali
Sasa Nimeshangaa sana kumsikia Rais Ruto akitamba Kwamba wao Kenya ndio wamebarikiwa Rasilimali na inategemewa na Congo, South Sudan, Somalia na EU
Lucas una lolote la kusema? π
Wewe ndiyo mleta hoja,,,sasa kama hauna ushahidi wa kuthibitisha hiyo kauli, basi inakuwa ni story za mtaani tu.Ushahidi ni wewe unitajie nini Tanzania Hatuna π
Aiseeh! Wewe unaongelea miaka mia moja ijayo?.Tanzania tuko na raslimali nyingi sana, usimuamini Rutto ni mwongo mwongo tu.
Kwenye GDP projections za 25 largest economies in the World by 2100, TZ is projected kuwa na GDP ya $4.58 trillion, na population ya 245 million, ni nchi ya 19.
Iko juu ya Canada, Kazakhstan, Vietnam, Brazil, Australia, na Pakistan.
Iko chini ya South Korea at 18, France, Iran, Malaysia, Egypt, Bangladesh, Philippines, Nigeria at 11, with a population of 546 million and a GDP of $6.91 trillion;
UK at 10,
Japan at 9, with GDP ya $7.14 trillion na population ya 73.6 million;
Germany at 8,
Ethiopia at 7, with GDP ya 8.44 trillion, with a population 9f 323.7;
Indonesia at 6, Turkey at 5,
Russia at 4, with GDP of $13.25 trillion na population ya 112 millions;
US at 3, with $51.01 trillion with a population of 394 million ;
India at 2 with $70.07 trillion and 1.529 billion people; and,
China at #1, with $101 trillion and population of 766.7 million people.
These projections, by Yahoo Finance, are based on IMF and World Bank data.
See attached below
25 Largest Economies in the World by 2100
In this article, we will look into the 25 largest economies in the world by 2100. If you want to skip our detailed analysis, you can go directly to 5 Largest Economies in the World by 2100. Global Economic Prospects The global economy presents sluggish near-term progress, with the ongoing...finance.yahoo.com
Eti tutakuwa na 4 Trillion USD....labda ya madeni.Aiseeh! Wewe unaongelea miaka mia moja ijayo?.
Kama ulikuwa hujui kwanini umeleta Uzi?. Unadai Tanzania ina rasilimali nyingi halafu ukiulizwa hujui.Ushahidi ni wewe unitajie nini Tanzania Hatuna π
Amenistaajabisha Sana. Hataki kukubali ukweli.Eti tutakuwa na 4 Trillion USD....labda ya madeni.
Mgawanyo wa hizo rasilimali ukoje? Wanao bahatika kuzipata mfumo wake ukojeNinavyofahamu Tanzania ndio nchi iliyobarikiwa kila aina ya Rasilimali hapa duniani na tunategemewa na nchi mbalimbali
Sasa Nimeshangaa sana kumsikia Rais Ruto akitamba Kwamba wao Kenya ndio wamebarikiwa Rasilimali na inategemewa na Congo, South Sudan, Somalia na EU
Lucas una lolote la kusema? π
Hizi hesabu za kuchagua takwimu moja tu by Kafulila, ndiyo zina wadanganya....Amenistaajabisha Sana. Hataki kukubali ukweli.
icho kiswahili chao na ndio wanaongoza kuchukua wazungu kuwafundisha kupitia mtandaoni.
Penye ukweli tuseme kenya wametuzidi tatizo tunapenda unafki. Kila siku tunalalalmika Halafu mkisikia mnasemwa mnajifanya hakuna shida.
Kenya sahiv wamembatiza raisi ni tourist president hostess.
Tatizo Watanzania tuna unafki mwingi
Ukiangalia kwa upande huo utasema ni bora mwenye familia ndogoFikiria familia ya mkulima mwenye wake 4, watoto 30 halafu ana choroko kilo 20, maharage kilo 50, mahindi kilo 1000, dengu kilo 10, kunde kilo 30 (Tanzania).
Halafu kuna familia jirani yako ina mke 1, watoto 3. Lakini ina maharage kilo 5,000 na mpunga kilo 10,000 (Botswana).
Kati ya hawa wawili, familia ipi ina hali bora zaidi?
Ukiangalia kwa upande huo utasema ni bora mwenye familia ndogoFikiria familia ya mkulima mwenye wake 4, watoto 30 halafu ana choroko kilo 20, maharage kilo 50, mahindi kilo 1000, dengu kilo 10, kunde kilo 30 (Tanzania).
Halafu kuna familia jirani yako ina mke 1, watoto 3. Lakini ina maharage kilo 5,000 na mpunga kilo 10,000 (Botswana).
Kati ya hawa wawili, familia ipi ina hali bora zaidi?
Rasilimali ni nini Mr simbilisi? ππAcha kupotosha ewe mnafiki. Kasema kuhusu Usalama na sio rasilimali.
Tuna kila Kitu hii ndio Nchi ya Asali na Maziwa πππKama ulikuwa hujui kwanini umeleta Uzi?. Unadai Tanzania ina rasilimali nyingi halafu ukiulizwa hujui.