GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Katika Kuadhimisha Siku ya Madaraka huko nchini Kenya Rais Ruto kasema anakosa Usingizi akiwaza Kupanda kwa Gharama za Maisha kwa Wakenya na hali Ngumu ya Maisha.
Chanzo: Gazeti la The Standard.
Nami GENTAMYCINE Rais wa JamiiForums namjibu Rais Mwenzangu wa Kenya Ruto kuwa napata mno Usingizi na nanenepa hovyo kama Chura wa Kihansi kwani nakubalika sana na Wazungu, Nakopesheka, Nadoea mno Pesa za UVIKO-19, nawaibia vilivyo Wananchi wangu wa nchi ya JamiiForums, nimeshauza sehemu Muhimu za Rasilimali kwa Waarabu na Wamarekani, natumia Waganga wa Kienyeji wazuri wa Kunilinda na Kuniongezea Mvuto na nina Mshauri wangu mzuri ambaye nae alikuwa Mwizi Kupindukia na hata Dawa za Kulevya Kauza mno hivyo anamalizia pia kunipa Uzoefu wake katika Sekta hiyo bila kuisahau na ile ya Kuzurula na Kutalii hovyo na Kiholela Ulimwenguni.
Pole sana Rais wa Kenya Ruto kwa Kuukosa huo Usingizi kwa Kujitakia wakati nawe unaweza Kuniiga Mimi GENTAMYCINE Rais wa nchi ya JamiiForums.
Chanzo: Gazeti la The Standard.
Nami GENTAMYCINE Rais wa JamiiForums namjibu Rais Mwenzangu wa Kenya Ruto kuwa napata mno Usingizi na nanenepa hovyo kama Chura wa Kihansi kwani nakubalika sana na Wazungu, Nakopesheka, Nadoea mno Pesa za UVIKO-19, nawaibia vilivyo Wananchi wangu wa nchi ya JamiiForums, nimeshauza sehemu Muhimu za Rasilimali kwa Waarabu na Wamarekani, natumia Waganga wa Kienyeji wazuri wa Kunilinda na Kuniongezea Mvuto na nina Mshauri wangu mzuri ambaye nae alikuwa Mwizi Kupindukia na hata Dawa za Kulevya Kauza mno hivyo anamalizia pia kunipa Uzoefu wake katika Sekta hiyo bila kuisahau na ile ya Kuzurula na Kutalii hovyo na Kiholela Ulimwenguni.
Pole sana Rais wa Kenya Ruto kwa Kuukosa huo Usingizi kwa Kujitakia wakati nawe unaweza Kuniiga Mimi GENTAMYCINE Rais wa nchi ya JamiiForums.