Rais Ruto anasema hapati Usingizi kwakuwa Wakenya Wana Maisha magumu, je, Wengine inakuwaje Wanaupata na Kunenepeana hovyo?

Rais Ruto anasema hapati Usingizi kwakuwa Wakenya Wana Maisha magumu, je, Wengine inakuwaje Wanaupata na Kunenepeana hovyo?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Katika Kuadhimisha Siku ya Madaraka huko nchini Kenya Rais Ruto kasema anakosa Usingizi akiwaza Kupanda kwa Gharama za Maisha kwa Wakenya na hali Ngumu ya Maisha.

Chanzo: Gazeti la The Standard.

Nami GENTAMYCINE Rais wa JamiiForums namjibu Rais Mwenzangu wa Kenya Ruto kuwa napata mno Usingizi na nanenepa hovyo kama Chura wa Kihansi kwani nakubalika sana na Wazungu, Nakopesheka, Nadoea mno Pesa za UVIKO-19, nawaibia vilivyo Wananchi wangu wa nchi ya JamiiForums, nimeshauza sehemu Muhimu za Rasilimali kwa Waarabu na Wamarekani, natumia Waganga wa Kienyeji wazuri wa Kunilinda na Kuniongezea Mvuto na nina Mshauri wangu mzuri ambaye nae alikuwa Mwizi Kupindukia na hata Dawa za Kulevya Kauza mno hivyo anamalizia pia kunipa Uzoefu wake katika Sekta hiyo bila kuisahau na ile ya Kuzurula na Kutalii hovyo na Kiholela Ulimwenguni.

Pole sana Rais wa Kenya Ruto kwa Kuukosa huo Usingizi kwa Kujitakia wakati nawe unaweza Kuniiga Mimi GENTAMYCINE Rais wa nchi ya JamiiForums.
 
Katika Kuadhimisha Siku ya Madaraka huko nchini Kenya Rais Ruto kasema anakosa Usingizi akiwaza Kupanda kwa Gharama za Maisha kwa Wakenya na hali Ngumu ya Maisha.

Chanzo: Gazeti la The Standard.

Nami GENTAMYCINE Rais wa JamiiForums namjibu Rais Mwenzangu wa Kenya Ruto kuwa napata mno Usingizi na nanenepa hovyo kama Chura wa Kihansi kwani nakubalika sana na Wazungu, Nakopesheka, Nadoea mno Pesa za UVIKO-19, nawaibia vilivyo Wananchi wangu wa nchi ya JamiiForums, nimeshauza sehemu Muhimu za Rasilimali kwa Waarabu na Wamarekani, natumia Waganga wa Kienyeji wazuri wa Kunilinda na Kuniongezea Mvuto na nina Mshauri wangu mzuri ambaye nae alikuwa Mwizi Kupindukia na hata Dawa za Kulevya Kauza mno hivyo anamalizia pia kunipa Uzoefu wake katika Sekta hiyo bila kuisahau na ile ya Kuzurula na Kutalii hovyo na Kiholela Ulimwenguni.

Pole sana Rais wa Kenya Ruto kwa Kuukosa huo Usingizi kwa Kujitakia wakati nawe unaweza Kuniiga Mimi GENTAMYCINE Rais wa nchi ya JamiiForums.
Rutto akubali nchi imemshinda tu, hana lolote zaidi ya kupiga mbambamba
 
Dah! Jamaa yuko na wakati mguu sana! Kuna mwamba hivi juzi kati alikua anamtukana wazi wazi I can tell...Tena matusi ya kushiba sio yako GENTAMYCINE yani wewe hata hujui kutukana tena ukajifunze kupiti huyu kichaa type yako...ngoja nitakupa link...Uone manne it’s was very harsh at that time being 😳
 
Na ameahidi ndani ya miezi mitatu kuanzia jana boda boda zote atazibadilisha na kuwa za kutumia umeme badala ya mafuta.
Huyo mwamba anawafaa mno wakenya.
 
Tena wewe Raisi Wa Jamiiforum huna muda wa kusikiliza vilio vya wananchi wako uko bize umekaza fuvu na inner cycle yako na ndo wanakupa ratiba na nani wa kuweka katika Teuzi.

Hakika Raisi wewe wa Jamiiforums ni mmoja wa maraisi watakaosahaulika mapema sana tangu misingi ya nchi ilipowekwa


nilisikia raisi wewe wa Jamiiforums unasikiliza maoni ya aliye kuwa raisi mwenzako kipindi kile yule mzee wa kuchekacheka ni kweli?
 
Na ameahidi ndani ya miezi mitatu kuanzia jana boda boda zote atazibadilisha na kuwa za kutumia umeme badala ya mafuta.
Huyo mwamba anawafaa mno wakenya.
Hizo ni fix anawapiga wakunya land atatue tatizo la njaa kwanza
 
Back
Top Bottom