johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ingekuwa enzi za mwendazake Maguful maneno yangekuwa mengi oooh hajui kiinglish.....oooh sijui nini lakin pale Ikulu leo waalikwa wamemuomba Rais Ruto azungumze kwa Kiswahili
Ruto amesema Gesi ya Mtwara itapita Dar es salaam hadi Mombasa kisha Nairobi na hilo atalisimamia kikamilifu
J3 Ubarikiwe sana
Ruto amesema Gesi ya Mtwara itapita Dar es salaam hadi Mombasa kisha Nairobi na hilo atalisimamia kikamilifu
J3 Ubarikiwe sana