Rais Ruto aomba ahutubie kwa Kiingereza baadhi ya mawaziri waomba ahutubie kwa Kiswahili, Gesi ya Mtwara kufika Kenya!

Rais Ruto aomba ahutubie kwa Kiingereza baadhi ya mawaziri waomba ahutubie kwa Kiswahili, Gesi ya Mtwara kufika Kenya!

Kwani ni uongo kuwa alikuwa hajui Kingereza.....!!?
Sio Kingereza ni Kiingereza, hata PUTIN hajui Kiingereza au sio ! !Magu alikuwa mbele ya muda uliopo mzee hata mipaka 10 hujavuka mwenzio kafanya Thesis Uingereza zaidi ya mwaka, EMANCIPATE YOURSELF FROM MENTAL SLAVERY NONE BUT OURSELVES CAN FREE OUR MINDS
 
Sio Kingereza ni Kiingereza, hata PUTIN hajui Kiingereza au sio ! !Magu alikuwa mbele ya muda uliopo mzee hata mipaka 10 hujavuka mwenzio kafanya Thesis Uingereza zaidi ya mwaka, EMANCIPATE YOURSELF FROM MENTAL SLAVERY NONE BUT OURSELVES CAN FREE OUR MINDS

Nahisi huko uingereza alikuwa akiongea kiingereza alikuwa anageuka kichekesho cha karne.
 
Hivi kila mnachosema au kufanya lazima mlinganishe na Magufuri, utashangaa unaefanya hivyo una mke na watoto, hata mke wako akipika utalinganisha na mke wa Magufuri, tabia za kibwege sana
 
Huo ni ukweli jiwe lugha ilikuwa haipandi, na kingereza kingekuwa Ni mtu, jiwe angekipa kesi ya utakatishaji wallah!
Kingefia segerea
But ukitaka zungumzia kiingereza Marais ambai walikuwa wanazungumza kiingereza vizuri ni wawili tu Tanzania. 1. Nyerere 2. Mkapa. Hawa walikuwa wanazungumza kiingereza cha ukweli. Wengine wote hamna kitu. Wanazungumza kiingereza cha kiswahili.

Mimi nina mtoto wangu anazungumza kiingereza kama Mmarekani...lakini ni mtoto si hata Mbunge...😁
 
Nahisi huko uingereza alikuwa akiongea kiingereza alikuwa anageuka kichekesho cha karne.
But wazungu hawamcheki mtu kwa kuzungumza kiingereza broken. Sababu hata wao hawafahamu kiswahili au wanazungumza broken. Mi nadhani kwa suala la lugha ni Utumwa ndo tatizo. Mi nafahamu Kiingereza, Kiswahili,Kispaniola na lugha mbili za Kibantu. But here i am...nipo humu nimechanganyika na vilaza mbalimbali... Sijawahi hata kuwa Diwani.
 
But ukitaka zungumzia kiingereza Marais ambai walikuwa wanazungumza kiingereza vizuri ni wawili tu Tanzania. 1. Nyerere 2. Mkapa. Hawa walikuwa wanazungumza kiingereza cha ukweli. Wengine wote hamna kitu. Wanazungumza kiingereza cha kiswahili.

Mimi nina mtoto wangu anazungumza kiingereza kama Mmarekani...lakini ni mtoto si hata Mbunge...😁
Hao wawili uliowataja ujamuweka Kikwete sababu sio mvaa rozali mwenzio
 
Gesi ya mtwara ni Mali yetu? Nauliza tu!!!
Gesi ya Mtwara sio yetu, na tutakao safirisha sio sisi, Sisi tutajenga miundombinu ya usafirishaji na baadae tutapewa mirahaba kwa kadri ya wenye gesi watakavyoamua...
 
Huo ni ukweli jiwe lugha ilikuwa haipandi, na kingereza kingekuwa Ni mtu, jiwe angekipa kesi ya utakatishaji wallah!
Kingefia segerea
Ninahisi wizara aliyotokea kabla ya kuwa Rais ilikuwa haimpi muda wa kukutana na foreign dignitaries mara kwa mara kama ilivyokuwa kwa Mzee Mkapa na Membe kule foreign affairs.

Hizi lugha za kigeni zinahitaji mazoezi ya mara kwa mara.
 
Hao wawili uliowataja ujamuweka Kikwete sababu sio mvaa rozali mwenzio
Kumbe hujui kiingereza ni kilaza. Yaani unamuona kikwete anajua kiingereza? We kweli kilaza. Utakuwa umeishia madarasa tu.😁 Lugha yenyewe ni ya wavaa rozari. Yaani unataka kujivunia lugha ya wavaa rozari na unataka watu wazungumze vizuri wewe una akili kweli? 😳

Umenishtua nmegundua umekujaa ukilaza sana. Kikwete hajawahi kukifahamu kiingereza. Huwa anazungumza kiswanglish. Tofauti ya Magufuli na Kikwete ni kuwa Magufuli kaathiriwa na lafudhi ya Kisukuma. Kikwete ana lafudhi ya Kiswahili.

Mi nlidhani utakuwa na akili kumbe ni makubazi tu yamejaa kichwani....🤣 Kujipendekeza na kusifia lugha ya kibeberu. Sasa unachukia wavaa rozari ila unataka uzungumze lugha yao kwa ufasaha? Wewe ni maamuma, halafu majnuni.

Kiarabu tunakuita Al Mujnan... Maamuma.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kumbe hujui kiingereza ni kilaza. Yaani unamuona kikwete anajua kiingereza? We kweli kilaza. Utakuwa umeishia madarasa tu.😁 Lugha yenyewe ni ya wavaa rozari. Yaani unataka kujivunia lugha ya wavaa rozari na unataka watu wazungumze vizuri wewe una akili kweli? 😳

Umenishtua nmegundua umekujaa ukilaza sana. Kikwete hajawahi kukifahamu kiingereza. Huwa anazungumza kiswanglish. Tofauti ya Magufuli na Kikwete ni kuwa Magufuli kaathiriwa na lafudhi ya Kisukuma. Kikwete ana lafudhi ya Kiswahili.

Mi nlidhani utakuwa na akili kumbe ni makubazi tu yamejaa kichwani....🤣 Kujipendekeza na kusifia lugha ya kibeberu. Sasa unachukia wavaa rozari ila unataka uzungumze lugha yao kwa ufasaha? Wewe ni maamuma, halafu majnuni.

Kiarabu tunakuita Al Mujnan... Maamuma.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Siwezi kukujibu, we Kwanza Ni Gay, mwanaume hawezi kuweka emoj kibaoo , rubbish kabisa
 
But ukitaka zungumzia kiingereza Marais ambai walikuwa wanazungumza kiingereza vizuri ni wawili tu Tanzania. 1. Nyerere 2. Mkapa. Hawa walikuwa wanazungumza kiingereza cha ukweli. Wengine wote hamna kitu. Wanazungumza kiingereza cha kiswahili.

Mimi nina mtoto wangu anazungumza kiingereza kama Mmarekani...lakini ni mtoto si hata Mbunge...😁
Mawaziri waliopitia foreign service wanajua sana kiingereza. Hata mama Mulamula yupo vizuri sana kwenye hii lugha.
 
Waziri wa hela sijui kama kaelewa na first class yake. Bongo hii
 
Siwezi kukujibu, we Kwanza Ni Gay, mwanaume hawezi kuweka emoj kibaoo , rubbish kabisa
Nimegundua ni kilaza na hujielewi... Unataka kujua lugha ya wavaa rozari...na unataka kikwete aonekane anajua lugha ya wavaa rozari? Hapo nimegundua nachat na shoger maana hata halijui linataka nini. 🤣 Mashoga huwa yanajichanganya. Yanataka yaonekane ni wanawake lakini ukiliangalia lina uume. Ndo wewe ulivyo. Yaani unawachukia wavaa rozari ila unataka sisi wavaa kobazi tuzungumze vizuri lugha yao? 😳😳😳 Huo ndo ushoger asilimia 100.
 
Back
Top Bottom