Pumbavu! Kikwete anajua kiingereza?Hao wawili uliowataja ujamuweka Kikwete sababu sio mvaa rozali mwenzio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pumbavu! Kikwete anajua kiingereza?Hao wawili uliowataja ujamuweka Kikwete sababu sio mvaa rozali mwenzio
[emoji23][emoji1787][emoji28][emoji38][emoji16][emoji16][emoji1][emoji2][emoji2]Hili Neno Lilimsumbua Mzilankende Kulitamka "Enterpenuership " Akasema Tu Hiyo Hiyo
Mawaziri waliopitia foreign service wanajua sana kiingereza. Hata mama Mulamula yupo vizuri sana kwenye hii lugha.
Mama mulamula pia ni mzuri sababu kuna kitu kitaalamu tunaita Language Intelligence. Si kila mtu anakuwa nacho.Mawaziri waliopitia foreign service wanajua sana kiingereza. Hata mama Mulamula yupo vizuri sana kwenye hii lugha.
Safi sana mkuu. Unaongea logic sanaMama mulamula pia ni mzuri sababu kuna kitu kitaalamu tunaita Language Intelligence. Si kila mtu anakuwa nacho.
Kikwete amefanya kazi kama waziri wa mambo ya nje but bado hakuweza kifahamu kiingereza. Magufuli alikuwa na akili katika masomo yake lakini hakuwa na akili ya lugha.
Kuna watu wana akili ya lugha but wabovu wa hesabu and the vice versa is true. So mimi simlaumu Magufuli kwa kutojua Kiingereza. Nitamlaumu kwa kutojua Kisukuma vizuri (amezaliwa na kukulia huko)
Kama nitamlaumu Kikwete. Nitamlaumu kama hajui Kiswahili vizuri. Amezaliwa na kukulia katika hiki.
Nashukuru umeongea na tumejadiliana kisomi. Shida tu ni kuwa miaka hii wamejaa watoto humu wanasababisha sisi wenye akili tusionane mara kwa mara. Mmoja kule juu anaona mimi ku mu appreciate Nyerere na Mkapa ni sababu wanavaa rozari. But hajui Dini yangu ni ipi ila tayari ana hukumu kwa misingi ya Dini.Safi sana mkuu. Unaongea logic sana
Kweli kabisa mkuu. Tatizo la baadhi ya members ni kuwa akizidiwa na hoja kidogo anakimbilia matusi na kejeli. Mbaya sana hii.Nashukuru umeongea na tumejadiliana kisomi. Shida tu ni kuwa miaka hii wamejaa watoto humu wanasababisha sisi wenye akili tusionane mara kwa mara. Mmoja kule juu anaona mimi ku mu appreciate Nyerere na Mkapa ni sababu wanavaa rozari. But hajui Dini yangu ni ipi ila tayari ana hukumu kwa misingi ya Dini.
Kuna kipindi flani alikuwepo Mbunge toka Lindi au Mtwara. Alikuwa ana PHD na Mlemavu wa ngozi kama unamkumbuka. Huwezi mtamani kumsikiliza akiwa anaongea.... Hajui kuongea. But ni kwa nini? Hakuwa na kipaji hicho cha kuzungumza. Kumbuka pia ni kutoka Pwani.
Utagundua akili zimegawanyika ndo maana tunasema hakuna kipimo kimoja cha kupima akili ya mtu. Ukiwachukua nyani na samaki ukawashindanisha kuogelea ili upate kujua kati yao nani ana akili za kuogelea. Samaki atashinda.
Ukiwachukua ukawapa mtihani wa kupanda miti...nyani atashinda.
Lionel Messi unaweza kuta alikuwa mbovu sana darasani... Lakini uwanjani? So ana akili ya uwanjani. Marijani Rajabu unaweza kuta darasani alikuwa mbovu tu lakini angalia nyimbo anazotunga....
Nashukuru mkuu una uelewa Mkubwa. Ni kuwasaidia hawa madogo. Mimi nakumbuka nlikuwa namkimbiza jamaa flani shule kwenye somo la kiingereza na kiswahili. But kwenye hesabu,physics na chemistry alikuwa ananichana vibaya sana. Leo hii yupo TRA. Mpaka leo si mzuri sana kwenye kujieleza.
Hapana,kingereza anajua bwanako aliyekujaza mimbaPumbavu! Kikwete anajua kiingereza?
Bila shaka umerithi uchangudoa kwa mama yako!Hapana,kingereza anajua bwanako aliyekujaza mimba
NAMI nilitaka nimuulize hivyo.Zahabu ndio nini?
Tusubiri jibuNAMI nilitaka nimuulize hivyo.
Unatumia ID yenye jina la Kinyakyusa na nimeambiwa maana yake kwa kiswahili.Hapana,kingereza anajua bwanako aliyekujaza mimba
[emoji28]Huo ni ukweli jiwe lugha ilikuwa haipandi, na kingereza kingekuwa Ni mtu, jiwe angekipa kesi ya utakatishaji wallah!
Kingefia segerea
Unataka lijengwe Bomba kusafirisha Gesi hadi huko kwenu juu ya mlima matogoro wakati hakuna wa Teja wakuitumia?Yaani gesi iende kenya wakati hapa nyumbani inapatikana kwa shida hivyo.Bei juu then mnapeleka kenya.Hii nchi imekuwa ya kisengerema sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui kwanini watu hiyo dini wana upumbavu mwingi namna hiiUnatumia ID yenye jina la Kinyakyusa na nimeambiwa maana yake kwa kiswahili.
1. Sijawahi ona Wanyakyusa wenye akili za hovyo kama yako. Wanyakyusa nmesoma nao na kufanya kazi wapo very smart upstairs.
2. Unapenda kuonekana unautetea uislamu lakini sioni kama una uislamu hata kidogo. Yaani una UKAFIR mwingi sana. SANA. kuliko kuwa Dini yoyote. Si Ukristo,si Uislamu na wala si Dini za Jadi.
Kwani ni uongo kuwa alikuwa hajui Kingereza.....!!?
Putin naye alisoma masomo yake kwa kingereza?Sio Kingereza ni Kiingereza, hata PUTIN hajui Kiingereza au sio ! !Magu alikuwa mbele ya muda uliopo mzee hata mipaka 10 hujavuka mwenzio kafanya Thesis Uingereza zaidi ya mwaka, EMANCIPATE YOURSELF FROM MENTAL SLAVERY NONE BUT OURSELVES CAN FREE OUR MINDS