johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwani ni uongo kuwa alikuwa hajui Kingereza.....!!?Ingekuwa enzi za mwendazake Maguful maneno yangekuwa mengi oooh hajui kiinglish.....oooh sijui nini lakin pale Ikulu leo waalikwa wamemuomba Rais Ruto azungumze kwa Kiswahili
J3 Ubarikiwe sana
Ameathiriwa na ulanzi huyo! Tangu ana miezi 6 tayari alishaanza kunyweshwa ugimbi na Mzee wake Mgaya.we nae umekariri kuongea pumba tu
Hahaha......kaulasi!Ameathiriwa na ulanzi huyo! Tangu ana miezi 6 tayari alishaanza kunyweshwa ugimbi na Mzee wake Mgaya, na ambaye ni rafiki yangu wa kitambo tu.
Ili Wewe kitimoto ulewe nae umekariri kuongea pumba tu
Ruto hakuimba pambio?Ingekuwa enzi za mwendazake Maguful maneno yangekuwa mengi oooh hajui kiinglish.....oooh sijui nini lakin pale Ikulu leo waalikwa wamemuomba Rais Ruto azungumze kwa Kiswahili
Ruto amesema Gesi ya Mtwara itapita Dar es salaam hadi Mombasa kisha Nairobi na hilo atalisimamia kikamilifu
J3 Ubarikiwe sana
Tumeuona mkono wa BwanaRuto hakuimba pambio?
Huo ni ukweli jiwe lugha ilikuwa haipandi, na kingereza kingekuwa Ni mtu, jiwe angekipa kesi ya utakatishaji wallah!Ingekuwa enzi za mwendazake Maguful maneno yangekuwa mengi oooh hajui kiinglish.....oooh sijui nini lakin pale Ikulu leo waalikwa wamemuomba Rais Ruto azungumze kwa Kiswahili
Ruto amesema Gesi ya Mtwara itapita Dar es salaam hadi Mombasa kisha Nairobi na hilo atalisimamia kikamilifu
J3 Ubarikiwe sana
Hapo ufipa st nani ngeli inapanda?Huo ni ukweli jiwe lugha ilikuwa haipandi, na kingereza kingekuwa Ni mtu, jiwe angekipa kesi ya utakatishaji wallah!
Kingefia segerea
ahhaha, Godbless LemaHapo ufipa st nani ngeli inapanda?
Hata Zahabu ni mali zetu ndio maana tunakula mirahaba.Gesi ya mtwara ni Mali yetu? Nauliza tu!!!
NdioGesi ya mtwara ni Mali yetu? Nauliza tu!!!
hahahahaKichwa cha habari kinamuhusu Ruto na gesi ya Mtwara. Content ya uzi inamuongelea Magufuli.
Lumumba hamna akili bwashee!
Zahabu ndio nini?Hata Zahabu ni mali zetu ndio maana tunakula mirahaba.
Wanaojua Kingereza ndani ya CCM ni watu wachache sana. Thesis ya PhD ya Mwigulu Nchemba inathibishaIngekuwa enzi za mwendazake Maguful maneno yangekuwa mengi oooh hajui kiinglish.....oooh sijui nini lakin pale Ikulu leo waalikwa wamemuomba Rais Ruto azungumze kwa Kiswahili
Ruto amesema Gesi ya Mtwara itapita Dar es salaam hadi Mombasa kisha Nairobi na hilo atalisimamia kikamilifu
J3 Ubarikiwe sana