Rais Ruto aomba ahutubie kwa Kiingereza baadhi ya mawaziri waomba ahutubie kwa Kiswahili, Gesi ya Mtwara kufika Kenya!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ingekuwa enzi za mwendazake Maguful maneno yangekuwa mengi oooh hajui kiinglish.....oooh sijui nini lakin pale Ikulu leo waalikwa wamemuomba Rais Ruto azungumze kwa Kiswahili

Ruto amesema Gesi ya Mtwara itapita Dar es salaam hadi Mombasa kisha Nairobi na hilo atalisimamia kikamilifu

J3 Ubarikiwe sana
 
Ruto hakuimba pambio?
 
Huo ni ukweli jiwe lugha ilikuwa haipandi, na kingereza kingekuwa Ni mtu, jiwe angekipa kesi ya utakatishaji wallah!
Kingefia segerea
 
Wanaojua Kingereza ndani ya CCM ni watu wachache sana. Thesis ya PhD ya Mwigulu Nchemba inathibisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…