Rais Ruto kuingia kwenye Orodha ya Madikteta?

Rais Ruto kuingia kwenye Orodha ya Madikteta?

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595
Rais Ruto yumo katika hatari ya kujichafua akikubali shinikizo la vikaragosi wake kuondondoa vipindi vya urais.

79191817-A5D1-47B8-8CC7-B57923D03130.jpeg


Pendekezo la mbunge wa UDA la kubadilishwa kwa Katiba ili kuondoa vipindi viwili vya urais linamwekea mtego Rais Ruto wa kuingia katika orodha ya marais wa Afrika ambao wamekatalia madarakani.

Ingawa UDA imejitenga na pendekezo hilo, wadadisi wanasema uwezekano huo upo.
 
Rais Ruto yumo katika hatari ya kujichafua akikubali shinikizo la vikaragosi wake kuondondoa vipindi vya urais.

View attachment 2411219

Pendekezo la mbunge wa UDA la kubadilishwa kwa Katiba ili kuondoa vipindi viwili vya urais linamwekea mtego Rais Ruto wa kuingia katika orodha ya marais wa Afrika ambao wamekatalia madarakani.

Ingawa UDA imejitenga na pendekezo hilo, wadadisi wanasema uwezekano huo upo.
Siamini kama Ruto ataingia mtego huo!
 
Back
Top Bottom