Rais Ruto kuingia kwenye Orodha ya Madikteta?

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595
Rais Ruto yumo katika hatari ya kujichafua akikubali shinikizo la vikaragosi wake kuondondoa vipindi vya urais.



Pendekezo la mbunge wa UDA la kubadilishwa kwa Katiba ili kuondoa vipindi viwili vya urais linamwekea mtego Rais Ruto wa kuingia katika orodha ya marais wa Afrika ambao wamekatalia madarakani.

Ingawa UDA imejitenga na pendekezo hilo, wadadisi wanasema uwezekano huo upo.
 
Siamini kama Ruto ataingia mtego huo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…