Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Well…well…well!
It’s deja vu all over again 🤣.
This time it didn’t take that long [although some of us expected it to come to pass at some point].
Majirani zetu wameshaanza kufanyiana figisu.
Rais Ruto na Makamu wake tayari washaanza kuvurugana na kurushiana vijembe.
Wapambe wao nao vivyo hivyo.
Naona wanarudi kule kule kama ilivyokuwa kati ya Kenyata na Ruto.
It’s deja vu all over again 🤣.
This time it didn’t take that long [although some of us expected it to come to pass at some point].
Majirani zetu wameshaanza kufanyiana figisu.
Rais Ruto na Makamu wake tayari washaanza kuvurugana na kurushiana vijembe.
Wapambe wao nao vivyo hivyo.
Naona wanarudi kule kule kama ilivyokuwa kati ya Kenyata na Ruto.