Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi watanzania kuna baadhi tuna akili fupi sana. Katiba haijawasaidia wakenya? Ulifuatilia chaguzi mbili zilizopita? Kama siyo uzuri wa katiba yao huoni kungeweza kutokea machafuko mabaya sana? Huoni hiyo katiba ndiyo inawapa uhuru wa kutofautiana kimawazo bila kuumizana jambo ambalo ni muhimu sana kwenye demokrasia? Ndugai alipotoa mawazo yake kuhusu mikopo Samia alimfanya nini? Tungekuwa na katiba nzuri angekuwa na nguvu ya kumwondoa ili pate nafasi ya kuuza bandari?Kwani Katiba Mpya haijawasaidia? 😁😁😁
Chadema naomba jibu
Akili za wana ccm bhana, yaan mpaka aibu!Kwani Katiba Mpya haijawasaidia? 😁😁😁
Chadema naomba jibu
Kutofautiana kwenye siasa ni jambo la kawaida mno na wala siyo issue. Unataka wawe kama Bongo bunge limegeuka kuwa chawa wa rais na kumwachia kuibaka nchi anavyotaka?
Kwani uchaguzi upo jirani nao wanazingua!Well…well…well!
It’s deja vu all over again 🤣.
This time it didn’t take that long [although some of us expected it to come to pass at some point].
Majirani zetu wameshaanza kufanyiana figisu.
Rais Ruto na Makamu wake tayari washaanza kuvurugana na kurushiana vijembe.
Wapambe wao nao vivyo hivyo.
Naona wanarudi kule kule kama ilivyokuwa kati ya Kenyata na Ruto.
Serious unam miss Job Ndugai? Huyu huyu aliyehusika na kudogosha bunge letu kwa kumtetemekea Magufuli?Sisi watanzania kuna baadhi tuna akili fupi sana. Katiba haijawasaidia wakenya? Ulifuatilia chaguzi mbili zilizopita? Kama siyo uzuri wa katiba yao huoni kungeweza kutokea machafuko mabaya sana? Huoni hiyo katiba ndiyo inawapa uhuru wa kutofautiana kimawazo bila kuumizana jambo ambalo ni muhimu sana kwenye demokrasia? Ndugai alipotoa mawazo yake kuhusu mikopo Samia alimfanya nini? Tungekuwa na katiba nzuri angekuwa na nguvu ya kumwondoa ili pate nafasi ya kuuza bandari?
Sijasema nimem miss au ni kiongozi mzuri. Nimezungumzia alivyofanyiwa.Serious unam miss Job Ndugai? Huyu huyu aliyehusika na kudogosha bunge letu kwa kumtetemekea Magufuli?
Sasa kama anaweza kutuletea wabunge 19 bila utaratibu kwa nini umuonee huruma? Au huelewi maana ya KARMA!!Sijasema nimem miss au ni kiongozi mzuri. Nimezungumzia alivyofanyiwa.
Umeijibu vizuri hiyo Farisayo.Katiba mpya haihusiani chochote na watu wawili kutokuelewana.
🤣🤣🤣Wewe nafikiri ukigombana na mmeo utaisingizia katiba.
Uko wrong vibaya sana. Uki set pecedence kwenye kanuni kama hii itakurudia. Atakuja spika mzuri na ataondolea kwa kusema ukweli kwa sababu tu wezi hawataki.Sasa kama anaweza kutuletea wabunge 19 bila utaratibu kwa nini umuonee huruma? Au huelewi maana ya KARMA!!
Muache Ndugai atumikie madhambi yake
Subiri kwanza huyo Spika Mzuri aje. Ni bahati mbaya tu Job Ndugai alifika nafasi ya kuwa Spika. Lakini kwa tuliowahi kuwa karibu naye, Ndugai ni kiazi tuUko wrong vibaya sana. Uki set pecedence kwenye kanuni kama hii itakurudia. Atakuja spika mzuri na ataondolea kwa kusema ukweli kwa sababu tu wezi hawataki.
What goes around comes around!Well…well…well!
It’s deja vu all over again 🤣.
This time it didn’t take that long [although some of us expected it to come to pass at some point].
Majirani zetu wameshaanza kufanyiana figisu.
Rais Ruto na Makamu wake tayari washaanza kuvurugana na kurushiana vijembe.
Wapambe wao nao vivyo hivyo.
Naona wanarudi kule kule kama ilivyokuwa kati ya Kenyata na Ruto.
Kati ya Ndugai na wa sasa yupi afadhali?Serious unam miss Job Ndugai? Huyu huyu aliyehusika na kudogosha bunge letu kwa kumtetemekea Magufuli?
Mbona hilo lilishatukia? Nini kilimkosesha Mzee Sitta uspika?Uko wrong vibaya sana. Uki set pecedence kwenye kanuni kama hii itakurudia. Atakuja spika mzuri na ataondolea kwa kusema ukweli kwa sababu tu wezi hawataki.
Wote Tulia na Ndugai ni zao la Magufuli, hakuna aliye na afadhaliKati ya Ndugai na wa sasa yupi afadhali?