Rais Ruto na makamu wake washaanza kutofautiana!

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Well…well…well!

It’s deja vu all over again 🤣.

This time it didn’t take that long [although some of us expected it to come to pass at some point].

Majirani zetu wameshaanza kufanyiana figisu.

Rais Ruto na Makamu wake tayari washaanza kuvurugana na kurushiana vijembe.

Wapambe wao nao vivyo hivyo.

Naona wanarudi kule kule kama ilivyokuwa kati ya Kenyata na Ruto.

Your browser is not able to display this video.

 
Kwani Katiba Mpya haijawasaidia? 😁😁😁

Chadema naomba jibu
 
Nadhani tatizo la kwanza ni power ya Rais na Naibu Rais.

Nafikiri ipo tofauti ya power ya Deputy na Vice.

Huku Tanzania tuna Vice President sawa na USA.Power ya Vice President ni ndogo ukilinganisha na Power ya Deputy President .

Kama Kenya wangekuwa na Vice President ambaye kazi yake kubwa ni ufunguzi wa mikutano na majengo.
 
 
Soma hapa Cheo cha 'Naibu Rais' chaendelea kuwatesa Wakenya. Inasemekana Rais Ruto hapatani na Naibu wake
 
There can't be two centres of power!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…