Rais Samia aache kukwepa majukumu

Rais Samia aache kukwepa majukumu

Busara ya kawaida tu ingemu alert kuwa hawa watu ni sleepers.

Anyway. Hata mimi nina pua ndefuuuuu!

Ila msijali sana wakuu. Napoza chai yangu tu kama alivyonifundisha marehemu bibi.

haahaaaa
 
Anawaza uchaguzi tu......ndio tabia ya Wafrica

Sijui anaogopa Nini. Uchaguzi mwakani 2025 ila analiamrisha jeshi liwe tayari kwa lolote. Tena kawatupia lawama vyama vya upinzani. Huyu Rais Hana busara.
 
Mnamuonea!!

Hakujiandaa kuwa Rais Wala hakua na vipaumbele vyake,malengo na hulka imekuja baada ya kupata!!

Ndio maana amepwaya coz akili haikujiandaa!

CCM ingemsaidia kumpumzisha lakini Kwa ujinga tulioukumbatia was kofia mbili ya uenyekiti na urais in one,inafanya process kuwa ngumu Hadi dark arts zitumike ndio tuweke mambo sawa!!


So sad!
Ndo ameshakua Rais sasa inabidi akabiliane na hayo majukumu
 
Mpumbavu anapuuzwa kama CDF wenu alivyopuuzwa na boss wake.

Ila JWTZ wamejishushia hadhi wenyewe kuwaendekeza wanasiasa. Ndio maana Leo unaweza kutamka kuwa Rais kampuuza CDF. Wamejitakia wenyewe ndio maana wanadhaurika.
 
Huyu bibi hii kazi hakuomba ilimdondokea tu , hivyo haoni ulazima wa kuwajibika na ndio maana kakaimisha madaraka kwa Paulo Bashite!! Kwani nyinyi vipofu hamuoni?

Yeah! Kwa Sasa Makonda ndiye Rais. Mawaziri wote wanawajibika kwake.
 
ulitaka afanyeje? apayuke,hivi wewe ukiletewa taarifa hadharani kuwa mkeo anatembea na rafiki yako,utakurupuka kumpiga na kumfukuza bila kuchunguza

Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona yeye alipayuka kuwa vyama vya upinzani vinalenga kumpindua, hivyo jeshi liwe tayari kwa lolote. Tuache kumtetea huyo mama.
 
Back
Top Bottom