Rais Samia aache kukwepa majukumu

Huyu mama kama anabusara aachane na uraisi kwasababu uwezo Hana kabisa, jitathmini mama kuliko kuingiza inchi kwenye majanga, sasahivi mahakama zimetiwa mfukoni, bunge mfukoni, polisi nao mfukoni, takukuru mfukoni, kinachofuata Kuna watu watamiliki jeshi lao kama Wegner hapo ndio mziki utaanza
 
Huyu mama kama anabusara aachane na uraisi kwasababu uwezo Hana kabisa, jitathmini mama kuliko kuingiza inchi kwenye majanga, sasahivi mahakama zimetiwa mfukoni, bunge mfukoni, polisi nao mfukoni, takukuru mfukoni, kinachofuata Kuna watu watamiliki jeshi lao kama Wegner hapo ndio mziki utaanza
 
Kwa hivyo kwa kauli yako ni kwamba JWTZ walikurupuka.
kwa watu wa itifaki sio tu kwamba CDF alikurupuka,lakini ilionyesha kabisa kwamba hajui yeye ni nani.

1,risala haitakiwi kuwa ripoti au ifanane na ripoti hata mara moja,achia mbali risala ya kumsomea mgeni rasmi rais tena inayohusu usalama.labda kama aliambiwa asome vile kwa malengo maalum.

2,kama kwa vyovyote haikupangwa kuwa vile maana yake amezua taharuki,kwamba vyombo vya serikali baadhi hakuna kazi vinafanya na ni ujumbe kwa rais kwamba yeye ni kiazi.hajui hata anachokifanya.

3,yeye kama cdf mlango wa magogoni uko wazi 28hrs kupeleka ripoti kama hizo.

kwahiyo kama hakupangaa(kasome haya),basi jiandaeni kusikia lolote kuanzia siku ile kumhusu yeye na nafasi yake.
 
Hii ndiyo Tanzania,sasa tumehamishiwa kwenye jambo jingine nyeti ili tupimwe uwezo wetu wa kufikiri na kutoa maoni
 
Hii ndiyo Tanzania,sasa tumehamishiwa kwenye jambo jingine nyeti ili tupimwe uwezo wetu wa kufikiri na kutoa maoni
 
Yani WAPINZANI wasio hata na rungu la kimasai walete fujo na kuacha Watusi na Wanayrwanda waliojazana kama alivyojuzwa na mpendwa wetu mkuu wa majeshi ?

Mimi nikashangaa Sana. Yani Leo CHADEMA wawe hatarishi kiasi kwba jeshi la wananchi lipewe tahadhari ya kuingilia kati.
 
Muliomba kuandamana mkaruhusiwa , tatizo ni nini tena? Kiki zimeisha au?
 

Kwa kauli yake ile , ipo siku jeshi litagawanyika.
 
Kiki zimeisha au? Mlitegemea heka heka Ili mtrend au? πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Narudia Tena. Tafuta mada za machawa. Hizi mada za Usalama wa nchi waachie watu wanaojitambua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…