Rais Samia aache kukwepa majukumu

Rais Samia aache kukwepa majukumu

Wakati akiwa kwenye mkutano wa JWTZ, Rais Samia alijulishwa na Mkuu wa majeshi Jenerali Jacob Mkunda kuwa Kuna wakimbizi wameteuliwa kwenye vyombo vya maamuzi.

Ili kukwepa hiyo kauli ya CDF, Rais Samia alipopewa nafasi ya kuongea kwenye mkutano huo, akaleta mada nyingine kwamba mwaka 2025 ni mwaka wa uchaguzi hivyo vyama vipo vingi na vingine havina Nia njema, hivyo jeshi liwe tayari kwa lolote.

Kauli ya Rais ilikuwa ya kinafiki na kujaribu kujenga taswira ya kwamba vyama vya Upinzani vinalenga kuleta fujo au kauli ya Rais ililenga kuwaingiza wanajeshi kwenye siasa za kuilinda CCM .

Namuomba Rais asitumie vyama vya Upinzani Kama Chaka la kujifichia , kwani tumefanya chaguzi nyingi na JWTZ haijawahi kuhusishwa. Yeye ajikite kushughulikia kauli ya CDF kuhusu wakimbizi kuteuliwa kwenye nafasi za kisiasa. Aache longolongo.
Si ndio hapo alisimama na kusema vijana wengi hawaoi, nikacheka sana.
 
Ninyi wote mnaomsengenya Mama msijali.. 2030 sio mbali. Atawaachia Urais wenu. Ila kwa sasa hakuna namna lazima mvumilie.. 2025 - 2030 ni Mama Samia tena.
 
CDF ni sehemu tu ya vyombo vya Rais, na Rais hawajibiki kumuamini CDF moja kwa moja, ndio maana ana taasisi zaidi ya moja za kumpa taarifa.

What if hata huyo CDF kapotoshwa?

Rais ana usalama wa taifa, ana uhamiaji, ana watu wa ofisi ya Rais, wakuu wa mikoa, wilaya, kata, tarafa, na kila aina ya taasisi za kumsaidia

..kwa hiyo CDF haaminiki?

..basi ateuliwe anayeaminiwa.
 
Umeshindwa kuelewa kua CDF kaamrishwa aseme yale?

Usicheze kabisa na Intelijensia na namna za kuwatoa hofu wananchi.

Ukiona yametangawa yale ujue ulikuwa unatumwa ujumbe kkwa kina fulani na ujuwe wote waliopo wapo "under control", vyma vya upinzani kama vilidhani vinaweza kuwatumia "hao" basi waelewe serikali ipo makini sana kupita kiasi cha fikra zao.

Zitto yupo bara au yupo Zanzibar siku hizi?
Kumbe vyama vya upinzani ndio vinateua wasio waTanzania kushika nafasi za maamuzi serikalini!
 
Wakati akiwa kwenye mkutano wa JWTZ, Rais Samia alijulishwa na Mkuu wa majeshi Jenerali Jacob Mkunda kuwa Kuna wakimbizi wameteuliwa kwenye vyombo vya maamuzi.

Ili kukwepa hiyo kauli ya CDF, Rais Samia alipopewa nafasi ya kuongea kwenye mkutano huo, akaleta mada nyingine kwamba mwaka 2025 ni mwaka wa uchaguzi hivyo vyama vipo vingi na vingine havina Nia njema, hivyo jeshi liwe tayari kwa lolote.

Kauli ya Rais ilikuwa ya kinafiki na kujaribu kujenga taswira ya kwamba vyama vya Upinzani vinalenga kuleta fujo au kauli ya Rais ililenga kuwaingiza wanajeshi kwenye siasa za kuilinda CCM .

Namuomba Rais asitumie vyama vya Upinzani Kama Chaka la kujifichia , kwani tumefanya chaguzi nyingi na JWTZ haijawahi kuhusishwa. Yeye ajikite kushughulikia kauli ya CDF kuhusu wakimbizi kuteuliwa kwenye nafasi za kisiasa. Aache longolongo.
Urais ulimdondokea tu ila unampwaya sana, ndio maana anaajiri machawa wa kumpromoti
 
Wakati akiwa kwenye mkutano wa JWTZ, Rais Samia alijulishwa na Mkuu wa majeshi Jenerali Jacob Mkunda kuwa Kuna wakimbizi wameteuliwa kwenye vyombo vya maamuzi.

Ili kukwepa hiyo kauli ya CDF, Rais Samia alipopewa nafasi ya kuongea kwenye mkutano huo, akaleta mada nyingine kwamba mwaka 2025 ni mwaka wa uchaguzi hivyo vyama vipo vingi na vingine havina Nia njema, hivyo jeshi liwe tayari kwa lolote.

Kauli ya Rais ilikuwa ya kinafiki na kujaribu kujenga taswira ya kwamba vyama vya Upinzani vinalenga kuleta fujo au kauli ya Rais ililenga kuwaingiza wanajeshi kwenye siasa za kuilinda CCM .

Namuomba Rais asitumie vyama vya Upinzani Kama Chaka la kujifichia , kwani tumefanya chaguzi nyingi na JWTZ haijawahi kuhusishwa. Yeye ajikite kushughulikia kauli ya CDF kuhusu wakimbizi kuteuliwa kwenye nafasi za kisiasa. Aache longolongo.
Kwanini mnapenda kujidanganya huyu mwanamke ana uwezo hata wa kufanya hayo majukumu.
 
Rais ana vyombo vingi vya kuhakiki taarifa, uongozi sio kukurupuka, lazima afanye due diligence ili asimuonee mtu kwa sababu tu kazaliwa Karagwe, Kigoma, Ngara, Mbeya, Mtwara
Wachaga wote ni wakenya na wapo kwenye nafasi nyeti serikalini lakini hatujawahi kusikia kelele kutoka popote kwamba wafukuzwe.
Ila sisi wakongo na wanyarwanda wa kigoma na ngara kila siku ni kelele tufukuzwe. Acheni unoko nyie watanganyika
 
Ili kukwepa hiyo kauli ya CDF, Rais Samia alipopewa nafasi ya kuongea kwenye mkutano huo, akaleta mada nyingine kwamba mwaka 2025 ni mwaka wa uchaguzi hivyo vyama vipo vingi na vingine havina Nia njema, hivyo jeshi liwe tayari kwa lolote.
Anawaza uchaguzi tu......ndio tabia ya Wafrica
 
Wachaga wote ni wakenya na wapo kwenye nafasi nyeti serikalini lakini hatujawahi kusikia kelele kutoka popote kwamba wafukuzwe.
Ila sisi wakongo na wanyarwanda wa kigoma na ngara kila siku ni kelele tufukuzwe. Acheni unoko nyie watanganyika
Acha uongo
 
Mnamuonea!!

Hakujiandaa kuwa Rais Wala hakua na vipaumbele vyake,malengo na hulka imekuja baada ya kupata!!

Ndio maana amepwaya coz akili haikujiandaa!

CCM ingemsaidia kumpumzisha lakini Kwa ujinga tulioukumbatia was kofia mbili ya uenyekiti na urais in one,inafanya process kuwa ngumu Hadi dark arts zitumike ndio tuweke mambo sawa!!


So sad!
na ukionyesha nia mda huu ya kuwa rais wew ni ant gavooo
 
Wakati akiwa kwenye mkutano wa JWTZ, Rais Samia alijulishwa na Mkuu wa majeshi Jenerali Jacob Mkunda kuwa Kuna wakimbizi wameteuliwa kwenye vyombo vya maamuzi.

Ili kukwepa hiyo kauli ya CDF, Rais Samia alipopewa nafasi ya kuongea kwenye mkutano huo, akaleta mada nyingine kwamba mwaka 2025 ni mwaka wa uchaguzi hivyo vyama vipo vingi na vingine havina Nia njema, hivyo jeshi liwe tayari kwa lolote.

Kauli ya Rais ilikuwa ya kinafiki na kujaribu kujenga taswira ya kwamba vyama vya Upinzani vinalenga kuleta fujo au kauli ya Rais ililenga kuwaingiza wanajeshi kwenye siasa za kuilinda CCM .

Namuomba Rais asitumie vyama vya Upinzani Kama Chaka la kujifichia , kwani tumefanya chaguzi nyingi na JWTZ haijawahi kuhusishwa. Yeye ajikite kushughulikia kauli ya CDF kuhusu wakimbizi kuteuliwa kwenye nafasi za kisiasa. Aache longolongo.
ulitaka afanyeje? apayuke,hivi wewe ukiletewa taarifa hadharani kuwa mkeo anatembea na rafiki yako,utakurupuka kumpiga na kumfukuza bila kuchunguza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnamuonea!!

Hakujiandaa kuwa Rais Wala hakua na vipaumbele vyake,malengo na hulka imekuja baada ya kupata!!

Ndio maana amepwaya coz akili haikujiandaa!

CCM ingemsaidia kumpumzisha lakini Kwa ujinga tulioukumbatia was kofia mbili ya uenyekiti na urais in one,inafanya process kuwa ngumu Hadi dark arts zitumike ndio tuweke mambo sawa!!


So sad!
shida yenu hamuoni mazuri yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati akiwa kwenye mkutano wa JWTZ, Rais Samia alijulishwa na Mkuu wa majeshi Jenerali Jacob Mkunda kuwa Kuna wakimbizi wameteuliwa kwenye vyombo vya maamuzi.

Ili kukwepa hiyo kauli ya CDF, Rais Samia alipopewa nafasi ya kuongea kwenye mkutano huo, akaleta mada nyingine kwamba mwaka 2025 ni mwaka wa uchaguzi hivyo vyama vipo vingi na vingine havina Nia njema, hivyo jeshi liwe tayari kwa lolote.

Kauli ya Rais ilikuwa ya kinafiki na kujaribu kujenga taswira ya kwamba vyama vya Upinzani vinalenga kuleta fujo au kauli ya Rais ililenga kuwaingiza wanajeshi kwenye siasa za kuilinda CCM .

Namuomba Rais asitumie vyama vya Upinzani Kama Chaka la kujifichia , kwani tumefanya chaguzi nyingi na JWTZ haijawahi kuhusishwa. Yeye ajikite kushughulikia kauli ya CDF kuhusu wakimbizi kuteuliwa kwenye nafasi za kisiasa. Aache longolongo.
Samia hawezi lolote, hawezi lolote.
 
Back
Top Bottom