Rais Samia aagiza vyanzo vikuu vyote vya maji kuwekewa ulinzi. Asema, "Hatuwezi kuweka rehani maisha ya Watanzania"

Rais Samia aagiza vyanzo vikuu vyote vya maji kuwekewa ulinzi. Asema, "Hatuwezi kuweka rehani maisha ya Watanzania"

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza Wakuu wa Mikoa yote pamoja na Kamati za Ulinzi za Mikoa na Wilaya kuhakikisha Ulinzi unawekwa kwenye Vyanzo vyote vikuu vya Maji, na kutosita kuchukua hatua za Kisheria

Amesema, "Utekelezaji wa Agizo hilo unaanza mara moja, hatuwezi kuweka rehani maisha ya Watanzania wengi kwa faida ya watu wachache. Wanaochepusha Vyanzo vya Maji ni watu wachache, wana mashine kubwa zimefungwa kwenye mito zinapump maji kwenye mashamba yao"

Pia Soma >> Rais Samia: Mgao wa maji unatokana na ubishi na ukaidi wa binadamu pia na kudra za mwenyezi Mungu!
 
Wamisri wamefanikiwa kumkamata Samia. Hii taarifa si ya kutolewa na kiongozi wa nchi, et watu wanachepusha maji kwenda kwenye mashamba? kilimo anakidharau sana.
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza Wakuu wa Mikoa yote pamoja na Kamati za Ulinzi za Mikoa na Wilaya kuhakikisha Ulinzi unawekwa kwenye Vyanzo vyote vikuu vya Maji, na kutosita kuchukua hatua za Kisheria

Amesema, "Utekelezaji wa Agizo hilo unaanza mara moja, hatuwezi kuweka rehani maisha ya Watanzania wengi kwa faida ya watu wachache. Wanaochepusha Vyanzo vya Maji ni watu wachache, wana mashine kubwa zimefungwa kwenye mito zinapump maji kwenye mashamba yao"

Pia Soma >> Rais Samia: Mgao wa maji unatokana na ubishi na ukaidi wa binadamu pia na kudra za mwenyezi Mungu!
Very sad. CCM inachezea maisha na uhai wa watu. Mwaka huu haukuwa na ukame, tulipata mvua za kutosha. Ila katika hali ya kushangaza CCM wanatangaza eti kulikuwa na ukame.

CCM ya ngwe ile dhalimu imerudi.
 
Wamisri wamefanikiwa kumkamata Samia. Hii taarifa si ya kutolewa na kiongozi wa nchi, et watu wanachepusha maji kwenda kwenye mashamba? kilimo anakidharau sana.
Eti wanaochepusha maji niwachache na wanaohitaji maji ni wengi.
Yaani amesahau 80% ni wakulima.
Huku Dar tunalima? Tukiletewa maji chakula kinakauka
 
Mmh.. so kilimo cha umwagiliaji tena hakitakiwi?? Turejee kurasa 300 na ushehe za ilani ya chama chetu inasemaje kuhusu kilimo??
 
Mmh.. so kilimo cha umwagiliaji tena hakitakiwi?? Turejee kurasa 300 na ushehe za ilani ya chama chetu inasemaje kuhusu kilimo??
Vyanzo vya maji, sheria ni mita 60 huko ndo ufanye hizo shughuli, hapo Kibaha Wana wanalima mtoni kabisa
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza Wakuu wa Mikoa yote pamoja na Kamati za Ulinzi za Mikoa na Wilaya kuhakikisha Ulinzi unawekwa kwenye Vyanzo vyote vikuu vya Maji, na kutosita kuchukua hatua za Kisheria

Amesema, "Utekelezaji wa Agizo hilo unaanza mara moja, hatuwezi kuweka rehani maisha ya Watanzania wengi kwa faida ya watu wachache. Wanaochepusha Vyanzo vya Maji ni watu wachache, wana mashine kubwa zimefungwa kwenye mito zinapump maji kwenye mashamba yao"

Pia Soma >> Rais Samia: Mgao wa maji unatokana na ubishi na ukaidi wa binadamu pia na kudra za mwenyezi Mungu!
CCM nyie ndio mnaweka rehani Maisha ya watanzania. Kulikuwa na haja gani kuteketeza matrillion kujenga daraja la salender, kununua midege city muhim kama maji. Mnanunua midege WATU hawana hata maji ya kukitawadha Ndo maana mnambambikia Mbowe kesi.
 
Watu wamesoma wakajiajiri km machinga mkawakimbiza eti wanachafua mji haya wengine tumeamua kulima ht hii mito yetu aliyotubariki Mungu hamtaki tuitumie nabaki kujiuliza mbona Magu aliweza kuyatoa maji ziwa victoria hd tabora na sasa watu hawana shida ya maji? Je tuna mito mingapi na maziwa mangapi
 
CCM nyie ndio mnaweka rehani Maisha ya watanzania. Kulikuwa na haja gani kuteketeza matrillion kujenga daraja la salender, kununua midege city muhim kama maji. Mnanunua midege WATU hawana hata maji ya kukitawadha Ndo maana mnambambikia Mbowe kesi.
Gharama za daraja la Tanzanite situngekuwa tumevuta maji toka ziwa Nyasa/Tanganyika nakusambaza nchi nzima.
 
Back
Top Bottom