Rais Samia aambiwe kwenye uongozi kuna Wajibu na Uwajibikaji

Rais Samia aambiwe kwenye uongozi kuna Wajibu na Uwajibikaji

Aramun

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
461
Reaction score
2,213
Kumekuchaje wanajamvi?

Wakati tukisubiria hukumu ya akina Nyundo Mjeda na wenzake dhidi ya Binti wa Yombo, hebu tumkumbushe mama kitu kimoja cha msingi maana huenda hajui.

Kwenye uongozi kuna mambo 2 ya msingi ambayo kwa kiongozi yeyote yule hata mjumbe wa nyumba 10 huwa hayakwepeki.

Mambo hayo mawili ni "Responsibility & Accountability" au kwa Kiswahili "Wajibu & Uwajibikaji".

Wajibu: Kama kiongozi, una jukumu la kuwa na mamlaka au udhibiti juu ya kitu au mtu fulani. Kama kiongozi una wajibu wa kufanya kazi fulani ili kufikia matokeo fulani.

Uwajibikaji: Ikiwa unawajibika kwa jambo fulani, utawajibishwa kwa matokeo ya kile kinachotoka humo, kwani huu ulikuwa ni wajibu wako. Kwa mifumo ya usimamizi wa ubora ni muhimu kwamba uwajibike kwa matendo yako.

Baada ya kuangalia hotuba yake ya juzi, nimesikitika sana kuona mama kama kiongozi namba 1 nchini "Kujitoa" kwamba hahusiki na mauaji yanayoendelea nchini.

Lakini akumbuke kwamba hakuna aliyemtupia lawama kwamba yeye ndiyo anaua. Ila yeye kama kiongozi alipaswa awe na majibu yanayoridhisha kwamba haya mauaji yanayoendelea ni kipi hasa kiini chake?

Suspects wakubwa wanaohusishwa na haya mauaji ni Jeshi la Polisi. Hiyo ni kutokana na "Scenes" za matukio zilivyo, pamoja na majibu na muitikio wa Jeshi la Polisi kwenye kufanya uchunguzi wa haya matukio. Yani raia waki-toss the coin, all odds zinawaangukia Jeshi la Polisi kuhusika kwa namna moja au ngingine!

Mama kama Amiri Jeshi Mkuu, Majeshi yote yako chini yake including Jeshi la Polisi! Kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi, hotuba ya mama ilionesha wazi kiwakingia kifua Polisi. Mama ali-side na wanaohisiwa kwamba wanahusika kwa namna moja ama nyingine na haya matukio ya mauaji!

Mama akumbuke baada ya kuuawa kwa Mzee Kibao, kilio cha wananchi ilikuwa iundwe tume huru kuchunguza haya mauaji. Jeshi la Polisi haliwezi kujichunguza kwani wananchi hawana imani nalo tena kwenye haya matukio ya namna hii. Ila mama siku hiyo hakutoa majibu ya kueleweka juu ya haya matukio!

Katika mazingira kama haya, mama kama namba moja anajitoaje?

Mama wajibu wake ni kuwawajibisha wale waliohusika na matendo haya ya mauaji. Huo ndiyo wajibu wake. Kinyume na hapo, akishindwa kuwawajibisha basi hili zigo la lawama lazima limuangikie yeye, yeye ndiyo inabidi abebe uwajibikaji kama kiongozi.

Walio karibu mkumbusheni mama yeye kama kiongozi ana Wajibu kwenye kila jambo linalowahusu wananchi wake, hiyo ni automatic, apende asipende.

Akishindwa kufanya Wajibu wake, kamwe pia hawezi kukimbia Uwajibikaji endapo mambo yataenda mrama kwenye jambo lolote lile linalowahusu wananchi.


 
Kumekuchaje wanajamvi?

Wakati tukisubiria hukumu ya akina Nyundo Mjeda na wenzake dhidi ya Binti wa Yombo, hebu tumkumbushe mama kitu kimoja cha msingi maana huenda hajui.

Kwenye uongozi kuna mambo 2 ya msingi ambayo kwa kiongozi yeyote yule hata mjumbe wa nyumba 10 huwa hayakwepeki.

Mambo hayo mawili ni "Responsibility & Accountability" au kwa Kiswahili "Wajibu & Uwajibikaji".

Wajibu: Kama kiongozi, una jukumu la kuwa na mamlaka au udhibiti juu ya kitu au mtu fulani. Kama kiongozi una wajibu wa kufanya kazi fulani ili kufikia matokeo fulani.

Uwajibikaji: Ikiwa unawajibika kwa jambo fulani, utawajibishwa kwa matokeo ya kile kinachotoka humo, kwani huu ulikuwa ni wajibu wako. Kwa mifumo ya usimamizi wa ubora ni muhimu kwamba uwajibike kwa matendo yako.

Baada ya kuangalia hotuba yake ya juzi, nimesikitika sana kuona mama kama kiongozi namba 1 nchini "Kujitoa" kwamba hahusiki na mauaji yanayoendelea nchini.

Lakini akumbuke kwamba hakuna aliyemtupia lawama kwamba yeye ndiyo anaua. Ila yeye kama kiongozi alipaswa awe na majibu yanayoridhisha kwamba haya mauaji yanayoendelea ni kipi hasa kiini chake?

Suspects wakubwa wanaohusishwa na haya mauaji ni Jeshi la Polisi. Hiyo ni kutokana na "Scenes" za matukio zilivyo, pamoja na majibu na muitikio wa Jeshi la Polisi kwenye kufanya uchunguzi wa haya matukio. Yani raia waki-toss the coin, all odds zinawaangukia Jeshi la Polisi kuhusika kwa namna moja au ngingine!

Mama kama Amiri Jeshi Mkuu, Majeshi yote yako chini yake including Jeshi la Polisi! Kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi, hotuba ya mama ilionesha wazi kiwakingia kifua Polisi. Mama ali-side na wanaohisiwa kwamba wanahusika kwa namna moja ama nyingine na haya matukio ya mauaji!

Mama akumbuke baada ya kuuawa kwa Mzee Kibao, kilio cha wananchi ilikuwa iundwe tume huru kuchunguza haya mauaji. Jeshi la Polisi haliwezi kujichunguza kwani wananchi hawana imani nalo tena kwenye haya matukio ya namna hii. Ila mama siku hiyo hakutoa majibu ya kueleweka juu ya haya matukio!

Katika mazingira kama haya, mama kama namba moja anajitoaje?

Mama wajibu wake ni kuwawajibisha wale waliohusika na matendo haya ya mauaji. Huo ndiyo wajibu wake. Kinyume na hapo, akishindwa kuwawajibisha basi hili zigo la lawama lazima limuangikie yeye, yeye ndiyo inabidi abebe uwajibikaji kama kiongozi.

Walio karibu mkumbusheni mama yeye kama kiongozi ana Wajibu kwenye kila jambo linalowahusu wananchi wake, hiyo ni automatic, apende asipende.

Akishindwa kufanya Wajibu wake, kamwe pia hawezi kukimbia Uwajibikaji endapo mambo yataenda mrama kwenye jambo lolote lile linalowahusu wananchi.

View attachment 3111120
Similarly to, any decision you make in life you are responsible for it.

Uamuzi wowote utakao ufanya maishani mwako utawajibika nao
 
Kwenye uongozi kuna kitu kinaitwa "collective responsibilities" unaowaongoza ndio wanatabu kwa kuwa mtuhumiwa alitolewa kwa basi la abiria na mitutu ya bunduki za usalama na magari ya serikali.Waliopotea walichukuliwa na serikali ,akina Santiva walichukuliwa na askari ni serikali yako na Hataki kuunda tume ya kuchunguza si sasa wanahusika.
 
Kwenye uongozi kuna kitu kinaitwa "collective responsibilities" unaowaongoza ndio wanatabu kwa kuwa mtuhumiwa alitolewa kwa basi la abiria na mitutu ya bunduki za usalama na magari ya serikali.Waliopotea walichukuliwa na serikali ,akina Santiva walichukuliwa na askari ni serikali yako na Hataki kuunda tume ya kuchunguza si sasa wanahusika.
Sometimes Silence means admit.


Plausible Admissibility!
 
Kumekuchaje wanajamvi?

Wakati tukisubiria hukumu ya akina Nyundo Mjeda na wenzake dhidi ya Binti wa Yombo, hebu tumkumbushe mama kitu kimoja cha msingi maana huenda hajui.

Kwenye uongozi kuna mambo 2 ya msingi ambayo kwa kiongozi yeyote yule hata mjumbe wa nyumba 10 huwa hayakwepeki.

Mambo hayo mawili ni "Responsibility & Accountability" au kwa Kiswahili "Wajibu & Uwajibikaji".

Wajibu: Kama kiongozi, una jukumu la kuwa na mamlaka au udhibiti juu ya kitu au mtu fulani. Kama kiongozi una wajibu wa kufanya kazi fulani ili kufikia matokeo fulani.

Uwajibikaji: Ikiwa unawajibika kwa jambo fulani, utawajibishwa kwa matokeo ya kile kinachotoka humo, kwani huu ulikuwa ni wajibu wako. Kwa mifumo ya usimamizi wa ubora ni muhimu kwamba uwajibike kwa matendo yako.

Baada ya kuangalia hotuba yake ya juzi, nimesikitika sana kuona mama kama kiongozi namba 1 nchini "Kujitoa" kwamba hahusiki na mauaji yanayoendelea nchini.

Lakini akumbuke kwamba hakuna aliyemtupia lawama kwamba yeye ndiyo anaua. Ila yeye kama kiongozi alipaswa awe na majibu yanayoridhisha kwamba haya mauaji yanayoendelea ni kipi hasa kiini chake?

Suspects wakubwa wanaohusishwa na haya mauaji ni Jeshi la Polisi. Hiyo ni kutokana na "Scenes" za matukio zilivyo, pamoja na majibu na muitikio wa Jeshi la Polisi kwenye kufanya uchunguzi wa haya matukio. Yani raia waki-toss the coin, all odds zinawaangukia Jeshi la Polisi kuhusika kwa namna moja au ngingine!

Mama kama Amiri Jeshi Mkuu, Majeshi yote yako chini yake including Jeshi la Polisi! Kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi, hotuba ya mama ilionesha wazi kiwakingia kifua Polisi. Mama ali-side na wanaohisiwa kwamba wanahusika kwa namna moja ama nyingine na haya matukio ya mauaji!

Mama akumbuke baada ya kuuawa kwa Mzee Kibao, kilio cha wananchi ilikuwa iundwe tume huru kuchunguza haya mauaji. Jeshi la Polisi haliwezi kujichunguza kwani wananchi hawana imani nalo tena kwenye haya matukio ya namna hii. Ila mama siku hiyo hakutoa majibu ya kueleweka juu ya haya matukio!

Katika mazingira kama haya, mama kama namba moja anajitoaje?

Mama wajibu wake ni kuwawajibisha wale waliohusika na matendo haya ya mauaji. Huo ndiyo wajibu wake. Kinyume na hapo, akishindwa kuwawajibisha basi hili zigo la lawama lazima limuangikie yeye, yeye ndiyo inabidi abebe uwajibikaji kama kiongozi.

Walio karibu mkumbusheni mama yeye kama kiongozi ana Wajibu kwenye kila jambo linalowahusu wananchi wake, hiyo ni automatic, apende asipende.

Akishindwa kufanya Wajibu wake, kamwe pia hawezi kukimbia Uwajibikaji endapo mambo yataenda mrama kwenye jambo lolote lile linalowahusu wananchi.

Huyu mama ana elimu gani mungu wa mbinguni?
 
Nchi ya ajabu sana hii, Viongozi kua na mindset ya kwamba Police hawezi kuvunja sheria.

Mfano hii ishu ya binti wa buza ilikua na haja gani ya hawa police kuendelea kusikilizwa mahakamani, wakati video iko wazi?


Police bila shaka wanatumika sana
 
Kwenye uongozi kuna kitu kinaitwa "collective responsibilities" unaowaongoza ndio wanatabu kwa kuwa mtuhumiwa alitolewa kwa basi la abiria na mitutu ya bunduki za usalama na magari ya serikali.Waliopotea walichukuliwa na serikali ,akina Santiva walichukuliwa na askari ni serikali yako na Hataki kuunda tume ya kuchunguza si sasa wanahusika.
Uongozi jumuishi
 
Kuna uuajia wa aina nyingi. Samia ameshiriki hizi aina zote za uuaji. Tozo kubwa, watu kukosa maji, elimu, kushamiri kwa madawa ya kulevya, rushwa, ubakaji, ulawiti. Kuweka mazingira magumu ya kibiashara hivyo watu kukosa kipato, kufuja kodi zetu na kuuza rasilimali zetu kwa wahuni.

Hizo ni aina mbalimbali za kuua, watu na taifa, kimwili, kiakili, kiroho nk.
 
Weledi wa kitanzania; Rais anahusika na mambo yote mazuri na hahusiki na mambo yote mabaya.
 
Yule bibi uelewa wake ni mdogo sana.


Sijajua lengo la kumpatia nchi mazima bila kumpatia miezi 6 ya kipindi cha mpito, angalau tupumue kwa msiba mkubwa tujipange upya tuchague kiongozi, kwanini halipo kwenye katiba yetu.

Ile katiba makamu wa Rais akiwa mchawi, akamla kichwa Rais, automatically anakuwa Rais!

Hii ni gap ambayo tunatakiwa tuifanyie utafiti haraka.
 
Kumekuchaje wanajamvi?

Wakati tukisubiria hukumu ya akina Nyundo Mjeda na wenzake dhidi ya Binti wa Yombo, hebu tumkumbushe mama kitu kimoja cha msingi maana huenda hajui.

Kwenye uongozi kuna mambo 2 ya msingi ambayo kwa kiongozi yeyote yule hata mjumbe wa nyumba 10 huwa hayakwepeki.

Mambo hayo mawili ni "Responsibility & Accountability" au kwa Kiswahili "Wajibu & Uwajibikaji".

Wajibu: Kama kiongozi, una jukumu la kuwa na mamlaka au udhibiti juu ya kitu au mtu fulani. Kama kiongozi una wajibu wa kufanya kazi fulani ili kufikia matokeo fulani.

Uwajibikaji: Ikiwa unawajibika kwa jambo fulani, utawajibishwa kwa matokeo ya kile kinachotoka humo, kwani huu ulikuwa ni wajibu wako. Kwa mifumo ya usimamizi wa ubora ni muhimu kwamba uwajibike kwa matendo yako.

Baada ya kuangalia hotuba yake ya juzi, nimesikitika sana kuona mama kama kiongozi namba 1 nchini "Kujitoa" kwamba hahusiki na mauaji yanayoendelea nchini.

Lakini akumbuke kwamba hakuna aliyemtupia lawama kwamba yeye ndiyo anaua. Ila yeye kama kiongozi alipaswa awe na majibu yanayoridhisha kwamba haya mauaji yanayoendelea ni kipi hasa kiini chake?

Suspects wakubwa wanaohusishwa na haya mauaji ni Jeshi la Polisi. Hiyo ni kutokana na "Scenes" za matukio zilivyo, pamoja na majibu na muitikio wa Jeshi la Polisi kwenye kufanya uchunguzi wa haya matukio. Yani raia waki-toss the coin, all odds zinawaangukia Jeshi la Polisi kuhusika kwa namna moja au ngingine!

Mama kama Amiri Jeshi Mkuu, Majeshi yote yako chini yake including Jeshi la Polisi! Kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi, hotuba ya mama ilionesha wazi kiwakingia kifua Polisi. Mama ali-side na wanaohisiwa kwamba wanahusika kwa namna moja ama nyingine na haya matukio ya mauaji!

Mama akumbuke baada ya kuuawa kwa Mzee Kibao, kilio cha wananchi ilikuwa iundwe tume huru kuchunguza haya mauaji. Jeshi la Polisi haliwezi kujichunguza kwani wananchi hawana imani nalo tena kwenye haya matukio ya namna hii. Ila mama siku hiyo hakutoa majibu ya kueleweka juu ya haya matukio!

Katika mazingira kama haya, mama kama namba moja anajitoaje?

Mama wajibu wake ni kuwawajibisha wale waliohusika na matendo haya ya mauaji. Huo ndiyo wajibu wake. Kinyume na hapo, akishindwa kuwawajibisha basi hili zigo la lawama lazima limuangikie yeye, yeye ndiyo inabidi abebe uwajibikaji kama kiongozi.

Walio karibu mkumbusheni mama yeye kama kiongozi ana Wajibu kwenye kila jambo linalowahusu wananchi wake, hiyo ni automatic, apende asipende.

Akishindwa kufanya Wajibu wake, kamwe pia hawezi kukimbia Uwajibikaji endapo mambo yataenda mrama kwenye jambo lolote lile linalowahusu wananchi.

Una hoja nzito sana lakini chawa soon wataharibu uzi
 
Back
Top Bottom