Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Hujaelewa ndugu, kunatakiwa kuwe na serekali moja ya JMT, na kila mkoa uwe na governor yani kwa upande wa znz kuweka governor wawili mmoja unguja na mwengine pemba. Hivyohivyo na bara mikoa yote iwe na magovernor ili maendeleo yawe jumuishi na sio baadhi ya mikoa inaachwa nyuma. Nadhani nitakuwa nimerekebisha kauli.
Zanzibar haina haja ya kuwa na magovorner, sio kubwa. Zanzibar ipewe madaraka kamili, halafu huko bara watajua wenyewe vya kufanya.
 
Hujaelewa ndugu, kunatakiwa kuwe na serekali moja ya JMT, na kila mkoa uwe na governor yani kwa upande wa znz kuweka governor wawili mmoja unguja na mwengine pemba. Hivyohivyo na bara mikoa yote iwe na magovernor ili maendeleo yawe jumuishi na sio baadhi ya mikoa inaachwa nyuma. Nadhani nitakuwa nimerekebisha kauli.
Shika adabu yako Zanzibar no kubwa kuliko Tanganyika nzima

Na mimi nakwambia hivi, masuala ya kimataifa ni masuala ya serikali ya muungano, si masuala ya serikali ya mapinduzi ya Zanzibar.

Ndiyo maana Salmin Amour alivyotaka kuiingiza Zanzibar kuwa mwanachama wa OIC kinyemela kukazuka mgogoro wa kikatiba mpaka akachomoa.

Unakumbuka?

Ulikuwa umezaliwa?

Sasa, kumpeleka rais wa Zanzibar katika mkutano wa kimataifa wakati kuna Rais wa Tanzania, kuna Makamu wa Rais wa Tanzania, kuna Waziri Mkuu wa Tanzania, kuna Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, ni kuchanganya kazi.

Katika katiba kuna mambo yametajwa kuwa haya ni mambo ya muungano, yanatakiwa kufanywa na serikali ya muungano. Mahusiano ya kimataifa ni moja ya hayo.

Kumpa mtu anayeongoza serikali ya mapinduzi ya Zanzibar kazi za serikali ya muungano za kimataifa ni kuchanganya mambo.

Huyo Rais Samia kuna mambo anafanya anayajua mwenyewe, na yanaweza kuwa na matokeo mabaya sana.
Hizo ndo kero za muungano ndugu yangu. Nilikuwa nishazaliwa na siyo hiyo tu ata zanzibar kujiunga FIFA tuliekewa ngumu
 
Tena mfahamu Zanzibar haijaanza 1964. Mkipata muda nendeni mkatalii makumbusho ya Zanzibar mtajifunza mengi.
 
Zanzibar haina haja ya kuwa na magovorner, sio kubwa. Zanzibar ipewe madaraka kamili, halafu huko bara watajua wenyewe vya kufanya.
Unguja pekee ni kubwakuliko dar ila najua utabisha. Lkni nchi hutambilika kama nchi ikiwaimemeet vigezo na znz imemeet vigezo vyote
 
Kiukweli umeongea mambo ya msingi sana!
Mwinyi alivyoingia kule Znz alisema uchumi wa Blue
hivyo anaazimia serikali yake kununua meli kwa ajili ya Znz.

Ajabu Mama nae akiwa bungeni kutoa hotuba akasema zinunuliwe meli kisha TUGAWANE IDADI SAWA Bara na Znz.

Sasa tunajiuliza kwa fedha zipi hizo?
Mbona sisi haya hatukuwahi kuyasikia kwa viongozi waliopita?

Kwani Mwinyi aliposema serikali yake itanunua alimaanisha Bara ndiyo impe hizo hela?
Kwa hiyo yeye anunue zake alafu tena Bara wamuongeze zingine?

Kifupi hadi mama anatoka ikulu basi mshindi ni znz,
na bado.
Nadhani Vyombo vya ulinzi vimkumbushe mama kuwa kuna muungano hivyo kuna maswala ya kimuungano na ambayo sio ya kimuungano.

Bara tuamke, tuanze kuwa makini na hivi viashiria vilivyoanza mapema hivi.
sio ishara nzuri sana kwetu.
Hujui kama TRA wanakusanya kodi huku Zanzibar?
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.

Hizi ni kampeni za kumuharibia Mama
 
Kuna makosa kiprotocol na miaka hii 5 nadhani yatawekwa sawa. Ila haya matatizo yaliletwa na nyerere haya. Mana hapo mwanzo VP alitakiwa awe rais wa zanzibar na si vyenginevyo. Sasa sababu zake za kibinafsina maono yako hafifu ndo yameleta mtafaruku. Na ndo mana hutakuja kuona Tz historia inafundiswa kiuhalisia sababu ina kasoro nyingi
Kwa history ya lazima waruke ruke kama mahindi ya bis yanapokaangwa hawatasema ukweli tutafundishwa kina mkwawa na kinjekitile basi mengine ni funika kombe

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Wasioelewa kuwa Zanzibar ni nchi hata kabla ya bara giza la afrika kugawanywa kule Berlin ktk Mkutano wa mabeberu 1884, wapewa somo. Kabla ya 1884 Tanganyika haikuwepo ilikuwa sehemu ya nyika giza la bara la Afrika
https://www.pbslearningmedia.org › ...
The Berlin Conference of 1884-1885 | Africa's Great ...

berlin conference 1884 from www.pbslearningmedia.org

Known as The Berlin Conference, they sought to discuss the partitioning of Africa, establishing rules to amicably divide resources among

8 Jun 2020

Othman Masoud: Zanzibar haikuanza 1964 - Part 1​


Aliyekuwa mwanasheria mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, amesema kwamba ni makosa kudhani kwamba Zanzibar ilianza mwaka 1964 baada ya Mapinduzi au 1995 baada ya uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi na kwamba jambo ambalo haliwezi kuepukika muda wote ni mabadiliko. Msikilize kwenye sehemu hii ya kwanza ukijitarisha kwa ajili ya sehemu ya pili ya mazungumzo aliyofanya na Radio Noor ya Mjini Unguja.
 
Wekeni kwenye katiba sasa ili makamo wa raisi muungano awe ndio Raisi wa Tanzania Bara( Tanganyika) ili kuondoa utata kama ilivyokuwa zamani wakati wa Nyerere.

Kulikuwa na Raisi wa Zanzibar na andiye Makamu wa Raisi wa Muungano

Makamu wa pili wa raisi wa Muungano ambaye ndiye kiongozi wa serikali Tanganyika , na raisi wa Jamuhuri.
Nadhani ata mwinyi aliupata urasi JMT kwakutumia kanuni hiyo mana hawasemi ukweli kw nyerere aliachiaje madaraka. Alijiuzulu au vp mpaka protocol iyo kutumika. So rais samia sio wa kwanza kuwa raisi jwa namna hiyo. Mwinyi alikw raisi znz ndipo sijui nini kilitokea akapewa urais JMT. TUSOME HISTORIA!!! Nawaaga kwa jina la is JMT.
 
Wasioelewa kuwa Zanzibar ni nchi hata kabla ya bara giza la afrika kugawanywa kule Berlin ktk Mkutano wa mabeberu 1884, wapewa somo. Kabla ya 1884 Tanganyika haikuwepo ilikuwa sehemu ya nyika giza la bara la Afrika
https://www.pbslearningmedia.org › ...
The Berlin Conference of 1884-1885 | Africa's Great ...
berlin conference 1884 from www.pbslearningmedia.org
Known as The Berlin Conference, they sought to discuss the partitioning of Africa, establishing rules to amicably divide resources among

8 Jun 2020

Othman Masoud: Zanzibar haikuanza 1964 - Part 1​


Aliyekuwa mwanasheria mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, amesema kwamba ni makosa kudhani kwamba Zanzibar ilianza mwaka 1964 baada ya Mapinduzi au 1995 baada ya uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi na kwamba jambo ambalo haliwezi kuepukika muda wote ni mabadiliko. Msikilize kwenye sehemu hii ya kwanza ukijitarisha kwa ajili ya sehemu ya pili ya mazungumzo aliyofanya na Radio Noor ya Mjini Unguja.

Zanzibar ilikw nchi yenye dola kamili na fedha yake, yani sarafu ya zanzibar. Kwaherini
 
Acha VP dawa imuingie acha wabara dawa ituingie mbona mwenda zake alikua anapendelea kanda yake acha na mama ampambe Mwinyi Huku Kazi IENDELEE
 
Zanzibar ilikw nchi yenye dola kamili na fedha yake, yani sarafu ya zanzibar. Kwaherini

Tatizo watu historia ya nchi ya Zanzibar hawaielewi, Zanzibar ni dola kamili iliyokuwa inatambulika na mataifa makubwa hata kabla ya mwaka 1884. Nchi kadha zilikuwa na mabalozi wake Unguja miaka hiyo ya 1800 hiyo pia inaashiria uwepo wake muda mrefu kabla pande la nchi la Afrika mwaka 1884 kutengwa na kufahamika kama Ujerumani ya Afrika ya Mashariki (1919 Tanganyika).
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.
Huwezi ukawa na tittle ya Rais na una mamlaka yote ya urais halafu mlingane na makamu wa rais hakuna kitu kama hicho

Hivyo ni
1. Rais za tanzania bara
2. Rais wa serikali ya mapunduzi zanzibar
3.Makamu wa rais tanzania bara
4.makamu wa rais serikali ya mapinduzi zanzibar

Kumbuka Rais wa zanzibar anapigiwa mizinga kama rais yeyote wa taifa lolote kama ambavyo inafanyika kwa rais wa bara hivyo makamu ni makamu tu hawezi kuwa zaid ya hadhi ya Rais.
 
Back
Top Bottom