Zanzibar haina haja ya kuwa na magovorner, sio kubwa. Zanzibar ipewe madaraka kamili, halafu huko bara watajua wenyewe vya kufanya.Hujaelewa ndugu, kunatakiwa kuwe na serekali moja ya JMT, na kila mkoa uwe na governor yani kwa upande wa znz kuweka governor wawili mmoja unguja na mwengine pemba. Hivyohivyo na bara mikoa yote iwe na magovernor ili maendeleo yawe jumuishi na sio baadhi ya mikoa inaachwa nyuma. Nadhani nitakuwa nimerekebisha kauli.
Shika adabu yako Zanzibar no kubwa kuliko Tanganyika nzima
Hizo ndo kero za muungano ndugu yangu. Nilikuwa nishazaliwa na siyo hiyo tu ata zanzibar kujiunga FIFA tuliekewa ngumuNa mimi nakwambia hivi, masuala ya kimataifa ni masuala ya serikali ya muungano, si masuala ya serikali ya mapinduzi ya Zanzibar.
Ndiyo maana Salmin Amour alivyotaka kuiingiza Zanzibar kuwa mwanachama wa OIC kinyemela kukazuka mgogoro wa kikatiba mpaka akachomoa.
Unakumbuka?
Ulikuwa umezaliwa?
Sasa, kumpeleka rais wa Zanzibar katika mkutano wa kimataifa wakati kuna Rais wa Tanzania, kuna Makamu wa Rais wa Tanzania, kuna Waziri Mkuu wa Tanzania, kuna Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, ni kuchanganya kazi.
Katika katiba kuna mambo yametajwa kuwa haya ni mambo ya muungano, yanatakiwa kufanywa na serikali ya muungano. Mahusiano ya kimataifa ni moja ya hayo.
Kumpa mtu anayeongoza serikali ya mapinduzi ya Zanzibar kazi za serikali ya muungano za kimataifa ni kuchanganya mambo.
Huyo Rais Samia kuna mambo anafanya anayajua mwenyewe, na yanaweza kuwa na matokeo mabaya sana.
Hujakosea, na ndio maana Zanzibar ipo, ila ancestor wenu aliuua Tanganyika.Tanzania NI muunganiko WA nchi mbili huru.
Tanganyika na ZANZIBAR.
sasa mnaposema ZANZIBAR NI nchi nashindwa kuwaelewa.
Unguja pekee ni kubwakuliko dar ila najua utabisha. Lkni nchi hutambilika kama nchi ikiwaimemeet vigezo na znz imemeet vigezo vyoteZanzibar haina haja ya kuwa na magovorner, sio kubwa. Zanzibar ipewe madaraka kamili, halafu huko bara watajua wenyewe vya kufanya.
Hujui kama TRA wanakusanya kodi huku Zanzibar?Kiukweli umeongea mambo ya msingi sana!
Mwinyi alivyoingia kule Znz alisema uchumi wa Blue
hivyo anaazimia serikali yake kununua meli kwa ajili ya Znz.
Ajabu Mama nae akiwa bungeni kutoa hotuba akasema zinunuliwe meli kisha TUGAWANE IDADI SAWA Bara na Znz.
Sasa tunajiuliza kwa fedha zipi hizo?
Mbona sisi haya hatukuwahi kuyasikia kwa viongozi waliopita?
Kwani Mwinyi aliposema serikali yake itanunua alimaanisha Bara ndiyo impe hizo hela?
Kwa hiyo yeye anunue zake alafu tena Bara wamuongeze zingine?
Kifupi hadi mama anatoka ikulu basi mshindi ni znz,
na bado.
Nadhani Vyombo vya ulinzi vimkumbushe mama kuwa kuna muungano hivyo kuna maswala ya kimuungano na ambayo sio ya kimuungano.
Bara tuamke, tuanze kuwa makini na hivi viashiria vilivyoanza mapema hivi.
sio ishara nzuri sana kwetu.
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.
Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!
Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.
Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.
Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.
Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.
Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.
Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu
Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.
Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.
Kwa history ya lazima waruke ruke kama mahindi ya bis yanapokaangwa hawatasema ukweli tutafundishwa kina mkwawa na kinjekitile basi mengine ni funika kombeKuna makosa kiprotocol na miaka hii 5 nadhani yatawekwa sawa. Ila haya matatizo yaliletwa na nyerere haya. Mana hapo mwanzo VP alitakiwa awe rais wa zanzibar na si vyenginevyo. Sasa sababu zake za kibinafsina maono yako hafifu ndo yameleta mtafaruku. Na ndo mana hutakuja kuona Tz historia inafundiswa kiuhalisia sababu ina kasoro nyingi
Nadhani ata mwinyi aliupata urasi JMT kwakutumia kanuni hiyo mana hawasemi ukweli kw nyerere aliachiaje madaraka. Alijiuzulu au vp mpaka protocol iyo kutumika. So rais samia sio wa kwanza kuwa raisi jwa namna hiyo. Mwinyi alikw raisi znz ndipo sijui nini kilitokea akapewa urais JMT. TUSOME HISTORIA!!! Nawaaga kwa jina la is JMT.Wekeni kwenye katiba sasa ili makamo wa raisi muungano awe ndio Raisi wa Tanzania Bara( Tanganyika) ili kuondoa utata kama ilivyokuwa zamani wakati wa Nyerere.
Kulikuwa na Raisi wa Zanzibar na andiye Makamu wa Raisi wa Muungano
Makamu wa pili wa raisi wa Muungano ambaye ndiye kiongozi wa serikali Tanganyika , na raisi wa Jamuhuri.
Zanzibar ilikw nchi yenye dola kamili na fedha yake, yani sarafu ya zanzibar. KwaheriniWasioelewa kuwa Zanzibar ni nchi hata kabla ya bara giza la afrika kugawanywa kule Berlin ktk Mkutano wa mabeberu 1884, wapewa somo. Kabla ya 1884 Tanganyika haikuwepo ilikuwa sehemu ya nyika giza la bara la Afrika
https://www.pbslearningmedia.org › ...
The Berlin Conference of 1884-1885 | Africa's Great ...
Known as The Berlin Conference, they sought to discuss the partitioning of Africa, establishing rules to amicably divide resources among
8 Jun 2020
Othman Masoud: Zanzibar haikuanza 1964 - Part 1
Aliyekuwa mwanasheria mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, amesema kwamba ni makosa kudhani kwamba Zanzibar ilianza mwaka 1964 baada ya Mapinduzi au 1995 baada ya uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi na kwamba jambo ambalo haliwezi kuepukika muda wote ni mabadiliko. Msikilize kwenye sehemu hii ya kwanza ukijitarisha kwa ajili ya sehemu ya pili ya mazungumzo aliyofanya na Radio Noor ya Mjini Unguja.
Afu zinabakia Zanzibar..Zanzibar hata wachangie haiwezi kufika 1 percent ya baraHujui kama TRA wanakusanya kodi huku Zanzibar?
Rais wa TFFWewe nawe ni zero brain. Mmoja anaitwa Rais na mwingine makamu wa rais bado huoni tofauti?
Makamu wa rais analinganishwa na makamu mwenzake.
Zanzibar ilikw nchi yenye dola kamili na fedha yake, yani sarafu ya zanzibar. Kwaherini
Muache utoto kwenye mambo ya msingi. Mtu kama wewe hata kwenye maisha ya kawaida unakuta ni mzembemzembe tuKwani yeye mwenyewe anasemaje?
Huwezi ukawa na tittle ya Rais na una mamlaka yote ya urais halafu mlingane na makamu wa rais hakuna kitu kama hichoNimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.
Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!
Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.
Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.
Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.
Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.
Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.
Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu
Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.
Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.
Zinaenda wapi? Zanzibar wana bodi ya mapato ZRB nayo pia inafanya kazi kama ya TRA.Afu zinabakia Zanzibar..Zanzibar hata wachangie haiwezi kufika 1 percent ya bara
VP kwenye baraza la mawaziri yeye anakuwa kama nani?Pale Dr Mwinyi alikwenda kama Rais wa Zanzibar.
Wakati hayati Magufuli anafungua bunge ndio alikuja kama mjumbe mtarajiwa wa baraza la mawaziri!