... nilishangaa sana kilichowapeleka rais na makamu wa rais Znz Bungeni Dodoma wakati wa hotuba ya Madam President!Hakufanya sawa
Ki protocal, Hussein hana title yoyote kwa sasa kwny Jamhuri zaid ya kuwa Mjumbe tu wa Baraza la Mawaziri
Title ya Rais wa Znz kuwa Makamu wa Rais ilishaondolewa tangu 1994 kwa Ushauri wa Nyerere
Watu wa Protocal na hasa Waandishi wa Hotuba waiondoe hii sintofahamu!
Inategemeana na shughuli husika bwashee.Hakufanya sawa
Ki protocal, Hussein hana title yoyote kwa sasa kwny Jamhuri zaid ya kuwa Mjumbe tu wa Baraza la Mawaziri
Title ya Rais wa Znz kuwa Makamu wa Rais ilishaondolewa tangu 1994 kwa Ushauri wa Nyerere
Watu wa Protocal na hasa Waandishi wa Hotuba waiondoe hii sintofahamu!
... bado anaonekana anakua pole pole sana kwenye siasa za Tanganyika, Zanzibar, na Tanganyika. Anahitaji kusaidiwa sana ili kuepusha sintofahamu yoyote inayoweza kusababishwa na kauli yake. Hatari sana.Mama afate protocol pengine anaamini yeye ni Raisi wa Tanganyika , Mwinyi ni Raisi wa Zanzibar so Kwa pamoja ni maraisi wa Tanzania na msaidizi wao Kwa ukarbu ndo mpango
Wanyonge tupo wapi hapo?Rais Samia
Rais Mwinyi
Makamu wa Rais Mpango
Makamu wa kwanza wa Rais
Makamu wa Pili wa Rais
Jaji Mkuu to
Jaji mkuu zanzibar
Spika wa bunge to
Spika wa balaza la Mapinduzi
Manaibu Spika
Viongozi wa ulinzi na Usalama
Viongozi wa dini
Mabalozi
Wakuu wa mashirika
Itifaki imezingatiwa
Damu nzito kuliko majik
BungeniInategemeana na shughuli husika bwashee.
Kuna wakati Rais wa Zanzibar anashiriki tukio kama Rais siyo Waziri.
Mpango anakuwa mkubwa kwa Dr Mwinyi kwenye mambo ya muungano tu.
Pale Dr Mwinyi alikwenda kama Rais wa Zanzibar.Bungeni
Dr shein siyo RaisInawezekana kipindi yupo yeye alimuona Rais wa Zanzibar Dr Shein kama Boss wake
Tuanzie hapoTitle ya Rais wa Znz kuwa Makamu wa Rais ilishaondolewa tangu 1994 kwa Ushauri wa Nyerere
Safi, imezingatiwa. Mwenye tatizo ajeRais Samia
Rais Mwinyi
Makamu wa Rais Mpango
Makamu wa kwanza wa Rais
Makamu wa Pili wa Rais
Jaji Mkuu to
Jaji mkuu zanzibar
Spika wa bunge to
Spika wa balaza la Mapinduzi
Manaibu Spika
Viongozi wa ulinzi na Usalama
Viongozi wa dini
Mabalozi
Wakuu wa mashirika
Itifaki imezingatiwa
stupid..bungeni pale..mama asilete uzanzibarInategemeana na shughuli husika bwashee.
Kuna wakati Rais wa Zanzibar anashiriki tukio kama Rais siyo Waziri.
Mpango anakuwa mkubwa kwa Dr Mwinyi kwenye mambo ya muungano tu.
Unachonganisha??Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.
Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!
Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.
Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.
Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.
Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.
Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.
Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu
Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.
Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.
Rais ni Cheo si madaraka madaraka ni amiri jeshi mkuu so Dr Shein anapotambulishwa neno Rais lazima liwepoDr shein siyo Rais
makamu wa Rais ni namba 2..hata waziri mkuu ni mkubwa sanaSafi, imezingatiwa. Mwenye tatizo aje
Leta reference ya katiba hapa vinginevyo ni uzushimakamu wa Rais ni namba 2..hata waziri mkuu ni mkubwa sana
Itifaki izingatiwe