Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Ndio imeleta huu mtafaruku mpaka mleta mada analalamika. Na hatuishii hapo tu, mfumo wa muungano una flaws nyingi. Imagine leo hii kabudi anaongea vitu ambavyo mimi na ww km sio wafuatiliaji wa vitu hatuvijui. Yani historia ya nchi hatufundishi na tukifundishwa inapambwa sana ili tuone vitu viko perfect na ukweli ukisemwa km ulikw unamuheshimu nyerere utaacha sababu hata uchumi wa Tanzania kushuka miaka ya 70 na 80 ulichangiwa na uongozi mbovu wa nyerere uliopelekea kutuingiza kwenye vita vya kijinga vya Uganda lakni hii topic nyengine sasa. Tusi deviate na mada watz hawajui historria yao, yani kiutawala pwani yote ya tanganyika ilikw ni himaya ya zanzibar ila usisome vitabu ww peruzi porno alafu ita watu wajinga.
Hapa sikubishii sana.. kweli History imekuwa polluted sana.. lakini kwa Mfumo tulionao sasa kiprotokali Mwinyi anatakiwa afate baada ya waziri mkuu.
 
Dr Mwinyi ni Rais wa nchi ya Zanzibar.

Dr Mpango ni makamu wa Rais wa nchi ya Tanzania

Bunge siyo baraza la mawaziri.

Rais wa Tanzania ni sehemu ya bunge

Rais wa Zanzibar hana sehemu bungeni yeye ni " mgeni"

Kazi Iendelee!
Raisi wa JMT, na sio tanzania kwanza. Naomba urekebishe kauli hakuna nchi inaitwa tanzania. Ni jamhuri ya muunganowa tanzania ambayo iliasisiwa na zanzibar na tanganyika.naeka mkazo. Mfumo wa katiba yetu una flaws nyingi na unakinzana sana. Huwezi kuwa na JMT bila ya zanzibartena jnayojitegemea. Kuna haja ya kupitia tena katiba na ifanyiwe marekebisho au tutarudi kuwa muted tena na rais yoyote yule atakae kuja kuongoza kama mwendazake. Ukweli ata hao CCM wanapumulia gesi sasa hivi na wanashukuru mzee magu kupumzika milele. Mana vitu vingi vilikw haviendi sawa. Ndomana sasaivi wabunge wanaongea watakavyo mpaka bale rais samia akiamua kuwamute na ikumbukwe kuwa katika inamruhusu na kumpa nguvu hiyo.
 
Hapa katiba inatuchanganya, kama Rais wa Zanzibar ni mkubwa iweje Rais wa JMT akiwa hayupo kwenye kiti madaraka anapewa makamu sio Rais wa Zanzibar?

Kwa maana hiyo, katiba inatambua akitoka Rais wa JMT anafuata makamu wake sio Rais wa Zanzibar.

Ajabu ya katiba yetu ni kwamba Wanzanzibar wana serikali Yao, watu wa Bara wana serikali ya Muungano. Serikal Yao ni ipi?

Hii katiba yetu inamapungufu mengi, CCM waache ubinafsi, ipo siku nchi itaenda upinzani watasaga meno kwa katiba hii.!!
 
Wewe nawe ni zero brain. Mmoja anaitwa Rais na mwingine makamu wa rais bado huoni tofauti?
Makamu wa rais analinganishwa na makamu mwenzake.

Wewe ndio zero kabisa.Rais wa Zanzibar ni mjumbe wa baraza la mawaziri tu.Rais wa Zanzibar ni kama waziri wa Elimu au waziri wa serekali za mitaa.
 
Alafu makamu wa raisi wa bara na raisi wa znz ni watu wawili tofauti kabisa, huwezi kumshusha hadhi kiasi hicho raisi Mwinyi kwa makamu tuuuu. Badilika aise, na futa uzi wako haraka.
Kama yeye alivyosogea hiyo nafasi ndivyo na makamu wake anaweza kusogea tu si Rais wa Zanzibar hivyo ni mkubwa

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ndio zero kabisa.Rais wa Zanzibar ni mkumbe wa baraza la mawaziri tu.Rais wa Zanzibar ni kama waziri wa Elimu au waziri wa serekali za mitaa.
Raisi wa zanzibar ni raisi wa nchi yenye mamlaka kamili. Na ndo anaunda jamhuri ya muungano wa Tanzania. Na sio jamhuri ya muungano wa tanganyika mbona mnakuwa wagumu kuelewa. Tanganyika imefinywa mamlaka na JMT.
 
Labda umesahau kuwa nchi NI Tanzania.
Zanzibar na tanganyika zilikufa tarehe 26 mwezi wa 4.
Rais wa Zanzibar uwa anawekwa Tu kama BOYA kutupumbaza AKILI.
Kasome tena historia ndugu. Serekali ya zanzibar ipo na inatambulika. Labda tu niwahabarishe kuwa, kiti cha Umoja wa mataifa cha JMT ni mali ya SMZ. Na ilikipata kupitia muungano huu mnaouongelea. Tanganyika haina kiti UN. Na tanganyika ndo mnafunga'ang'ania muungano na si zanzibar. Ndo mana hapo mwanzo nilisema mkitaka tanganyika muungano uvunjike wekeni kura za maoni zanzibar musikie wanasema nn kuhusu huu muungano mana mnaona sisi ndo unatunufaisha sana!!!!
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.
Kumbe watu wa choko choko wapo wengi,
mimi nilikjua tuu Kutawala Mzanzibari Jamuhuri ya Muungano kelele za kinyamwezi zitakuwa nyingi mnooo

Lakini si mulitaka wenyewe Muungano na Zanzibar, Hamukujua kuwa hii ni nchi ndigo? Unganeni na kenya basi munayolingana ki population kamanyi nyi ni wapenzi wa Umoja wa Afrika.

Yani mimi nashangaa tembo kujisifu kaua sisimizi, au chura.
Madhali mumeungana na Nchi huru iitwayo Jamhuri ya watu wa Zanzibar' hamuna budi kukubali yale ambayo wazanzibari nao wameyavumilia siku nyiingi.

Naamini Mutatamani kubadilisha Katiba Mwakahuu ili kuziba Mwanya wa Zanzibar kuweza kushika Madaraka Jamuhuri ya Muungano,
Lakini Mukija naajenda hiyo na Waznzibari watakuja na ajenda ya kutawala kwa ZAMU.

Mwaka huu mutajifunza kutamba ubaya wa kushikiwa madaraka na mamlaka yako na usiyempenda.
 
Back
Top Bottom