Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

shosti kwani kuna sehemu nimelalamika au ndo marinda yanakuwasha?
Uno umano. Mbona kuhusu chato mlikuwa kimya, tulieni tuwaoneshe kwanza mana ishu ya katiba mpya ikiletwa mnasema watu hawali katiba. Ukweli protocol ni kuwa makamu wa raisi wa tanzania hawezi kuwa juu ya rais wa zanzibar ndo mana mama anaeka sawa. Yule ni raisi na mpango ni makam, rasi wa tanzibar nyuma anakaa mjeda yani jeshi alaf ndo usalama na mpango hana ulinzi wa jeshi bali ni usalama pekee. Ndo mana wazanzibari wanalia juu ya muungano sababu hauna usawa kiuhalisia na juzi nilisema mnaongangania muungano ni watanganyika. Mm napenda muungani ila kama mzanzibari na kutokana na mfumo wa sasa najumuika na wazanzibari wenzangu kusema mkiwa tayari kuuvunja sisi tulikw tayari na tuko tayari mda wowote ule na ndomana mashekhe wa muungano wako ndani mwaka wa 8 sasa sababu walitaka mfumo wa muungano ubadilike. Lakjni pia tanganyika ikitaka na kuridhia kuweka mufumo ya muungano uwe sawa pia tuko tayari kushirikiana na tanganyika kuweka usawa na umoja ili kuweza kuleta maendeleo jumuishi ya tanzania yetu. #katibampya
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.
Makamu wa rais, waziri mkuu hawana wajibu wwt watakaoweza kuufanya znz. Na raid wa znz hana wajibu wet kwa Serikali ya JMT.

Pale raid wa znz atakapotambulika kama gavana wa znz kama ilivyo marekani ndio atakuwa chini ya makamu
 
Kwenye isaue ya Muungano Mama hajakoaea ila kwenye iasues zingine sawa... Raisi wa Zanzibar ndio mhusika mkuu wa kwanza wawili ambao ni Raisi wa Tanganyika na Raisi wa Zanzibar ambapo kwa sasa Tanganyika haipo na wala haina Raisi so wahusika wawili wanaounganisha nchi ndio uwepo wao wa kwanza mwenza.. Makamu si lolote kwenye issue hiyo ya muungano
 
Hili mbona ni dogo, natamani huyo mama achote pesa tena za Tanganyika akajenge miradi ya nguvu huko Zanzibar. Na kwenye kuchota hizo pesa asijadiliane chochote na wapuuzi wa huku Bara. Na huyo mama akifanya hivyo tutamuita mzalendo na kutaka aongezewe muda wa kukaa madarakani.
Bro usiseme hivi, Mungu asije akaingilia kati...
 
Mkuu hio mbona ishavunjwa Kitambo.. Toka miaka ya 90?
Ndio imeleta huu mtafaruku mpaka mleta mada analalamika. Na hatuishii hapo tu, mfumo wa muungano una flaws nyingi. Imagine leo hii kabudi anaongea vitu ambavyo mimi na ww km sio wafuatiliaji wa vitu hatuvijui. Yani historia ya nchi hatufundishi na tukifundishwa inapambwa sana ili tuone vitu viko perfect na ukweli ukisemwa km ulikw unamuheshimu nyerere utaacha sababu hata uchumi wa Tanzania kushuka miaka ya 70 na 80 ulichangiwa na uongozi mbovu wa nyerere uliopelekea kutuingiza kwenye vita vya kijinga vya Uganda lakni hii topic nyengine sasa. Tusi deviate na mada watz hawajui historria yao, yani kiutawala pwani yote ya tanganyika ilikw ni himaya ya zanzibar ila usisome vitabu ww peruzi porno alafu ita watu wajinga.
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.
Usilolijua zanzibar ni nchi kule hata ukitaka fungua kampun wana system kampun sahau kabisa habar za TRA.TBS nk wana ZRA na ZBS nk

Ila kijesh bado wanategemea JWTZ

Ki utawala katika UN ni part ya tanzania so popote pale ukisikia Tanzania imealikwa UN jua zanzibar himo umo

Wana katiba yao wale japo ki protocol wapo chin ya tanzania

Na kwa kukudokeza tu Rais wa zanzibar hawez kutumbuliwa ila makamu wa rais anaweza kutumbuliwa kwa mantiki io tu Rais wa zanzibar ni mkubwa
 
Kwenye isaue ya Muungano Mama hajakoaea ila kwenye iasues zingine sawa... Raisi wa Zanzibar ndio mhusika mkuu wa kwanza wawili ambao ni Raisi wa Tanganyika na Raisi wa Zanzibar ambapo kwa sasa Tanganyika haipo na wala haina Raisi so wahusika wawili wanaounganisha nchi ndio uwepo wao wa kwanza mwenza.. Makamu si lolote kwenye issue hiyo ya muungano
Mkuu umenunua simu mpya nini, naona spelling error kibao. Au uko kwenye bodaboda?
 
Yaani unataka rais wa nchi inayounda muungano awe nyuma kiprotokali kwa Makamu wa Rais?

Mwishowe mtasema hata Majaliwa Kiprotokali ni mkubwa kuliko rais wa Zanzibar eti kwa kuwa ni waziri mkuu wa nchi nzima ya Tanzania
Baada ya Magufuli kufariki alieshika madaraka ya Urais wa Tanzania ni nani?!!ukilielewa hilo ndio utajua kiprotoko nani ni mkubwa!!
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.
Manina,wasukuma mtatafuna magodoro safari hii, vipi kuhusu chato alivyokuwa anaipendelea yule mfu wenu!!!!?
 
Yaani unataka rais wa nchi inayounda muungano awe nyuma kiprotokali kwa Makamu wa Rais?

Mwishowe mtasema hata Majaliwa Kiprotokali ni mkubwa kuliko rais wa Zanzibar eti kwa kuwa ni waziri mkuu wa nchi nzima ya Tanzania
Mkuu kulingana na Muundo wa Nchi zetu huku upande wa Tanganyika hatuna Rais,na ukumbuke vitu viwili vikubwa katika Muungano wa Nchi kwa Nchi ni upande wa Fedha,Jeshi na Mwisho ni Siasa.
Hivyo tuna Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ni Makubwa kuliko Rais wa Zanzibar, Rais Samia anakosea sana tena sana.by the way matatizo haya yote ameyasababisha Nyerere na kutokana na viongozi walafi wapenda madaraka kuliko Nchi hawataki kabisa kuyatatua.
 
Hili mbona ni dogo, natamani huyo mama achote pesa tena za Tanganyika akajenge miradi ya nguvu huko Zanzibar. Na kwenye kuchota hizo pesa asijadiliane chochote na wapuuzi wa huku Bara. Na huyo mama akifanya hivyo tutamuita mzalendo na kutaka aongezewe muda wa kukaa madarakani.
Kwa mujibu wa katiba ya sasa rais samia anaweza tenda kama meko nyie endeleeni kumpima joto tu. Akiturudisha kule ndo mtaelewa kwa nn katiba mpya ni muhimu kwa taifa letu. Rais wa nchi anatakiwa asimamiwe na chama ila flaw ya katiba ni kw anaweza kuwa juu ya chama chake kitu kinachomfanya ata mijadala ya bunge anaamua yy iende vp. Hawa wabunge wanaompima joto ni kwamba kwa mujibu wa katibu anaweza wavua ubunge kwa kuwafukuza chama tu na anaweza pale atakapopewa uenyekiti wa chama na ndohapo tutakapomkumbuka JPM SAS. Endeleeni kupima joto na yeye aanze kujihami wasiojulikana warudi ndo kitaeleweka.
 
Back
Top Bottom