Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Jambo hili huwa inategemea na shughuli huskika kwa mfano shughuli za SMZ zote zipo chini ya Raisi wa SMZ ila shughuli zote za Jamhuri Raisi wa JMT ndio boss ila ki-ujumla Raisi wa JMT ndio boss akifutiwa na Makamu wake sababu JMT ndio yenye Tanganyika na Zanzibar
 
Binafsi sioni tukisonga vema na huyu mazeri,yaani huu muungano huu!?!
 
Kipindi flani walikuzushia unataka Rais unataka kugombea Urais Zanzibar ulikataa ukasema Urais Zanzibar ni mdogo kuliko cheo chako cha Makamu Rais naona leo umesahau..! Maliza miaka 4 iloyobaki tuachie Nchi yetu.
Nilitaka kukumbusha hili, kumbe unalo?

Hivi huwezi kwenda kuoa Zanzibar ukiwa Bara? Na ukioa huko, bado huwezi kuruhusiwa kununua ardhi huko?

Na ukitaka kuwekeza je, unaweza kuruhusiwa kuwekeza huko, na bado ukawa unachukuliwa kuwa ni mtu kutoka nje?

Lakini la muhimu zaidi ni hili: Kama wewe mTanganyika ulinyimwa haki ya kununua ardhi Zanzibar, je, watu wengine toka sehemu nyingine duniani wanaruhusiwa kununua ardhi Zanzibar? Sheria inasemaje? Mwenye jibu tafadhali saidia.

Mpe muda, mama bado ana maluweluwe; bado hajaelewa vizuri cheo chake kipya. Atajirudi tu.

Hapo ilipo Zanzibar, Tanganyika haiepukiki kwa njia yoyote.
 
Kuna vitu vingi vinatukera sema tu hatuna namna.
Una mke mmoja ana mtoto 1, mwingine ana watoto kumi then pesa ya matumizi kotekote unaacha elfu kumi.
Jingine ni nafasi za uongozi. Zhenj Wanatoa viongozi wengi kuliko bara ukihesabu kwa asilimia ya idadi ya watu.
 
Hili mbona ni dogo, natamani huyo mama achote pesa tena za Tanganyika akajenge miradi ya nguvu huko Zanzibar. Na kwenye kuchota hizo pesa asijadiliane chochote na wapuuzi wa huku Bara. Na huyo mama akifanya hivyo tutamuita mzalendo na kutaka aongezewe muda wa kukaa madarakani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Makamo wa Rais wa Tanganyika hana jukumu lolote labda a subiri offer ya akate utepe, wakati Rais wa Zanzibar ni Rais wa nchi inayotambuliwa na kwa mujibu wa katiba ya zanzibar na ni waziri wa Serikali ya Tanganyika vlvl. 2in1
 
Rais Samia
Rais Mwinyi
Makamu wa Rais Mpango
Makamu wa kwanza wa Rais
Makamu wa Pili wa Rais
Jaji Mkuu to
Jaji mkuu zanzibar
Spika wa bunge to
Spika wa balaza la Mapinduzi
Manaibu Spika
Viongozi wa ulinzi na Usalama
Viongozi wa dini
Mabalozi
Wakuu wa mashirika
Itifaki imezingatiwa
He! WAZIRI MKUU MBONA HAYUMO KWENYE HIYO LIST?
 
Zanzibar katika Bunge la Jamhuri ya Muungano unaishangaa, mimi nashangaa kwanini Bunge la Muungano lijivishe joho la Bunge la Tanganyika.

Ingependeza Bunge la Muungano liwe linafanya vikao kwa zamu kikao cha 11 Dodoma, Kikao cha 12 Zanzibar yaani kupokezana ili sehemu hizi za muungano kufaidi pesa za hoteli, nyama choma,bia , utalii nk badala ya choyo ya Tanganyika kungangania vikao vyote vya Bunge hili la muungano kufanyika Tanganyika tu.
... good idea!
 
Mbona zanzbar nndogo sana bara ku km za mraba kama laki 9 ns ushee sasa kila mtu akienda kununua ardhi zenji itakuwaje? Jaribu kufikiria wako kama 1m tu kwann wasije huku bara hapa ni reasoning tuu
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Mama umekua Rais kwa muujibu wa katiba bila katiba usingepata Urais wa dezo Tafadhali heshimu katiba.

Rais wa Zanzibar kiprotoko ni mdogo kuliko hata Waziri Mkuu.
Siku ya mashindano ya kusoma Quran eti Rais wa Zanzibar anaondoka uwanjani kabla ya Waziri Mkuu. Ndani ya eneo la Tanganyika Rais wa Zanzibar hana nguvu ni km mm tu.
Mama acha uzanzibar tunajua nyie wapemba wabaguzi sana.

Kipindi flani walikuzushia unataka Rais unataka kugombea Urais Zanzibar ulikataa ukasema Urais Zanzibar ni mdogo kuliko cheo chako cha Makamu Rais naona leo umesahau..! Maliza miaka 4 iloyobaki tuachie Nchi yetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.
Cheo cha rais wa Zanzibar.
Pesa za sherehe ya muungano.
M bara haruhusiwi kununua kiwanja (ardhi) Zannzibar, wala kufanya kazi kwenye serikali ya Zanzibar.
Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye muungano.
Wapemba wabaguzi sana.
Urais wa dezo.

Kiongozi umechanganya mambo mengi kwa wakati mmoja, hivi hoja ya msingi hapa ni nini?

Na mbaya zaidi ni kauli hatari kama hizi:
Mwinyi si mwenzetu, maliza miaka minne utuachie nchi yetu.

Tuache kuhubiri chuki, wazanzibari ni ndugu zetu. Ebu twaache wapumue.
 
Cheo cha rais wa Zanzibar.
Pesa za sherehe ya muungano.
M bara haruhusiwi kununua kiwanja (ardhi) Zannzibar, wala kufanya kazi kwenye serikali ya Zanzibar.
Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye muungano.
Wapemba wabaguzi sana.
Urais wa dezo.

Kiongozi umechanganya mambo mengi kwa wakati mmoja, hivi hoja ya msingi hapa ni nini?

Na mbaya zaidi ni kauli hatari kama hizi:
Mwinyi si mwenzetu, maliza miaka minne utuachie nchi yetu.

Tuache kuhubiri chuki, wazanzibari ni ndugu zetu. Ebu twaache wapumue.
Nenda kawaulize km wao ni wenzetu
 
Mshamba wewe
Wewe ambae hujui historia ya nchi yako tukuite nan? Em msikilize prof. Kabudi alivofungua mjadalo leo kwenye kongamano alaf jiulize hio historia ww unaijua na kwa nini hawafundishwi na kueleweshwa watanzania? Wabongo mnachefua na kufeli mm naona muendelee kutetea atcl mana mambo ya zanzibar hamyajui na apo ulipo hujui ata kwanini maraisi wa JMT kutoka bara hawataki swala la muungano liongelewe au kusikia habari za kuvunjwa kwa muungano?
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Mama umekua Rais kwa muujibu wa katiba bila katiba usingepata Urais wa dezo Tafadhali heshimu katiba.

Rais wa Zanzibar kiprotoko ni mdogo kuliko hata Waziri Mkuu.
Siku ya mashindano ya kusoma Quran eti Rais wa Zanzibar anaondoka uwanjani kabla ya Waziri Mkuu. Ndani ya eneo la Tanganyika Rais wa Zanzibar hana nguvu ni km mm tu.
Mama acha uzanzibar tunajua nyie wapemba wabaguzi sana.

Kipindi flani walikuzushia unataka Rais unataka kugombea Urais Zanzibar ulikataa ukasema Urais Zanzibar ni mdogo kuliko cheo chako cha Makamu Rais naona leo umesahau..! Maliza miaka 4 iloyobaki tuachie Nchi yetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.
MATAGA wale wapiga Zumari la Meko tulieni Dawa iingie, Mama amekuwa Raisi kwa Mujibu wa Katiba, hata Meko alikuwa Raisi kwa Mujibu wa Katiba though aliiba Kura
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Mama umekua Rais kwa muujibu wa katiba bila katiba usingepata Urais wa dezo Tafadhali heshimu katiba.

Rais wa Zanzibar kiprotoko ni mdogo kuliko hata Waziri Mkuu.
Siku ya mashindano ya kusoma Quran eti Rais wa Zanzibar anaondoka uwanjani kabla ya Waziri Mkuu. Ndani ya eneo la Tanganyika Rais wa Zanzibar hana nguvu ni km mm tu.
Mama acha uzanzibar tunajua nyie wapemba wabaguzi sana.

Kipindi flani walikuzushia unataka Rais unataka kugombea Urais Zanzibar ulikataa ukasema Urais Zanzibar ni mdogo kuliko cheo chako cha Makamu Rais naona leo umesahau..! Maliza miaka 4 iloyobaki tuachie Nchi yetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.
Hajazoea ubosi. Kidogo, kidogo atabadilika. Mpe muda mama wa watu ajifunze na kuchapa kazi. Hapa kazi tu Iendelee.
 
Back
Top Bottom