Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Who started this? Sasaivi sio mda wa kutuonea tena. We can fight back hatuko 80s tena watu wanafikia kuua rais ikulu alaf kitu hakiongelewi!!! Sio haki so you PEASANTS mnaolazimisha protocol over haki ni tuwaite nani. PEASANTS!! Leo watu wanacomplain raisi kueka sawa, yani haiwezekani rais awe chini ya makam hata siku moja kisa ukubwa wa eneo lake. Kwani mini maana ya nchi yani ni civic 1.0 lkn bado mnakuwa wabishi nyie mue right kisa. PHEASANTS!!! KITAELEWEKA MWAKA HUU PEASANTS!!!
Yaani unavyozungumza, utadhani kichwani umejaa tui la nazi.
 
Rais Samia
Rais Mwinyi
Makamu wa Rais Mpango
Makamu wa kwanza wa Rais
Makamu wa Pili wa Rais
Jaji Mkuu to
Jaji mkuu zanzibar
Spika wa bunge to
Spika wa balaza la Mapinduzi
Manaibu Spika
Viongozi wa ulinzi na Usalama
Viongozi wa dini
Mabalozi
Wakuu wa mashirika
Itifaki imezingatiwa
Vip kuhusu prime minister
 
Katiba ipi hamna raisi wa Zanzibar na wewe sasa mbona hujui vilevile hajah
Achana nae huyo peasant mwengine , jisomeeni basi maana kosa sio lenu ni mitaala yetu inashindwa ata kufundisha watu katiba yao

Screenshot_20210427-072234_Drive.jpg


Screenshot_20210427-072254_Drive.jpg
 

Attachments

Mnatia hasira tatizo, nimespend all day nawaelimisha kuhusu jambo hilo nyie mmeshika makam wa rais ni mkubwa kuliko rais wa nchi. Nani mbaguzi??? Protocol my ass!!!
Kwa katiba ya sasa, Zanzibar siyo nchi bali ni sehemu ya nchi inayoitwa jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Rais wa zanzibar ni kiongozi wa sehemu hiyo ambaye ana mamlaka ya mwisho kuhusu sehemu hiyo. Ila sehemu nyingine za nchi zina hii wakuu wa mikoa ambao hawana mamlaka ya mwisho kwenye sehemu zao. SSH aliwahi kusema kuwa hawezi kujidemote kwenda kugombea urais wa Zanzibar ilhali yeye ni makamu wa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, au umesahau kauli ile?
 
nasema hivi: Mama Samia ni rais bora na makini. Rais wa mioyo ya watu. Majeraha bado hayajapona kabisa ndiyo maana anaendelea na matibabu. VP mwenyewe kila akiongea ni sumu tu ,,ikiwezekana hata asitajwe kabisa ,, tuassume hayupo.
Kuhusu mgao wa Muungano,, Zanzibar inapata 4%; kama zilikuwa 100m Zenji wanapata 4m -Umeelewa?
Kwasasa Idadi ya watu wa Zanzibar ni 2.5% ya watanzania wote lakini hayo ni makubaliano aliyoyafanya m'bara mwenzetu JK Nyerere siyo issue ya kumlaum mama kipenzi cha watanzania wote.
Mama endelea na matibabu, we love you [emoji173]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Mama umekua Rais kwa muujibu wa katiba bila katiba usingepata Urais wa dezo Tafadhali heshimu katiba.

Rais wa Zanzibar kiprotoko ni mdogo kuliko hata Waziri Mkuu.
Siku ya mashindano ya kusoma Quran eti Rais wa Zanzibar anaondoka uwanjani kabla ya Waziri Mkuu. Ndani ya eneo la Tanganyika Rais wa Zanzibar hana nguvu ni km mm tu.
Mama acha uzanzibar tunajua nyie wapemba wabaguzi sana.

Kipindi flani walikuzushia unataka Rais unataka kugombea Urais Zanzibar ulikataa ukasema Urais Zanzibar ni mdogo kuliko cheo chako cha Makamu Rais naona leo umesahau..! Maliza miaka 4 iloyobaki tuachie Nchi yetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.

huyu mama ni mbaya sana sana mtakuja kukumbuka badae hakuna mzanzibar mzuri kaa nae jirani mzanzibar ujue tabia zao
 
Rais akiwa mgonjwa au akifariki Line of succession iko ivi
-Vice President
-Prime Minister
Katiba imekuwa revised 2015 na kuwatoa hao wakuu wa mihimili mingine kuhold iyo position when The post became vacant
Katiba ta JMT imeandikwa 1977 na kufanyiwa marekebisho mara moja 2005. Yani inafahami kama the constitution of the United republic of Tanzania of 1977 revised in 2005. Iyo 2015 naomba uipost hapa tuione 🙇‍♂️
 
Kwa katiba ya sasa, Zanzibar siyo nchi bali ni sehemu ya nchi inayoitwa jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Rais wa zanzibar ni kiongozi wa sehemu hiyo ambaye ana mamlaka ya mwisho kuhusu sehemu hiyo. Ila sehemu nyingine za nchi zina hii wakuu wa mikoa ambao hawana mamlaka ya mwisho kwenye sehemu zao. SSH aliwahi kusema kuwa hawezi kujidemote kwenda kugombea urais wa Zanzibar ilhali yeye ni makamu wa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, au umesahau kauli ile?
Unaongelea katiba hii ya JMT au kuna nyengine ambayo siifaham?
 

Attachments

Kwa katiba ya sasa, Zanzibar siyo nchi bali ni sehemu ya nchi inayoitwa jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Rais wa zanzibar ni kiongozi wa sehemu hiyo ambaye ana mamlaka ya mwisho kuhusu sehemu hiyo. Ila sehemu nyingine za nchi zina hii wakuu wa mikoa ambao hawana mamlaka ya mwisho kwenye sehemu zao. SSH aliwahi kusema kuwa hawezi kujidemote kwenda kugombea urais wa Zanzibar ilhali yeye ni makamu wa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, au umesahau kauli ile?
Ilikuwa ni kijembe na bahat nzuri nilikuwepo akisema hivyo kizimkazi kwenye shereh za kwao uko 2019
 
nasema hivi: Mama Samia ni rais bora na makini. Rais wa mioyo ya watu. Majeraha bado hayajapona kabisa ndiyo maana anaendelea na matibabu. VP mwenyewe kila akiongea ni sumu tu ,,ikiwezekana hata asitajwe kabisa ,, tuassume hayupo.
Kuhusu mgao wa Muungano,, Zanzibar inapata 4%; kama zilikuwa 100m Zenji wanapata 4m -Umeelewa?
Kwasasa Idadi ya watu wa Zanzibar ni 2.5% ya watanzania wote lakini hayo ni makubaliano aliyoyafanya m'bara mwenzetu JK Nyerere siyo issue ya kumlaum mama kipenzi cha watanzania wote.
Mama endelea na matibabu, we love you [emoji173]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Sisi hatutaki ata iyo 4% tunachotaka ni kuacha na mapato yetu yote na tusichangie kitu kwenye uwo muungano weni mana sio fair
 
Hivi nani huwa anawapotosha kuwa mbara huruhusiwi kununua uwanja Zanzibar?

Taarifa umesema pesa za sherehe ya muungano zigawanywe haijasema zigawanywe Kwa uwiano gani.

Hata ikiwa nusu Kwa nusu sawa tu maana muungano ni wa nchi mbili zilizokuwa na hadhi Sawa.

linganisha uwiano wa watu na ukubwa wa nchi sio nusu kwa nusu. zanzibar ukubwa wake kama mwanza tu
 
Katiba mimi siijui lakini naamini Tanzania ineundwa na nchi mbili, Tanganyika na Zanzibar, kwa hiyo tuna maraisi wawili, na kama tuna maraisi wawili basi hao ndiyo wakuu wa hizo nchi. Wakuu wa nchi hizo mbili ndiyo wenye heshima ya juu ya kitaifa.
 
Katiba mimi siijui lakini naamini Tanzania ineundwa na nchi mbili, Tanganyika na Zanzibar, kwa hiyo tuna maraisi wawili, na kama tuna maraisi wawili basi hao ndiyo wakuu wa hizo nchi. Wakuu wa nchi hizo mbili ndiyo wenye heshima ya juu ya kitaifa.
Ya kiswahili sina soma hii ukishindwa tafuta mtu akutafsirie. Mitaala yet haiko sawa anatakiwa wafundishe hii kitu kwenye civics o level
 

Attachments

Unaongelea katibahii ya JMT au kuna nyengine ambayo siifaham?
Basi hujui kuisoma: Chapter 2 (Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu) ni serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Chapter 3 (Spika, Naibu Spika na Wabunge Wote) ni Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, halafu Chapter 4 ni Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar ambayo imeunganisha structure yote ya Zanzibar, na baadaye Chapter 5 ni mahakama.

Order za chapter hizo ndiyo superiority yenyewe kikatiba
 
Wakati wa vuguvugu la kugombea Urais wa Zanzibar 2020 Mama aliwahi kunukuliwa akisema hawezi kugombea Urais wa Zanzibar kwasababu cheo alichokuwa nacho (VP-URT) ni kikubwa kuliko Urais wa Zanzibar.
Kwani Shein akuwa Makamu wa Rais
 
Back
Top Bottom