Rais Samia abaki na Urais, Uenyekiti wa chama apewe mwingine ili kuondoa mkanganyiko

Rais Samia abaki na Urais, Uenyekiti wa chama apewe mwingine ili kuondoa mkanganyiko

Hii hofu kubwa hivi kwa Rais kuwa mwenyekiti inasababishwa na nini?

Rais makini, wasaidizi bora na taifa imaraimara

Kazi iendelee
Hofu ni 2025 hakuna jingine. Kete ya kuwa hii ni awamu ya 5 imefeli sasa kete iliyopo ni uenyekiti.
 
CCM kuna mijitu imejaa tamaa sana. Mbona wakati wa Magu hamkusema hivi, au Kikwete? Mpende msipende mama ni matokeo ya Magu mwenyewe so vuneni mlicho panda sio kujikuta sasa hivi ndio mnajua zaidi demokrasia ya chama baada ya miaka 40 ya chama!
 
Wenyeviti wote waliotangulia walipewa cheo hicho wakiwa ni marais kwanini Rais Samia asipewe uenyekiti akiwa ikulu?.

Mawazo mengine hayana mantiki yoyote. Kuna watu watateseka sana miaka hii kuelekea 2025, wanatamani kumlaumu JPM lakini kwa sasa ameshapumzishwa ndani ya nyumba ya milele. Wangeweza wangerudisha nyuma siku ili mawazo yao yaweze kufanyiwa kazi.

Rais Samia ni hiyo hiyo atakuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa.
 
Pamoja na kwamba ukiona mwana CCM yoyote anashupalia jambo basi ujue anamaslahi yake binafsi!

Lakini kwa hili la kutenganisha Mamlaka ya kichama na Urais!

Niseme wazi kabisa pamoja na maslahi yao kichama, pia kama taifa tutasonga pamoja!

Ifahamike kwamba Ili mwana CCM apitishwe kugombea Ubunge lazima kuwepo baraka za mwenyekiti!

Hilo pekee yake linachangia sana kudumaza Bunge lijae wapambe wanaosifu na kuabudu!

Naomba tujifunze kuona Hekima kwenye kundi la vichaa!

Kuliko kuwa na kofia mbili tumuombe mama kwa hekima kabisa akubali kubaki na Ushungi!

Moja ya ujinga wa wazee wengi hufanya nikuwaaminisha watoto vitu vizuri ni Mwiko!

View attachment 1766130

View attachment 1766131

View attachment 1766132

Pamoja na kwamba ukiona mwana CCM yoyote anashupalia jambo basi ujue anamaslahi yake binafsi!

Lakini kwa hili la kutenganisha Mamlaka ya kichama na Urais!

Niseme wazi kabisa pamoja na maslahi yao kichama, pia kama taifa tutasonga pamoja!

Ifahamike kwamba Ili mwana CCM apitishwe kugombea Ubunge lazima kuwepo baraka za mwenyekiti!

Hilo pekee yake linachangia sana kudumaza Bunge lijae wapambe wanaosifu na kuabudu!

Naomba tujifunze kuona Hekima kwenye kundi la vichaa!

Kuliko kuwa na kofia mbili tumuombe mama kwa hekima kabisa akubali kubaki na Ushungi!

Moja ya ujinga wa wazee wengi hufanya nikuwaaminisha watoto vitu vizuri ni Mwiko!

View attachment 1766130

View attachment 1766131

View attachment 1766132
Screenshot_20210428-080443.png


Screenshot_20210428-080443.png
 
Pamoja na kwamba ukiona mwana CCM yoyote anashupalia jambo basi ujue anamaslahi yake binafsi!

Lakini kwa hili la kutenganisha Mamlaka ya kichama na Urais!

Niseme wazi kabisa pamoja na maslahi yao kichama, pia kama taifa tutasonga pamoja!

Ifahamike kwamba Ili mwana CCM apitishwe kugombea Ubunge lazima kuwepo baraka za mwenyekiti!

Hilo pekee yake linachangia sana kudumaza Bunge lijae wapambe wanaosifu na kuabudu!

Naomba tujifunze kuona Hekima kwenye kundi la vichaa!

Kuliko kuwa na kofia mbili tumuombe mama kwa hekima kabisa akubali kubaki na Ushungi!

Moja ya ujinga wa wazee wengi hufanya nikuwaaminisha watoto vitu vizuri ni Mwiko!

View attachment 1766130

View attachment 1766131

View attachment 1766132
Kwa mwendo huku,hado kidogo tupate pa kuanzia. Tulitakiwa tuwe na kipindi cha mputo cha miezi sita kumwangalia kama uRais amemudu then tuweze kumpatia uwenyekiti. Sasa ni mapema sana kumpatia madaraka yote kwa muda mfupi na kwa wakati mmoja.
 
Wenyeviti wote waliotangulia walipewa cheo hicho wakiwa ni marais kwanini Rais Samia asipewe uenyekiti akiwa ikulu?.

Mawazo mengine hayana mantiki yoyote. Kuna watu watateseka sana miaka hii kuelekea 2025, wanatamani kumlaumu JPM lakini kwa sasa ameshapumzishwa ndani ya nyumba ya milele. Wangeweza wangerudisha nyuma siku ili mawazo yao yaweze kufanyiwa kazi.

Rais Samia ni hiyo hiyo atakuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa.
Tangu zamani watoto walilala pamoja na wageni; lakini mlawiti mmoja ndiye aliyewafanya wazazi waone umhimu wakutenganisha watoto na wageni!

Unapouliza Kwanini sasa na Mimi nitakuuliza unataka hadi watoto wangapi walawitiwe?
 
CCM kuna mijitu imejaa tamaa sana. Mbona wakati wa Magu hamkusema hivi, au Kikwete? Mpende msipende mama ni matokeo ya Magu mwenyewe so vuneni mlicho panda sio kujikuta sasa hivi ndio mnajua zaidi demokrasia ya chama baada ya miaka 40 ya chama!
Tangu zamani watoto walilala pamoja na wageni; lakini mlawiti mmoja ndiye aliyewafanya wazazi waone umhimu wakutenganisha watoto na wageni!

Unapouliza Kwanini sasa na Mimi nitakuuliza unataka hadi watoto wangapi walawitiwe?
 
c'mon guys mbona wakati No anabadili katiba y chama kutaka rAis ndio awe mWenyekiti wa chama hamkuyasema haya
 
c'mon guys mbona wakati No anabadili katiba y chama kutaka rAis ndio awe mWenyekiti wa chama hamkuyasema haya
Ni kwasababu aliguwa Mungu mtu! Ndiyo maana tunaomba kofia hii itenganishwe
 
Hili swala nakumbuka lilikua linajadiliwa kwa shauku humu ilikua unakuta mtu anaandika "Ngoja tingatinga awe mwenyekiti asafishe mpaka huko" leo Rais kawa mwingine ndiyo mada imehama.

Anyway, Rais wa nchi anaingia chamani kwake kisha huko kuna mwenyekiti as in Rais anatakiwa areport kwa huyu mwenyekiti? Inaingia akilini?

Kama concern ni kukosolewa. JK alikosolewa, SSH hajaogopa kukosolewa in fact ameencourage kukosolewa. Rais pekee ambaye kukosolewa kwake ilikua ngumu ni ambaye hata mada za kutenganisha urais na uenyekiti hazikuandikwa.

Mimi ninachoona, Uenyekiti wa Chama uwe ceremonial.
Umeongea kama mtu mwenye akili timamu.. Hongera
 
Back
Top Bottom