Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Umeenda mbali mkuu, Jumbe alipofutwa uanachama na Urais SMZ Ukaishia hapo hapo......Let's say kuna mgogoro kati ya raisi mwenye nguvu ya Dola na mwenyekiti wa chama...
raisi kwa hasira anaweza kuanza kufeva chama pinzani at the detriment of fisiemu.....
issue kama hii iliwahi kutokea Malawi...